KERO Utaratibu wa wanafunzi kwenda shule hadi Jumapili udhibitiwe

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Sema bongo jau sana,
Yan mtu anajitoa kwa ajiili ya watoto wake, ila bado wazazi wake wanapiga kelele
Wikendi mtoto wangu haendi shule. Likizo hakuna kufanya assignment wala homework. Ni muda wa kupumzika na kujifunza mengine ya maisha. Form four kapata div II ya point 18 ikamtosha sana kuendelea na masomo
 
Tabia hizi hasa walimu wa mijini,angalau vijijini walimu wanalima,wanafuga na wengine wamenunua bodadboda wanapiga kazi siku za weekend..Walimu wa mijini wana tamaa
Mjini kuna mwalimu anaenda shule weekend?
 
Sema bongo jau sana,
Yan mtu anajitoa kwa ajiili ya watoto wake, ila bado wazazi wake wanapiga kelele
Anajitoa bure?. Tena wengine wanafundisha mada kabisa kisha hazirudiwi kwenye vipindi vya kawaida inakula kwa watoto wasio na uwezo. Hii haikubaliki.
 
Kama umekurupushwa vile kwenye handaki la nguruwe pori. Si dhani kama kuna watoto wanalazimishwa kusoma hadi hizo siku na kama ipo basi kuna shida kubwa hapo unaposema.Kwahiyo kwenye hiyo shule kuna mtoto wako anasoma hapo? Au umeletewa kero na wazazi? Au kulikuwa unapita jumapili karibu na shule ukaona hayo yanayoendelea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…