Wikendi mtoto wangu haendi shule. Likizo hakuna kufanya assignment wala homework. Ni muda wa kupumzika na kujifunza mengine ya maisha. Form four kapata div II ya point 18 ikamtosha sana kuendelea na masomoSema bongo jau sana,
Yan mtu anajitoa kwa ajiili ya watoto wake, ila bado wazazi wake wanapiga kelele