Michael mbano
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 820
- 570
Huu utaratibu wa kuwakata hela yao wapangaji wanaponunua umeme unawatesa wapangaji, kwa kuwa wananchi wapole na wanalia na machozi yanaishia ndani ndiyo mana hamjali?
Juzi nilikuwa nanunua umeme wa Tsh. 5,000 ukagoma, nikaongeza wa 1,000 ukagoma. Nikaweka 12,000 ndipo wakakubali tena umeme wa 2,000 tu ile 10,000 wakalamba inaniuma.
Wahusika mliangaliye hili.
Juzi nilikuwa nanunua umeme wa Tsh. 5,000 ukagoma, nikaongeza wa 1,000 ukagoma. Nikaweka 12,000 ndipo wakakubali tena umeme wa 2,000 tu ile 10,000 wakalamba inaniuma.
Wahusika mliangaliye hili.