Utaratibu wa Mikopo midogo midogo kwa Bukoba Mjini- Wakopeshaji

Utaratibu wa Mikopo midogo midogo kwa Bukoba Mjini- Wakopeshaji

M-FINANCE

Senior Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
107
Reaction score
142
Nani mwenye kuwajua wakopeshaji Binafsi kwa Kagera?

Kiwango kinachoanzia angalau 5m and above

Tuwasiliane kuna jambo la joint
 
Biashara hizo ni wizi wa kimachomacho wa fedha, wameambiwa waombe leseni, unakuta riba ni 40% kwa mwezi mmoja, kibaya wanahusisha vyombo vya serikali kama polisi na mahakama. Mnaenda kuandikishiana mahakamani, hakimu anapata chake, ole wako msielewane halafu upelekwe polisi, utapigwa msukosuko balaa, akikupeleka mahakamani unamkuta hakimu au rafiki yake yule aliyekusainisha mkataba.
Chanzo: mimi mwenyewe yalinitokea
 
Back
Top Bottom