Utaratibu wa kutoa talaka upoje?

Utaratibu wa kutoa talaka upoje?

Waislamu mahari huwa ndogo na ndoa hudumu muda kidogo

Mwanaume au mwanamke wa kiislamu kuomba talaka ni kitu kidogo tu

Ndoa za Kikiristo hata kuwe na changamoto wanandoa wanatakiwa kuishi hadi kifo kiwatenganishe

Wanaume wa kiislamu pamoja na kuruhusiwa kuoa wake hadi wanne kutwa husingizia changamoto na kuoa wengine.

Mtu unaruhusiwa kuoa wake wanne huyo mmoja akikupa changamoto huwezu vumilia kidume wewe?

Akili huna za kuishi na mke kwa mujibu wa Biblia

Biblia inatamka wazi kuwa wanaume wanatakiwa kuishi na wanawake kwa akili..Na unapooa huwa unaulizwa kama una akili timamù.Lengo la swali ni kujua kama una akili za kuishi na mke. Ukiona mwanaume anampa talaka mkewe au anasema mke kanishinda ujue huyo mwanaume akili timamu hana za kuishi na mwanamke.Kifupi huyo mwanaume alitakiwa kuwa padri wa kanisa katoliki ambao hawao hawaoi.

Huyo mwanamke anayetaka kupewa talaka anatakiwa kumburuza mahakamani huyo mwaname huyu.mleta mada kwa kumtapeli na kumtaka amlipe fidia kubwa sana akielezea kuwa wakati anamuoa alijifanya kuwa ana akili timamu wakati kwenye ndoa kaonyesha wazi mambo mengi nyumbani na kwenye ndoa anaonyesha wazi akili hana.Na atoe ushahidi mfano hatunzi familia nk nk
Punguza chuki
 
Waislamu mahari huwa ndogo na ndoa hudumu muda kidogo

Mwanaume au mwanamke wa kiislamu kuomba talaka ni kitu kidogo tu

Ndoa za Kikiristo hata kuwe na changamoto wanandoa wanatakiwa kuishi hadi kifo kiwatenganishe

Wanaume wa kiislamu pamoja na kuruhusiwa kuoa wake hadi wanne kutwa husingizia changamoto na kuoa wengine.

Mtu unaruhusiwa kuoa wake wanne huyo mmoja akikupa changamoto huwezu vumilia kidume wewe?

Akili huna za kuishi na mke kwa mujibu wa Biblia

Biblia inatamka wazi kuwa wanaume wanatakiwa kuishi na wanawake kwa akili..Na unapooa huwa unaulizwa kama una akili timamù.Lengo la swali ni kujua kama una akili za kuishi na mke. Ukiona mwanaume anampa talaka mkewe au anasema mke kanishinda ujue huyo mwanaume akili timamu hana za kuishi na mwanamke.Kifupi huyo mwanaume alitakiwa kuwa padri wa kanisa katoliki ambao hawao hawaoi.

Huyo mwanamke anayetaka kupewa talaka anatakiwa kumburuza mahakamani huyo mwaname huyu.mleta mada kwa kumtapeli na kumtaka amlipe fidia kubwa sana akielezea kuwa wakati anamuoa alijifanya kuwa ana akili timamu wakati kwenye ndoa kaonyesha wazi mambo mengi nyumbani na kwenye ndoa anaonyesha wazi akili hana.Na atoe ushahidi mfano hatunzi familia nk nk
Habari za mume kumuua mke wake huwa mnazipenda kuzisikia?
 
Closed wapi wewe?

Mwanaume kushindwa kuishi na mke ni wazi kuwa huyo mwanaume akili hana
Asiye na akili haruhusiwi kufungua kesi ya talaka

Ungeshauri mwanaume akapimwe akili kwanza hospitali ya vichaa mirembe

Swali limepata jibu...

Vinginevyo ulivyoandika hakuna hata kimoja jamaa alichouliza hivyo hakuna haja ya kupoteza wakati na kujaza 'server'
 
Habari za mume kumuua mke wake huwa mnazipenda kuzisikia?
Habari hizo ni nadra sana kuzisikia na ni matokeo ya wanaume wasio na akili kuoa
Mwanaume asiye na akili hatakiwi kuoa.
Kuoa kunahitaji mwanaume mwenye akili sio jinga jinga.Hayo majinga jinga ndio huua
 
Kwema humu, nisiwachoshe nimeishi na mke wangu kwwnye ndoa mpaka sasa ni miaka mitano ila kutokqna na changamoto za ndoa nilikuwa nahitaji tuachane kwa amani na mke wangu pasi kugombana, kwahyo nilikuwa nahitaji kumpa talaka
Msaada wenu taratibu za kuandika talaka upoje?
Ntakupa mbinu ya kutoa talaka ila nakuozesha dada angu hata bila mahari. mimi nataka sitara ya dada angu.
 
Habari hizo ni nadra sana kuzisikia na ni matokeo ya wanaume wasio na akili kuoa
Mwanaume asiye na akili hatakiwi kuoa.
Kuoa kunahitaji mwanaume mwenye akili sio jinga jinga.Hayo majinga jinga ndio huua
Kwahyo kwa maoni yako watu wakishaoana haruhusiwi kuachana?
 
Swali limepata jibu...

VInginevyo ulivyoandika hakuna hata kimoja jamaa alichouliza hivyo hakuna haja ya kupoteza wakati na kujaza 'server'
Humu ndani watu wamedakia na kuanza kutoa ushauri wa aanzie wapi kutoa talaka? Wanamjua huyo wanayemshauri aanzie wapi process za talaka kama ana akili timamu?

Swali la kwanza alitakiwa kuulizwa ninje una akili timamu mleta mada?

Mimi nimeanzia kumchambua huyo mtaka kutoa talaka kuwa akili hana
 
Closed wapi wewe?

Mwanaume kushindwa kuishi na mke ni wazi kuwa huyo mwanaume akili hana
Asiye na akili haruhusiwi kufungua kesi ya talaka

Ungeshauri mwanaume akapimwe akili kwanza hospitali ya vichaa mirembe
Kuna wanawake wanatabia ngumu labda uwe Yesu ndo utaweza ishi nao.
Unaishije na mwanamke aliyekosa malezi mema toka kwa mama yake,nawe ukavamia tu kwa sababu alijifanya malaika ukaingia kingi.
Kunguru afugikiki ndoa ni heshima na utii kama hana je.
 
Upo tiyari kukaa bila kuoa tena mpendwa? Kumbuka kuachana ni machukizo kwa Mungu!

Malaki 2:16
Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.



Ni kweli anachukia kuachana lakini hajakataza kuachana.

Ameruhusu kuachana .

Ingekuwa anachukia kiivyo asingeruhusu kuachana.
 
Kama ni muislam nenda bakwata wilaya. Kama ni mkristo nenda kanisani au ofisi ya kata kwanza.

Kama hamna mali huna haja ya talaka we beba suruali zako jiondokee,
Kwa wakristo talaka ni kwa matajiri ili wagawane mali kisheria sasa weww kapuku talaka ya nini.

Nb talaka huandiki wewe inaandikwa na hakimu based on your grounds za kuachana

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikitoka nimetoka, sirudi tena



Hapana utapata mtakaeelewana.

Wala usiseme hutaoa tena.

Yupo ambae mtaelewana na kuchukuliana Penye mapungufu na kuelekezana na kusikilizana.

Lakini ukishamaliza
Mambo ya talaka jipe muda wa kutosha ndipo utafikiria kuanzisha mahusiano polepole huwezi amini utakuja kupata mwanamke mtaelewana mpaka ushangae!

Hiyo hutokea mara nyingi tu.
 
Kama hutajali hebu nitumie picha ya mke unsyetaka kumuacha,huenda mungu kamueusha na mengi aje kwangu,[emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]



Unazani swala ni muonekano wa nje ?

Ndio maana wengi huingia mkenge kwa kuangalia nje badala ya kuangalia tabia njema na moyo wa upendo na ustahamilivu.
 
Kama una mchepuko basi huenda ndio aloleta mfaraka wa nyie kutaka kuachana.

Anataka muachane umuoe yeye.

Tafakari.

Michepuko wengi ni wachawi na washirikina.

Ni wachache sana ambao hawarogi wanaume.

Off course hata wake wa ndoa nao wapo wengi tu wachawi na washirikina sana tu.

Hasa wale ambao ni tegemezi kiuchumi.

Awe hafanyikazi rasmi kabisa au anafanya lakini kipato kidogo kama rafiki zake Mr. Mpwayungu Village.

Maana anajua ukimuacha hataweza kuishi maisha yenye hadhi mnayoishi akiwa na wewe.

Au la alenge kugawana Mali.
 
Nimekuelewa ndugu, ngoja nimuandikie mana tayari nishamtamkia
Uzi ufungwe Kama umemtakia inatosha ,,,kumuandikia fanya TU Kama unataka aende kwao....lkn kisheria unapaswa kumtenga yaani alale chumba chake na mahitaji ya msingi ayapate Kama chakula na malazi,,...

Ukihisi hutoweza kukaa nae mruhusu aende kwao Ni wajibu wako kumuhudumia kipindi Cha Eda mpk iishe
 
Wazazi pia wao ndio uchangia talaka kwa watoto wao sababu ya malezi mabovu kwa watoto wao. Mzazi mtoto sio wa kwako mtoto kwa mzazi ni mpangaji thus akifika umri anaondoka nyumbani, wewe umepewa na Mungu umlee tu kwa mda, mtoto sio wa kwako. Mtoto yeyeto uliyenae ni mme au mke wa mtu mtarajiwa na kwako yupo tuition kile unachomfunza ndicho anakwenda kupractice kwenye ndoa yake. Ndoa ni copy na paste ya jinsi wazazi walivyoishi labda tu kwa wale wenye hekima ( hekima means MUNGU ndani ya mwanadamu UTU ).Unapomuharibu mtoto means unaharibu ndoa yake atakuwa na tabia ngumu zisizovumilika kifuatacho ni talaka ( shetani ).Na lengo la talaka ni kuharibu future ya watoto au mtoto, shetani Katu hawezi leta talaka bila kuchungulia kesho ya mtoto watoto itakuaje, ukiona talaka tambua kuna mtoto au watoto wako kesho yake ni nzuri ana kipaji talanta ukubwa au kipawa fulani Ili kukisambaratisha shetani uleta talaka wazazi wakishatengana atawawini watoto au mlengwa kwa kukosa malezi ya wazazi (saikolojiko balance) mtoto akikosa malezi ataingia kwenye ulevi, uvutaji, umalaya, ushoga, wizi, nk Ili apate balance. Wote waliongia huko ( inaitwa kuuza nafsi yako kwa shetani ) wamekosa parental control wanafanya hivyo Ili kuitafuta ile saikolojiko balance ( utulivu wa nafsi, amani ya moyo ) Ulezi au uwepo wa baba na mama ni tiba ya magonjwa ya saikolojia kwa watoto na uwafanya wabalance. So lengo la talaka behind the scenes ni kuvuruga kipawa alichonacho mtoto, thus kwa study ni ngumu Sana kupeana talaka kabla amjabahatika kupata watoto au mtoto. Roho ya talaka huwa inakuja kuanzia miaka 5 ya ndoa kuanzia mtoto mmoja maadamu tu awe na kitu Mungu kaweka ndani yake, au unaweza ukazaa watoto wengine mkawq shwali mwenye kipawa akawa mtoto wa nne au kuendelea.Kama Hakuna mtoto mwenye kipawa ndani yake ni ngumu Sana talaka kujitokeza.
So usione hawa machizi, mateja, vibaka, nk mtaani hawa shetani kachukua vipawa vyao na kuwapa wafuasi wake wanufaike navyo kwa kuwaibia wengine.
 
Back
Top Bottom