Utaratibu wa Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa kwa mujibu wa Sheria ya Mazishi ya Viongozi wa Kitaifa ya 2006

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
Kifungu namba 7 (a): Baada ya kupata taarifa rasmi na uthibitisho wa Daktari kuhusu kifo cha kiongozi huyo

Rais atatangaza kifo cha kiongozi huyo kwa kutaja tarehe, muda na sababu ya kifo chake

Rais atatangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa na bendera kupepea nusu mlingoti

Rais ataitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri

 

Attachments

Upvote 5
Viongozi watazikwa kwenye makaburi ya kitaifa jijini Dodoma. Hii imekaaje?

Hapa sheria nadhani imeshafanyiwa marekebisho.Nakumbuka Rais Magufuli alisema ni bora kila mtu akazikwa kwao
 
Bunge limevunjwa na mawaziri wanatokana na ubunge, atatoa wapi mawaziri?

Mawaziri bado wapo kwenye nafasi zao. Kichekesho, mpaka sasa Ndugai bado ni spika!! CCM hoyee.
 
Kwann kaburi la rais huchimbwa na usalama wa taifa?
Mbona lile kaburi la Rais Mkapa vijana wa Jkt waliopo mafunzoni ndio waliochimba kaburi,tena mpaka kufukia kwa zege vijana wa Jkt ndio waliohusika
 
Mbona lile kaburi la Rais Mkapa vijana wa Jkt waliopo mafunzoni ndio waliochimba kaburi,tena mpaka kufukia kwa zege vijana wa Jkt ndio waliohusika
Nafikiri trend ya uongozi inajulikana
1.Rais
2.Makamu wa Rais
3.Waziri Mkuu
.
.
.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…