mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,565
- 2,944
Maisha ni mepesi ssna,wenzetu mnacomplicate sana maisha,talaka nipeleke mahakaman kwan wao ndo waliniozesha??talaka natoa mm wengine nawqpa taarifa tu kuanzia leo fulani siyo mke wangu basiii,siyo naendw kuwaomba ruhusa ya kumuacha as if wanaishi naye wao!!Yaan ni muislam ndo uanzishe mpaka uzi? Wewe chana kikaratasi hata kama ni cha kufungia maandazi, andika hivi" kuanzia keo mimi na wewe basi" mpelekee
Yaan waislam mbaoana kwa ndoo moja ya maandazi, na chai ya rangi, kuachana ndo uangaike?
Nasikia hata sms moja tu mnaachana unasubiri nini?
Kwa ufafanuzi huu mzuri,ndugu mleta mada unasemaje. Ujipangee au ukimbie tu huo msala?Habari Mkuu
Kuna vitu muhimu vya kufahamu hasa linapokuja swala la talaka kwani watu wengi hudhani talaka ni jambo la wanandoa pekee, si kweli.
1. Talaka hutolewa na Mahakama, hivyo ili kupata talaka ni lazima ukafanye maombi Mahakamani na si kila Mahakama bali itakupasa kuzingatia maelekezo ya sheria kulingana na aina ya ndoa yenu
2. Talaka hutolewa kwa kuionesha Mahakama sababu za msingi za kuifanya iamini kuwa ndoa yenu hioyo hairekebishiki tena. Fahamu kuwa Mahakama yenyewe haipendi kutoa talaka/kuvunja ndoa za wapendanao.
3. Talaka itakupa uwezo wa kutambulika kama mtu asiye ndani ya ndoa, hii ina maana kuwa kwa wakristu wataweza kuoa/kuolewa tena na kwa waislamu itahesabu ongezeko la idadi ya nafasi ya kuoa mke mwingine, kwa watamaduni vivyo hivyo pia.
4. Talaka hutolewa kwa ndoa inayotambulika kisheria na ili kuthibitisha uwepo wa hiyo ndoa ni sharti pawepo cheti cha ndoa hiyo. Hii ni kwa ndoa za aina zote, kidini, kiserikali na kimila, ni sharti ndoa iwe imesajiliwa kwa msajili wa ndoa.
5. Kabla ya kufanya maombi ya talaka Mahakamani ni sharti muwe mmeshapita kwenye usuluhishi wa ndoa, na ikashindikana kusuluhishwa hivyo mkapatiwa hati ya kushindwa kwa usuluhishi. Usuluhishi unaweza kufanywa na Baraza la kata au mabaraza ya kidini ya usuluhishi wa ndoa, ila sharti Baraza hilo liwe linatambulika kisheria.
6. Baada ya talaka kinachofuata ni mgawanyo wa mali mlizochuma pamoja, hapa ni lazima ijulikane kuwa huu mgawanyo una wahusu watalaka pekee na wala hauwahusu watoto wao. Kumekuwa na mazoea na dhana kwamba mali tutawapa watoto, hii ni kinyume na sheria. Zipo kesi za Mahakama Kuu zilizopinga hili swala/mtazamo.
Mwisho kabisa, pole kwa maswahibu Mkuu, pima uzani wa unayopitia kisha tafakari vizuri kama kweli talaka ndjo suluhisho la hayo maswahibu. Ukiona ndio basi fuata utaratibu, ukikwama unaweza niuliza siku yoyote nitakupa mwanga pindi nitakapoona swali lako.
Kila la kheri.
Wewe jamaa kwenye mijadala isiyo ya kisiasa una akili sanaBiblia inatamka wazi kuwa wanaume wanatakiwa kuishi na wanawake kwa akili..Na unapooa huwa unaulizwa kama una akili timamù.Lengo la swali ni kujua kama una akili za kuishi na mke. Ukiona mwanaume anampa talaka mkewe au anasema mke kanishinda ujue huyo mwanaume akili timamu hana za kuishi na mwanamke.
Safi sana. Ili uwe huru ni vizuri kufanya hivyo. Hawa wanawake zetu pasua kichwa sana mkuu. Wengi wetu tunachagua kuishi nao ili mradi tu maisha yaende. Wanachochea sana uzinzi tunajukuta una mademu wa kupiga nje kutafuta furahaNimeufata ushauri wa bwana Mideko reply #15
Kama ni muislam nenda bakwata wilaya. Kama ni mkristo nenda kanisani au ofisi ya kata kwanza.
Kama hamna mali huna haja ya talaka we beba suruali zako jiondokee.
Kwa wakristo talaka ni kwa matajiri ili wagawane mali kisheria sasa weww kapuku talaka ya nini.
Nb talaka huandiki wewe inaandikwa na hakimu based on your grounds za kuachana
Kwani mungu yeye aliwahi kuoa,Upo tiyari kukaa bila kuoa tena mpendwa? Kumbuka kuachana ni machukizo kwa Mungu!
Malaki 2:16
Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema BWANA wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
[emoji419][emoji419][emoji419]Safi sana. Ili uwe huru ni vizuri kufanya hivyo. Hawa wanawake zetu pasua kichwa sana mkuu. Wengi wetu tunachagua kuishi nao ili mradi tu maisha yaende. Wanachochea sana uzinzi tunajukuta una mademu wa kupiga nje kutafuta furaha
Ungemquote mtoa mada sio mimi.❌ Kwa Sheria ya ndoa ya Tanzania , hakuna mtu mwenye mamlaka ya kuandika Wala kutoa talaka tofauti na Mahakama baada ya kupitia taratibu zote na kubaini kuwa ndoa imevunjika vipande vipanda Haina spea na Wala haitawezekana tena kwa wanandoa hao kuishi pamoja.
✅ Utaratibu, unasnzia kwa Baraza la usuluishi la Kata, pale ambapo mmoja wa wandoa ataoeleka malalamiko, basi Baraza litawaita na kuwasikiliza kwa lengo sii la kuvunja ndoa Bali kuwasuluisha maana kwa mujibu wa kifungu Cha 9 Cha Sheria ya ndoa na kesi ya Hyde vs Hyde lengo la ndoa ni wanandoa waishi pamoja hadi kifo kiwatenganishe. Baraza likishindwa kusuluisha litaandika certificate kwa mahakama kuwa usuluishi umeshindikana. Hivyo hakuna kesi yoyote ya maombi ya talaka yatapikelewa mahakamani kabla ya kupitia kwenye Baraza la usuluishi linambulika kisheria. Mtu mwenye dini Fulani ambapo ndoa imefungwa kwa misingi hiyo na wanayo mabaraza ya usuluishi, mabaraza hayo yanaweza kutbulika kama mbadala wa mabaraza ya Kata.
✅ Kesi ikifika mahakamani, baada ya kuwasikiliza itsona kama kweli haiwezekani wanandoa Hawa kuendelea kuishi pamoja na kabla haijatoa talaka lazima itoe muda wa kisheria wa wanandoa kujitafakari hii order ni separation ambayo ni decree nisi.
✅ Baada ya muda wa separation kuisha mahakama itawasikilizs tena kama bado mambo ni magumu basi itatoa talaka na amri za matunzo ya watoto ( kama wapo) na mgawanjo wa Mali walizochuma pamoja .
❌ Hivyo, kwa Sheria zetu, makatatasi wanaojiandikia watu kwa kusema mara ni talaka tatu, mara talaka rejea kimsingi Yale sii talaka na hayana effect ya kuvunja ndoa, mmoja wao akienda mahakamani kesi inasikilizwa upya kwa mujibu wa Sheria na haki inatolewa. CHOMBO CHENYE MAMLAKA YA KUVUNJA NDOA KISHERIA TANZANIA NI MAHAKAMA TUU
Kama ulikuwa unafahami Sheria ya nchi inasemaje kuhusu talaka, na kama unafahamu mamlaka yenye nguvu ya kisheria kutoa talaka sii kanisa, msikiti au muoaje ungemshauri afanye kwa mujibu wa Sheria akaanzie kwenye ( marriage conciliation board) ili apate certificate ya kwenda mahakamani, na Mahakama iangalie kama zile elements za kwamba marriage has broken down irreparably zimetimia na hivyo kutoa talaka ambayo itawaacha huruHa ha ha watu wanashidwana kisha wanamsingizia Mungu.
Uko sawa ninachopinga ni kumwachia mungu.Kama ulikuwa unafahami Sheria ya nchi inasemaje kuhusu talaka, na kama unafahamu mamlaka yenye nguvu ya kisheria kutoa talaka sii kanisa, msikiti au muoaje ungemshauri afanye kwa mujibu wa Sheria akaanzie kwenye ( marriage conciliation board) ili apate certificate ya kwenda mahakamani, na Mahakama iangalie kama zile elements za kwamba marriage has broken down irreparably zimetimia na hivyo kutoa talaka ambayo itawaacha huru
Kumbe kuachana ni vita tu au?Nani kasema kuna kuachana kwa amani??
Allah katika Surat baqarahNani kasema kuna kuachana kwa amani??
Alie weka hilo tangazoNani kasema kuna kuachana kwa amani??
Kuna mtu katumia ID yako kuandika huu ujumbe? Maana haiwezekani kabisa kwamba ni wewe!Waislamu mahari huwa ndogo na ndoa hudumu muda kidogo
Mwanaume au mwanamke wa kiislamu kuomba talaka ni kitu kidogo tu
Ndoa za Kikiristo hata kuwe na changamoto wanandoa wanatakiwa kuishi hadi kifo kiwatenganishe
Wanaume wa kiislamu pamoja na kuruhusiwa kuoa wake hadi wanne kutwa husingizia changamoto na kuoa wengine.
Mtu unaruhusiwa kuoa wake wanne huyo mmoja akikupa changamoto huwezu vumilia kidume wewe?
Akili huna za kuishi na mke kwa mujibu wa Biblia
Biblia inatamka wazi kuwa wanaume wanatakiwa kuishi na wanawake kwa akili..Na unapooa huwa unaulizwa kama una akili timamù.Lengo la swali ni kujua kama una akili za kuishi na mke. Ukiona mwanaume anampa talaka mkewe au anasema mke kanishinda ujue huyo mwanaume akili timamu hana za kuishi na mwanamke.Kifupi huyo mwanaume alitakiwa kuwa padri wa kanisa katoliki ambao hawao hawaoi.
Huyo mwanamke anayetaka kupewa talaka anatakiwa kumburuza mahakamani huyo mwaname huyu.mleta mada kwa kumtapeli na kumtaka amlipe fidia kubwa sana akielezea kuwa wakati anamuoa alijifanya kuwa ana akili timamu wakati kwenye ndoa kaonyesha wazi mambo mengi nyumbani na kwenye ndoa anaonyesha wazi akili hana.Na atoe ushahidi mfano hatunzi familia nk nk
Wewe unatakiwa upelekwe mirembe, kwa komenti hizi naamini dishi limeanza kuyumba.Closed wapi wewe?
Mwanaume kushindwa kuishi na mke ni wazi kuwa huyo mwanaume akili hana
Asiye na akili haruhusiwi kufungua kesi ya talaka
Ungeshauri mwanaume akapimwe akili kwanza hospitali ya vichaa mirembe
Sio rahisi Kama unavyo dhani ndoa Ni Mali ya serikaliMaisha ni mepesi ssna,wenzetu mnacomplicate sana maisha,talaka nipeleke mahakaman kwan wao ndo waliniozesha??talaka natoa mm wengine nawqpa taarifa tu kuanzia leo fulani siyo mke wangu basiii,siyo naendw kuwaomba ruhusa ya kumuacha as if wanaishi naye wao!!
Mbona baadhi ya watu mnapenda ndoa iwe ni kitu cha kung'ang'aniana hata kama mmeshachukiana? Kwa sababu ya nini sasa muishi kwa mateso na kuvumilia?Yaan ni muislam ndo uanzishe mpaka uzi? Wewe chana kikaratasi hata kama ni cha kufungia maandazi, andika hivi" kuanzia keo mimi na wewe basi" mpelekee
Yaan waislam mbaoana kwa ndoo moja ya maandazi, na chai ya rangi, kuachana ndo uangaike?
Nasikia hata sms moja tu mnaachana unasubiri nini?
Mkuu next time andika Kwa paragraph maana jinsi ulivyoandika inatia hata uvivu kusomaWazazi pia wao ndio uchangia talaka kwa watoto wao sababu ya malezi mabovu kwa watoto wao. Mzazi mtoto sio wa kwako mtoto kwa mzazi ni mpangaji thus akifika umri anaondoka nyumbani, wewe umepewa na Mungu umlee tu kwa mda, mtoto sio wa kwako. Mtoto yeyeto uliyenae ni mme au mke wa mtu mtarajiwa na kwako yupo tuition kile unachomfunza ndicho anakwenda kupractice kwenye ndoa yake. Ndoa ni copy na paste ya jinsi wazazi walivyoishi labda tu kwa wale wenye hekima ( hekima means MUNGU ndani ya mwanadamu UTU ).Unapomuharibu mtoto means unaharibu ndoa yake atakuwa na tabia ngumu zisizovumilika kifuatacho ni talaka ( shetani ).Na lengo la talaka ni kuharibu future ya watoto au mtoto, shetani Katu hawezi leta talaka bila kuchungulia kesho ya mtoto watoto itakuaje, ukiona talaka tambua kuna mtoto au watoto wako kesho yake ni nzuri ana kipaji talanta ukubwa au kipawa fulani Ili kukisambaratisha shetani uleta talaka wazazi wakishatengana atawawini watoto au mlengwa kwa kukosa malezi ya wazazi (saikolojiko balance) mtoto akikosa malezi ataingia kwenye ulevi, uvutaji, umalaya, ushoga, wizi, nk Ili apate balance. Wote waliongia huko ( inaitwa kuuza nafsi yako kwa shetani ) wamekosa parental control wanafanya hivyo Ili kuitafuta ile saikolojiko balance ( utulivu wa nafsi, amani ya moyo ) Ulezi au uwepo wa baba na mama ni tiba ya magonjwa ya saikolojia kwa watoto na uwafanya wabalance. So lengo la talaka behind the scenes ni kuvuruga kipawa alichonacho mtoto, thus kwa study ni ngumu Sana kupeana talaka kabla amjabahatika kupata watoto au mtoto. Roho ya talaka huwa inakuja kuanzia miaka 5 ya ndoa kuanzia mtoto mmoja maadamu tu awe na kitu Mungu kaweka ndani yake, au unaweza ukazaa watoto wengine mkawq shwali mwenye kipawa akawa mtoto wa nne au kuendelea.Kama Hakuna mtoto mwenye kipawa ndani yake ni ngumu Sana talaka kujitokeza.
So usione hawa machizi, mateja, vibaka, nk mtaani hawa shetani kachukua vipawa vyao na kuwapa wafuasi wake wanufaike navyo kwa kuwaibia wengine.
Piga chini huyo Mwanamke, usije kufa kwa sonona.Nimekuelewa ndugu, ngoja nimuandikie mana tayari nishamtamkia