Utaratibu wa kutoa talaka upoje?

Utaratibu wa kutoa talaka upoje?

Kwa Taarifa yako, ndoa zote zinazofungwa ziwe za kiserikali, za dini zote nk ni ndoa za kiserikali na sio Kila kiongozi wa dini anaruhusiwa kufungisha ndoa nazima wawe na kibali na kusajiliwa serikalini. Hivyo Kuna watu wanafungishwa ndoa na watu wasio na kibali, zinakuwa batili mwanzo mwisho.
Uongo viongozi wengine wa diini hufungisha ndoa tu za dini na kuwapa vyeti vya ndoa vya dini tu husika kama watoavyo vyeti vya ubatizo,kipaimara nk

Sababu hawataki migongano na vitabu vyao vya dini ns serikali Wenginre hufungisha kuwa serikali haina dini kwa hiyo haiwezi toa vyeti vya ndoa ya kidini.

unaongea usichokijua.Kuna watu wana vyeti vya ndoa vya dini tu na hawajassjiliwa ns serikali na hawana huo mpango kabisa wa kusajiluwa serikalini zaidi ya wao kutambuliwa na dini zao tu wamo mashehe,wachungaji mapadri nk kibao hufungisha ndoa za dini husika bila usajili wa serikali na vyeti watoavyo ni vya dini tu.Lengo likiwa kukitokea cha kutoa jambo limalizwe kidini kama ambavyo ndoa ilifungwa kidini

Unaota usidhani kila ndoa ina cheti cha ndoa cha serikali na ina mpango wa kuwa nacho

Hata wewe ukitaka kamuombe kiongozi wako wa dini kuwa unataka ndoa ya kidini tu ns akupe cheti cha ndoa cha dini yako tu atakufungisha na kukupa ukikidhi vigezo vya dini husika
 
Kama nafsi imekataa usilazimishe kuishi nae maijepata matatizo bure!
Mungu aliweka mapenzi ya ndoa kiwe kitu cha kudumu sio cha kugeugeuka kama kichwa chako kugeuka geuka ukiwa unanyolewa na kinyozi saluni
 
Uongo viongozi wengine wa diini hufungisha ndoa tu za dini na kuwapa vyeti vya ndoa vya dini tu husika kama watoavyo vyeti vya ubatizo,kipaimara nk

Sababu hawataki migongano na vitabu vyao vya dini ns serikali Wenginre hufungisha kuwa serikali haina dini kwa hiyo haiwezi toa vyeti vya ndoa ya kidini.

unaongea usichokijua.Kuna watu wana vyeti vya ndoa vya dini tu na hawajassjiliwa ns serikali na hawana huo mpango kabisa wa kusajiluwa serikalini zaidi ya wao kutambuliwa na dini zao tu wamo mashehe,wachungaji mapadri nk kibao hufungisha ndoa za dini husika bila usajili wa serikali na vyeti watoavyo ni vya dini tu.Lengo likiwa kukitokea cha kutoa jambo limalizwe kidini kama ambavyo ndoa ilifungwa kidini

Unaota usidhani kila ndoa ina cheti cha ndoa cha serikali na ina mpango wa kuwa nacho

Hata wewe ukitaka kamuombe kiongozi wako wa dini kuwa unataka ndoa ya kidini tu ns akupe cheti cha ndoa cha dini yako tu atakufungisha na kukupa ukikidhi vigezo vya dini husika
Hujui lolote kuhusu sheria ya ndoa na nyamaza.

Wafungishaji ndoa wote ni ma agent wa serikali na wamesaljiliwa na Wana vibali . Wapo baadhi ya mashehe na wachungaji hawana vibali vya kufungisha ndoa , na undoa ya namna hiyo ikileta sintofahamu ,mahakama itaiita ndoa batili ( void arbinitual)

Usipotoke kwa maandishi yaliyopo kwenye vyeti hivyo mara maandishi ya kiarabu lakini vyote vipo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Nenda kwenye ofisi za bakwata kutana na wataalamu watakufafanulia hilo
 
Hujui lolote kuhusu sheria ya ndoa na nyamaza.

Wafungishaji ndoa wote ni ma agent wa serikali na wamesaljiliwa na Wana vibali . Wapo baadhi ya mashehe na wachungaji hawana vibali vya kufungisha ndoa , na undoa ya namna hiyo ikileta sintofahamu ,mahakama itaiita ndoa batili ( void arbinitual)

Usipotoke kwa maandishi yaliyopo kwenye vyeti hivyo mara maandishi ya kiarabu lakini vyote vipo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Nenda kwenye ofisi za bakwata kutana na wataalamu watakufafanulia hilo
Si kila mtu anafunga ndoa akiotea kuwa siku likitokea la kutokea aende mahakamani wacha Mungu na wanaomulingania Allah kwa nafsi zao na mioyo yao hawahitaji mahakama isiyo na dini kuamua kesi zao

Kesi zao huzipeleka misikitini au makanisani nk vyombo vya kidini

Maruhuni pekee ndie hutegemea huo utaratibu wako unasema sio walingania mola wao na waaminifu kwa dini zao

Wewe unaongelea maruhuni waliokatakataliwa kwenye dini na ahera wategemea hizo mahakama kwenye maswala ya ndoa ambazo hata huyo hakimu au jaji mwamua kesi ya ndoa aweza kuwa hata dini hana ni kafiri wa kutupwa asiyejua Mola ni nani au shetani ni nani
 
VIP akienda mahakamani unadhani mahakama itapokea icho kikaratasi Chako unachoita talaka.jamani mue na uwelewa ndoa Ni Mali ya serikali mahakama peke yake ndio imepewa mamlaka ya kuvunja ndoa
Ila tambua mahakama ina tambua dini na inaheshimu pia .
kwa mujibu wa dini ya kiislamu mwanamke akikaa eda akaimaliza yupo huru kuolewa na mwanaume mwingne . Nina rafiki yangu waliachana na mumewe wakapeana talaka rafiki yangu baada ya kumaliza eda akachumbiwa na mwanaume mwingne na akaolewa tena kisheria. Na akafungua kesi mahakamaniya mgawanyo wa mali kati yake na mumewe wa zamani ikiwa tayari ana ndoa nyingine kisheria.

Na hakusumbuliwa wala nini kuonekana wamevunja ndoa kienyeji.
 
Habari Mkuu
Kuna vitu muhimu vya kufahamu hasa linapokuja swala la talaka kwani watu wengi hudhani talaka ni jambo la wanandoa pekee, si kweli.

1. Talaka hutolewa na Mahakama, hivyo ili kupata talaka ni lazima ukafanye maombi Mahakamani na si kila Mahakama bali itakupasa kuzingatia maelekezo ya sheria kulingana na aina ya ndoa yenu

2. Talaka hutolewa kwa kuionesha Mahakama sababu za msingi za kuifanya iamini kuwa ndoa yenu hioyo hairekebishiki tena. Fahamu kuwa Mahakama yenyewe haipendi kutoa talaka/kuvunja ndoa za wapendanao.

3. Talaka itakupa uwezo wa kutambulika kama mtu asiye ndani ya ndoa, hii ina maana kuwa kwa wakristu wataweza kuoa/kuolewa tena na kwa waislamu itahesabu ongezeko la idadi ya nafasi ya kuoa mke mwingine, kwa watamaduni vivyo hivyo pia.

4. Talaka hutolewa kwa ndoa inayotambulika kisheria na ili kuthibitisha uwepo wa hiyo ndoa ni sharti pawepo cheti cha ndoa hiyo. Hii ni kwa ndoa za aina zote, kidini, kiserikali na kimila, ni sharti ndoa iwe imesajiliwa kwa msajili wa ndoa.

5. Kabla ya kufanya maombi ya talaka Mahakamani ni sharti muwe mmeshapita kwenye usuluhishi wa ndoa, na ikashindikana kusuluhishwa hivyo mkapatiwa hati ya kushindwa kwa usuluhishi. Usuluhishi unaweza kufanywa na Baraza la kata au mabaraza ya kidini ya usuluhishi wa ndoa, ila sharti Baraza hilo liwe linatambulika kisheria.

6. Baada ya talaka kinachofuata ni mgawanyo wa mali mlizochuma pamoja, hapa ni lazima ijulikane kuwa huu mgawanyo una wahusu watalaka pekee na wala hauwahusu watoto wao. Kumekuwa na mazoea na dhana kwamba mali tutawapa watoto, hii ni kinyume na sheria. Zipo kesi za Mahakama Kuu zilizopinga hili swala/mtazamo.

Mwisho kabisa, pole kwa maswahibu Mkuu, pima uzani wa unayopitia kisha tafakari vizuri kama kweli talaka ndjo suluhisho la hayo maswahibu. Ukiona ndio basi fuata utaratibu, ukikwama unaweza niuliza siku yoyote nitakupa mwanga pindi nitakapoona swali lako.

Kila la kheri.
Mgeni wa Jiji naweza kupata abc kuhusu jambo kwa leo hii
 
Mkuu kuna snerio zingine unasema ukweli ila kuna vitu hapa haviko sawa kwa baadhi ya kaya
Wazazi pia wao ndio uchangia talaka kwa watoto wao sababu ya malezi mabovu kwa watoto wao. Mzazi mtoto sio wa kwako mtoto kwa mzazi ni mpangaji thus akifika umri anaondoka nyumbani, wewe umepewa na Mungu umlee tu kwa mda, mtoto sio wa kwako. Mtoto yeyeto uliyenae ni mme au mke wa mtu mtarajiwa na kwako yupo tuition kile unachomfunza ndicho anakwenda kupractice kwenye ndoa yake. Ndoa ni copy na paste ya jinsi wazazi walivyoishi labda tu kwa wale wenye hekima ( hekima means MUNGU ndani ya mwanadamu UTU ).Unapomuharibu mtoto means unaharibu ndoa yake atakuwa na tabia ngumu zisizovumilika kifuatacho ni talaka ( shetani ).Na lengo la talaka ni kuharibu future ya watoto au mtoto, shetani Katu hawezi leta talaka bila kuchungulia kesho ya mtoto watoto itakuaje, ukiona talaka tambua kuna mtoto au watoto wako kesho yake ni nzuri ana kipaji talanta ukubwa au kipawa fulani Ili kukisambaratisha shetani uleta talaka wazazi wakishatengana atawawini watoto au mlengwa kwa kukosa malezi ya wazazi (saikolojiko balance) mtoto akikosa malezi ataingia kwenye ulevi, uvutaji, umalaya, ushoga, wizi, nk Ili apate balance. Wote waliongia huko ( inaitwa kuuza nafsi yako kwa shetani ) wamekosa parental control wanafanya hivyo Ili kuitafuta ile saikolojiko balance ( utulivu wa nafsi, amani ya moyo ) Ulezi au uwepo wa baba na mama ni tiba ya magonjwa ya saikolojia kwa watoto na uwafanya wabalance. So lengo la talaka behind the scenes ni kuvuruga kipawa alichonacho mtoto, thus kwa study ni ngumu Sana kupeana talaka kabla amjabahatika kupata watoto au mtoto. Roho ya talaka huwa inakuja kuanzia miaka 5 ya ndoa kuanzia mtoto mmoja maadamu tu awe na kitu Mungu kaweka ndani yake, au unaweza ukazaa watoto wengine mkawq shwali mwenye kipawa akawa mtoto wa nne au kuendelea.Kama Hakuna mtoto mwenye kipawa ndani yake ni ngumu Sana talaka kujitokeza.
So usione hawa machizi, mateja, vibaka, nk mtaani hawa shetani kachukua vipawa vyao na kuwapa wafuasi wake wanufaike navyo kwa kuwaibia weng
 
Back
Top Bottom