Wazazi pia wao ndio uchangia talaka kwa watoto wao sababu ya malezi mabovu kwa watoto wao. Mzazi mtoto sio wa kwako mtoto kwa mzazi ni mpangaji thus akifika umri anaondoka nyumbani, wewe umepewa na Mungu umlee tu kwa mda, mtoto sio wa kwako. Mtoto yeyeto uliyenae ni mme au mke wa mtu mtarajiwa na kwako yupo tuition kile unachomfunza ndicho anakwenda kupractice kwenye ndoa yake. Ndoa ni copy na paste ya jinsi wazazi walivyoishi labda tu kwa wale wenye hekima ( hekima means MUNGU ndani ya mwanadamu UTU ).Unapomuharibu mtoto means unaharibu ndoa yake atakuwa na tabia ngumu zisizovumilika kifuatacho ni talaka ( shetani ).Na lengo la talaka ni kuharibu future ya watoto au mtoto, shetani Katu hawezi leta talaka bila kuchungulia kesho ya mtoto watoto itakuaje, ukiona talaka tambua kuna mtoto au watoto wako kesho yake ni nzuri ana kipaji talanta ukubwa au kipawa fulani Ili kukisambaratisha shetani uleta talaka wazazi wakishatengana atawawini watoto au mlengwa kwa kukosa malezi ya wazazi (saikolojiko balance) mtoto akikosa malezi ataingia kwenye ulevi, uvutaji, umalaya, ushoga, wizi, nk Ili apate balance. Wote waliongia huko ( inaitwa kuuza nafsi yako kwa shetani ) wamekosa parental control wanafanya hivyo Ili kuitafuta ile saikolojiko balance ( utulivu wa nafsi, amani ya moyo ) Ulezi au uwepo wa baba na mama ni tiba ya magonjwa ya saikolojia kwa watoto na uwafanya wabalance. So lengo la talaka behind the scenes ni kuvuruga kipawa alichonacho mtoto, thus kwa study ni ngumu Sana kupeana talaka kabla amjabahatika kupata watoto au mtoto. Roho ya talaka huwa inakuja kuanzia miaka 5 ya ndoa kuanzia mtoto mmoja maadamu tu awe na kitu Mungu kaweka ndani yake, au unaweza ukazaa watoto wengine mkawq shwali mwenye kipawa akawa mtoto wa nne au kuendelea.Kama Hakuna mtoto mwenye kipawa ndani yake ni ngumu Sana talaka kujitokeza.
So usione hawa machizi, mateja, vibaka, nk mtaani hawa shetani kachukua vipawa vyao na kuwapa wafuasi wake wanufaike navyo kwa kuwaibia wengine.