Utaratibu wa tozo za maegesho ya gari

Utaratibu wa tozo za maegesho ya gari

Utaratibu huu mpya hasa jiji la Dar es salaam kuhusu tozo za maegesho ya gari wahusika wautizame upya.Sipingi kuhusu toz hii bali utaratibu siyo mzuri na unaleta urasimu au usumbufu kwa watumiaji wa magari pale wanapoegesha.

Sasa hivi ukiegesha gari waliopewa jukumu kusimamia wana scan na kukupa risiti ambayo unatakiwa ulipie kwa njia ya simu au uende kwa kwa wakal ukalipe.

Kweli mia 500 mtu uanze tafuta wakala na siyo kila mtu anaweka pesa mpesa au tigopesa. Kwanini wasingefanya utaratibu kama kuwepo na kadi maalum unajaza humo kifurushi chako ukifika wakati wa kulipia mtozaji anakuwa na mashine unaweka kadi yako na password biashara inakwisha .

Fikiria wazee ambao hata mpesa hawajui yaani kweli kubudi njia rahisi ya kuondoa usumbufu. Mbona airport au mlimani city hamna tatizo kuna vibanda unaenda lipia tu.

Sasa karisiti kakipotea imekula kwako maana utakutana na adhabu ambazo hazikuwa na msingi wowote kama njia ya ulipaji ingekuwa ni rahisi na rafiki kuliko ilivyo sasa.
Tatizo la kuwa na waziri wa fedha mwenye Phd ya dukani
 
Utaratibu huu mpya hasa jiji la Dar es salaam kuhusu tozo za maegesho ya gari wahusika wautizame upya.Sipingi kuhusu toz hii bali utaratibu siyo mzuri na unaleta urasimu au usumbufu kwa watumiaji wa magari pale wanapoegesha.

Sasa hivi ukiegesha gari waliopewa jukumu kusimamia wana scan na kukupa risiti ambayo unatakiwa ulipie kwa njia ya simu au uende kwa kwa wakal ukalipe.

Kweli mia 500 mtu uanze tafuta wakala na siyo kila mtu anaweka pesa mpesa au tigopesa. Kwanini wasingefanya utaratibu kama kuwepo na kadi maalum unajaza humo kifurushi chako ukifika wakati wa kulipia mtozaji anakuwa na mashine unaweka kadi yako na password biashara inakwisha .

Fikiria wazee ambao hata mpesa hawajui yaani kweli kubudi njia rahisi ya kuondoa usumbufu. Mbona airport au mlimani city hamna tatizo kuna vibanda unaenda lipia tu.

Sasa karisiti kakipotea imekula kwako maana utakutana na adhabu ambazo hazikuwa na msingi wowote kama njia ya ulipaji ingekuwa ni rahisi na rafiki kuliko ilivyo sasa.
Mkuu leo amescan dada wa parking kanipa risiti nikajisahau car wash wametoa takataka sasa sjui deni linakuwa na nalilipajee ...ni usumbufu kiukweli
 
Mbaya zaid kwenye hii tozo hawajaconsider mkaazi yaani mtu unaish pale kila baada ya lisaa limoja ulipe sh 500, kwa siku 6000, na huk umelala tu ndani this is insane. Wanahis mwenye gari anaingiza pesa tu ata kam hii mentality ya kipuuz sana.
 
Na shaka kuwa mhudumu anapo kukatia tiketi inapo pita lisaa anakata ingine hata kama haupo mm naona na pata bill pasipo kupaki gari popote kama Kuna mwingine ameona hivi naomba mchangie
 
Back
Top Bottom