Utaratibu wa urejeshwaji wa Watanzania 301 kutoka Marekani

Najaribu kuvuta hisia yule mdada alimucha mumewe na watoto akaondoka kwa matambo hata mwaka hujaisha sidhani kama alipata green card.
Sijui atarudia wapi maana mumewe keshaoa mke mwingine.

Ila pamoja na yote huu uzi nimegundua umejaa udaku,wivu na ufukunyungu wa kijicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…