KERO Utaratibu wa wanafunzi kwenda shule hadi Jumapili udhibitiwe

KERO Utaratibu wa wanafunzi kwenda shule hadi Jumapili udhibitiwe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Watoto mnawalazimisha kwenda mpaka Jumapili wasipokuja mnawachapa.

Jumamosi na Jumapili watoto wanaenda ibadani nyinyi mnawaza kufundisha tuu sijui akili zenu zikoje. Tafuteni kazi nyingine nje ya ualimu mnatia aibu mpaka nafasi za kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura mpoo.

Mnafosi watoto waje na buku Kila weekend wasipokuja nayo mnawapiga Sasa mtoto amepata wapi pesa, mmeshindwa kudai maslahi yenu hasira mnapeleka kwa watoto.

Kuweni na adabu
 
Watoto mnawalazimisha kwenda mpaka Jumapili wasipokuja mnawachapa.

Jumamosi na Jumapili watoto wanaenda ibadani nyinyi mnawaza kufundisha tuu sijui akili zenu zikoje. Tafuteni kazi nyingine nje ya ualimu mnatia aibu mpaka nafasi za kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura mpoo.

Mnafosi watoto waje na buku Kila weekend wasipokuja nayo mnawapiga Sasa mtoto amepata wapi pesa, mmeshindwa kudai maslahi yenu hasira mnapeleka kwa watoto.

Kuweni na adabu
Kwani hao watoto hawana wazazi kuamliwa la kufanya?
 
Watoto mnawalazimisha kwenda mpaka Jumapili wasipokuja mnawachapa.

Jumamosi na Jumapili watoto wanaenda ibadani nyinyi mnawaza kufundisha tuu sijui akili zenu zikoje. Tafuteni kazi nyingine nje ya ualimu mnatia aibu mpaka nafasi za kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura mpoo.

Mnafosi watoto waje na buku Kila weekend wasipokuja nayo mnawapiga Sasa mtoto amepata wapi pesa, mmeshindwa kudai maslahi yenu hasira mnapeleka kwa watoto.

Kuweni na adabu
Hilo ni suala ambalo lipo na wanafunzi inapotokea imebidi wanaenda mpk jumapili shule
 
Watoto mnawalazimisha kwenda mpaka Jumapili wasipokuja mnawachapa.

Jumamosi na Jumapili watoto wanaenda ibadani nyinyi mnawaza kufundisha tuu sijui akili zenu zikoje. Tafuteni kazi nyingine nje ya ualimu mnatia aibu mpaka nafasi za kuandikisha daftari la kudumu la wapiga kura mpoo.

Mnafosi watoto waje na buku Kila weekend wasipokuja nayo mnawapiga Sasa mtoto amepata wapi pesa, mmeshindwa kudai maslahi yenu hasira mnapeleka kwa watoto.

Kuweni na adabu
Na jmosi
 
Sema bongo jau sana,
Yan mtu anajitoa kwa ajiili ya watoto wake, ila bado wazazi wake wanapiga kelele
Shule sio gereza, Kuna mda WA Mapumziko pia. Mda WA ibada na kusaidia wazazi kazi ni msingi wa malez kwa watoto kuliko shule
 
Wale watoto hataa kudeki ndan hawajui nduguu ukikuta mzazi na matron ma best wanatafutiwa na mtu wa kufua nguoo niongezee sauti achatuu
 
Shida yetu ni kuwa hatujui kuwa mapumziko kwa mtoto ni muhimu sana katika kukua kwake. Mtoto anajifunza kutoka kwa wazazi wake pamoja na jamii. Mtoto anajifunza namna ya kuishi na wenzake anapocheza nao. Kwa vile sisi tunaamini elimu ni kukariri basi tunaamini wakishinda darasani kwa muda mrefu ndio wataelimika.

Hao watoto hata wakiambiwa wasiende shule wikiendi wazazi watawapeleka tuisheni wikiendi. Ubongo unahitaji kupumzika. Sisi tulisoma siku 5 na nusu kwa wiki, bila tuisheni na tulielewa vizuri tu.

Ila kingine kinachochangia watoto kutopata elimu nzuri ni ukubwa wa madarasa na uchache wa walimu. Mwalimu hata awe mzuri vipi hawezi kufundisha vizuri darasa lenye watoto 60!

Amandla...
 
Ijumaa wanaenda mkuu weekdays sio mbaya sema wawe na huruma wale diniyetu watoke mapema wakasqli maana ndio jpiliyaoo
Tatizo ni kuwa wakati wenzao wanaenda kuswali wengine wataendelea kusoma na hivyo kupunjika. Mimi ningeshauri Ijumaa iwe nusu siku kwa wote na muda wa shule siku nyingine uongezwe ili kufidia muda utakaopotea.

Amandla...
 
Back
Top Bottom