Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
Wakuu hbari,
Juzi kati nilikua na safari ya kwenda mikoa ya kusini sasa kila askari akinisimamisha kama nikiwa na kosa naandikiwa risiti na kuna huu utaratibu nimeuona mpya WA KUNAKIRI KOSA PEMBENI KWENYE NOTEBOOK PAMOJA NA TAARIFA ZA DEREVA.
Sijajua huu utaratibu mpya umewekwa kwa malengo gani ila nina wasiwasi askari wasio waadilifu akiona siku hajakamata mtu anaweza tumia hizo taarifa kubambikia mtu kosa.
Naomba kufanamishwa kwa anaejua ni nini lengo la huu utaratibu wa kurekodi kosa pamoja na taarifa za mkosaji pembeni.
Nawasilisha.
Juzi kati nilikua na safari ya kwenda mikoa ya kusini sasa kila askari akinisimamisha kama nikiwa na kosa naandikiwa risiti na kuna huu utaratibu nimeuona mpya WA KUNAKIRI KOSA PEMBENI KWENYE NOTEBOOK PAMOJA NA TAARIFA ZA DEREVA.
Sijajua huu utaratibu mpya umewekwa kwa malengo gani ila nina wasiwasi askari wasio waadilifu akiona siku hajakamata mtu anaweza tumia hizo taarifa kubambikia mtu kosa.
Naomba kufanamishwa kwa anaejua ni nini lengo la huu utaratibu wa kurekodi kosa pamoja na taarifa za mkosaji pembeni.
Nawasilisha.