Utaratibu wa leo kuingia uwanja wa Taifa ulikuwa kero kubwa na aibu kubwa

Utaratibu wa leo kuingia uwanja wa Taifa ulikuwa kero kubwa na aibu kubwa

tramadol

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
5,383
Reaction score
4,323
Leo nimeona vitu vya aibu sana uwanja wa Taiga wakati wa kuingia aibu tupu.

Askari Polisi ni kupiga watu,mistari mirefu ya kuingia na watu wanaingia kama vile wanaaga Maiti.

Mageti ya kuingia ni mawili ya majukwaa ya watu wengi na moja la VIP

Mpira umeanza almost nusu ya washabiki iko nje.

Askari wa geti la VIP walitumia wakili ya Ziada kuwaingiza washibiki wa majukwaa mengine ndiyo ikasaidia sana.

Changamoto kwa uongozi mpya.Kuboresha namna ya kuingia uwanjani vizuri.
 
Inaonekana uwanja wa taiga utaratibu wake ni mbovu sana kumbe
 
IMG_20170713_161812.jpg

Foleni ya kuingia saa kumi na nusu hiyo
 
IMG_20170713_173812.jpg

Uwanjani kabla half ya kwanza kumalizika
 
Dawa kuwahi saa 12 asubuhi tuu halafu uone kama utakaa foleni

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Leo nimeona vitu vya aibu sana uwanja wa Taiga wakati wa kuingia aibu tupu.

Askari Polisi ni kupiga watu,mistari mirefu ya kuingia na watu wanaingia kama vile wanaaga Maiti.

Mageti ya kuingia ni mawili ya majukwaa ya watu wengi na moja la VIP

Mpira umeanza almost nusu ya washabiki iko nje.

Askari wa geti la VIP walitumia wakili ya Ziada kuwaingiza washibiki wa majukwaa mengine ndiyo ikasaidia sana.

Changamoto kwa uongozi mpya.Kuboresha namna ya kuingia uwanjani vizuri.
Mimi nimepigwa rungu japo nilisimama mstarini. Maaskari walianza kurusha rungu hovyo kuna watu walitusukuma tokea nyuma. Nimeumia.mkono, japo maaskari waliniomba radhi na kunituhusu kuingia. Nimechukua namba ya askari aliyenipiga nataka nikamashitaki kwa boss wake anieleze kama kazi ya askari ni kupiga watu hovyo hata kama hawafanyi fujo.
 
Bado sana logistics kwa watanzania kama tunaweza kuuza mchanga wa dhahabu kwa bei ya bure bado tunaweza kufanya uzembe mkubwa mno na kuwaacha wageni watawale wanavyotaka
 
Mimi nimepigwa rungu japo nilisimama mstarini. Maaskari walianza kurusha rungu hovyo kuna watu walitusukuma tokea nyuma. Nimeumia.mkono, japo maaskari waliniomba radhi na kunituhusu kuingia. Nimechukua namba ya askari aliyenipiga nataka nikamashitaki kwa boss wake anieleze kama kazi ya askari ni kupiga watu hovyo hata kama hawafanyi fujo.
Na huyo askari aliyekupiga rungu bila shaka ana cheti feki. Wengi wa hawa jamaa hayakusoma kabisa
 
Nimekata tiketi ya VIP, nilipoona watu wanakula virungu kwenye lile geti nikasema isiwe taabu; Nikaenda zangu kule kwa buku 3. Pia, watanzania bado sana kustaarabika.

Hovyo sana ..! Siendi tena hapo Taifa kwa sasa.
Uwe na tiketi ya VIP uwe na buku tatu ilikuwa shida tupu ni virungu tu
 
Na huyo askari aliyekupiga rungu bila shaka ana cheti feki. Wengi wa hawa jamaa hayakusoma kabisa
Yaani inawezekana kabisa hili ni bashite lingine.Muda mrefu tumesimama naye anatuona tuko kwwnye foleni. Bila kutumia akili linaamua kurusha rungu hovyo bila kuangalia vurugu imetokea wapi. Maaskari wa bongo ni shida kubwa sana.
 
Yaani inawezekana kabisa hili ni bashite lingine.Muda mrefu tumesimama naye anatuona tuko kwwnye foleni. Bila kutumia akili linaamua kurusha rungu hovyo bila kuangalia vurugu imetokea wapi. Maaskari wa bongo ni shida kubwa sana.

Nilimuona alivokugonga rungu mkuu yule askari ni mraibu wa ugoro,ugoro umemwaribu akili kabisa
 
Leo nimeona vitu vya aibu sana uwanja wa Taiga wakati wa kuingia aibu tupu.

Askari Polisi ni kupiga watu,mistari mirefu ya kuingia na watu wanaingia kama vile wanaaga Maiti.

Mageti ya kuingia ni mawili ya majukwaa ya watu wengi na moja la VIP

Mpira umeanza almost nusu ya washabiki iko nje.

Askari wa geti la VIP walitumia wakili ya Ziada kuwaingiza washibiki wa majukwaa mengine ndiyo ikasaidia sana.

Changamoto kwa uongozi mpya.Kuboresha namna ya kuingia uwanjani vizuri.
Unaonekana sio muendaji wa mechi kubwa.
Mechi imeanza saa 11,wenzako wameacha mambo yao saa8 wapo ndani ilikukwepa usumbufu
 
Nafuu ina matatizo kiingilio cha ndondo unamuona rooney

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Mm siendi taifa kwa mtindo huo huo wa kupigwa bora niangalie mpira kwamgu mara mia

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom