Nadhani haipungui milioni moja, inategemea na taasisi husika; ila ni bora mtu akusaidie/akupe mchango kwenye kuuguza kuliko akupatie pesa baada ya kupoteza mpendwa wako. Ikiwezekana achana na hayo mambo ya kuomba kulipwa, kwasababu haitarejesha uhai wa uliyempoteza.