Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kuchukua maneno yangu hahahahaaa najua Polisi lazima waende. CCM na POLIsi ni sawa na tako na chupiPolisi wanaweza kuja kuzui tukio hili kwa maagizo kutoka juu!!
Hahahaha hapo roho inakudundaaaChama chakavu kinajitutumua
Naona wanapotezeana muda.
Nimejikuta nacheka tu !Polisi wanaweza kuja kuzui tukio hili kwa maagizo kutoka juu!!
😆😆😆😆Safi sana nafasi zipo wazi sio kama chama "FURANI" kimechapisha form moja ya kugombea nafasi ya "VYOMBO VYA DOLA".
mimi nikajua hiyo kazi ilisha kamilika KUMBE HATA UTARATIBU ULIKUWA BADO? Iweje viongozi wa ngazi za juu wa Chama waanze kujitokeza kuonesha nia na wengine kujitangaza wakati hata utaratibu haujatolewa; sasa si wanaweza kuwa wamekwenda kinyume na utaratibu; najiuliza tu ?
Kule kutia nia ulikuwa ni mpango wa Chadema yenyewe , kwahiyo ulikuwa mpango halali wa chama ili kupembua pumba na mchelemimi nikajua hiyo kazi ilisha kamilika KUMBE HATA UTARATIBU ULIKUWA BADO? Iweje viongozi wa ngazi za juu wa Chama waanze kujitokeza kuonesha nia na wengine kujitangaza wakati hata utaratibu haujatolewa; sasa si wanaweza kuwa wamekwenda kinyume na utaratibu; najiuliza tu ?
Chama chakavu kinajitutumua
Ungekuwa unajua Lugha ya sheria; Mpango maana yake ni UTARATIBU, sasa iweje wawe na mpango ila wasiwe na Utaratibu?Kule kutia nia ulikuwa ni mpango wa Chadema yenyewe , kwahiyo ulikuwa mpango halali wa chama ili kupembua pumba na mchele