Leo sijui kiongozi gani alikuwa na ziara ipi mi sijui lakini kile kitendo cha kuwekwa saa mzima Ubungo pale tunasubiri mtu mmoja apite ni kaushamba sana.
VIONGOZI hawaoni kwamba hii ni kero kwa wananchi, wewe hayo unayoyafanya ndio yanakupa ulaji, pengine hata usipofanya ziara mshahara utapata tu. Kutuzuia sisi wengine ambalo kipato chetu kinatokana na mihangaiko na mishe za hapa na pale sio poa.
Kupoteza saa moja hujui nilikuwa nawahi dili gani inashusha uchumi. Yani tumekosa kabisa alternative ya hili? Wahurumieni wananchi bana.
VIONGOZI hawaoni kwamba hii ni kero kwa wananchi, wewe hayo unayoyafanya ndio yanakupa ulaji, pengine hata usipofanya ziara mshahara utapata tu. Kutuzuia sisi wengine ambalo kipato chetu kinatokana na mihangaiko na mishe za hapa na pale sio poa.
Kupoteza saa moja hujui nilikuwa nawahi dili gani inashusha uchumi. Yani tumekosa kabisa alternative ya hili? Wahurumieni wananchi bana.