Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀Watapelekwa Pakistan wakang'olewe figo...
Hapana mzee sio waarabu wote wako hivyo,Asilimia kubwa waarabu watu poa sana ukiishi nao vzuri....Mim nimekaa Saudia Arabia miaka 4...najua ninachokiongea.Zikitokea nafas mtupostie hapa ila isiwe nchi za kiarabu mana hawa kukutoa uhai kwao ni dakika mbili mbele
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Nafasi unazitambua sio zikutafuteZikitokea nafas mtupostie hapa ila isiwe nchi za kiarabu mana hawa kukutoa uhai kwao ni dakika mbili mbele
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Ukiogopa risk uzeeni usisumbue watuNgoja mkan'golewe figo bila kujijua!
Ndipo mtakapotambua kwamba "kumbe kachumbari si mboga"
HahaahhUkiogopa risk uzeeni usisumbue watu
Chezea Mwarabu! Ulizeni Kenya!Ukiogopa risk uzeeni usisumbue watu
C
Chezea Mwarabu! Ulizeni Kenya!
Kila siku wanapokea majeneza. Na, I assure you, hutakuja kusikia eti kesi iko mahakamani kwa sababu mtu mweusi kakatwa makofi na Mwarabu!
nasosro nipe mchongo na.mbinu na.mm.nimevutiwa sana siku niende kuanzia maisha huko saudiaHapana mzee sio waarabu wote wako hivyo,Asilimia kubwa waarabu watu poa sana ukiishi nao vzuri....Mim nimekaa Saudia Arabia miaka 4...najua ninachokiongea.
Nasikia kuna mdada wa kiganda katolewa figo huko baadhi ya waarab sio watu wazur kabisa
Watapelekwa Pakistan wakang'olewe figo...
Huko Uarabuni ni hatari sana hasa kwa mabinti..
Utaambiwa kuna ajira za ukarani, au usaidizi ofisini kwny makampuni ya maana, ukifika huko wanachukua documents zako zote pamoja na passport ili usitoroke maji yakizidi unga.
Unawekwa utumwani ndani ya danguro, au kazi za ndani, unahenyeka masaa mengi bila muda wa kupumzika na bila ujira!
Kuna wakati hata viungo vya mwili vinaibwa kinyemela🙄
![]()
Madaktari Uganda wathibitisha Judith kutolewa figo akiwa kwa mwajiri wake Saudi Arabia - BBC News Swahili
Madaktari nchini Uganda wamethibitisha kuwa mwanamke aliyekuwa akifanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia, wamegundua kuwa figo yake ya kulia imeondolewa na sio ajali ya gari kama ilivyoarifiwa awali na mwajiri wake.www.bbc.com
![]()
“Kufanya Kazi Mithili ya Roboti”
Ripoti ya kurasa 100, “Kufanya kazi mithili ya Roboti’: Unyanyasaji wa Watumishi wa ndani wa Kitanzania huko Oman na Umoja wa Falme za Kiarabu,” imeweka kumbukumbu namna serikali za Tanzania, Oman na Umoja wa Falme za Kiarabu zinavyoshindwa kulinda watumishi wa ndani wahamiaji kutoka Tanzania...www.hrw.org
C
Chezea Mwarabu! Ulizeni Kenya!
Kila siku wanapokea majeneza. Na, I assure you, hutakuja kusikia eti kesi iko mahakamani kwa sababu mtu mweusi kakatwa makofi na Mwarabu!
acha kukariri propaganda uchwara mkuu
Sijakariri kitu mzee hiyo Habari ipo bbc Swahili labda kama wao walizusha!
Mkuu waafrica tuna matatizo ya akili kabisa, ukisikia hizo story ni tafauti na uhalisia, Jaribu kufika kwenye hizo nchi na uone uhalisia wa mazingira, Nchi za kiarabu kuna waafrica mamilioni wanaoishi. Kama hayo munayoyazungumza ingelikua ni mambo ya kawaida huko kwanini waafrica waendelee kukimbilia kila kukicha?
Tuache kuchukua matukio mawili matatu tukayakuza kama ndio mazingira ya kimaisha huko yalivo. Mana tukiamua kukuza matukio Bongo kuna matukio kibao ya kinyama sana huko uarabuni hata robo hawanusi
Yeah kweli ila kwa nchi za Arabuni at least Dubai na Qatar hizo nchi nyingine nishida kwa watu weusi!