Utaratibu wa wasomi kulazimishwa kwenda jeshini uangaliwe upya.

Utaratibu wa wasomi kulazimishwa kwenda jeshini uangaliwe upya.

gstar

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2011
Posts
790
Reaction score
1,373
Kuanzia mwaka huu vyuo havita ruhusiwa kudahiri wanafunzi ambao hawajapitia jeshi (fresh fom the school) kama bunge lilivyo pitisha.

Ila utaratibu huu umelalamikiwa na wengi sana, Kwanza baadhi ya watu walioenda jeshini kimafunzo wamekufa bila sababu za msingi hii ni kutokana na kuzidiwa na mazoezi kupata vipigo na afya duni. Ubakwaji kwa dada zeu umekithiri huko kambini, hii ni kweli na naongea kwa uchungu mkubwa. Wenyewe wanasema eti mtu akifa mafunzoni unawaongezea thympahy hao makamanda na wanaweza wakapandishwa cheo.

Swali ni kuwa je nchi hii itaingia vitani hivi karibuni hadi ilazimu watu wasomi kulazimishwa jeshi au ndio kufundishana uzalendo? na uzalendo gani wa kuuwana na ku lazimisha ngono kwa dada zetu?

My take bunge liangalie upya utaratibu huu na ikiwezekana swala hili lisijirudie tena mwakani... nawasilisha
 
wabunge wote are stupid, ! ?? , stupid speaker, stupid ccm, stupid president!!
 
sawa nitaenda jeshini bila kushurutiwa ila ikitokea vita familia za viongozi ziende jeshini na si wanajeshi tuu!
 
Nadhani walipungukiwa na muda wa kufikiria hili jambo. Swala la uzalendo sio la kulazimishia watu kwa mafunzo ya kijeshi. Hao wanaopata hayo mafunzo kwa njia moja pia inawafanya wao wenyewe kuwa na silaha na endapo wakiamua kuyatumia vibaya mafunzo yao, nchi itakuwa pabaya zaidi. Mfano mzuri kwa ndugu zetu wa Sauzi, wakati wa mapambano ya ubaguzi wa rangi, wengi sana walipata kumiliki silaha na kuzitumia kwa mazuri na mabaya, hivi sasa hata baada ya kujitawala zile silaha wanazo na wanazitumia kufanya unyanganyi na usalama haupo kabisa. Uzalendo pia usilazimishiwe tu kwa wale madogo ambao ndio kwanza wanaanza kutafuta maisha, nilitegemea viongozi wawe mfano mwema kwetu na sio kupitisha sheria kwa manufaa ya vyama au wao wenyewe.
 
Nadhani walipungukiwa na muda wa kufikiria hili jambo. Swala la uzalendo sio la kulazimishia watu wka mafunzo ya kijeshi. Hao wanaopata hayo mafunzo kwa njia moja pia inawafanya wao wenyewe kuwa na silaha na endapo wakiamua kuyatumia vibaya mafunzo yao, nchi itakuwa pabaya zaidi. Mfano mzuri kwa ndugu zetu wa Sauzi, wakati wa mapambano ya ubaguzi wa rangi, wengi sana walipata kumiliki silaha na kuzitumia kwa mazuri na mabaya, hivi sasa hata baada ya kujitawala zile silaha wanazo na wanazitumia kufanya unyanganyi na usalama haupo kabisa. Uzalendo pia usilazimishiwe tu kwa wale madogo ambao ndio kwanza wanaanza kutafuta maisha, nilitegemea viongozi wawe mfano mwema kwetu na sio kupitisha sharia kwa manufaa ya vyama au wao wenyewe.

halafu tulivyowendawazimu tunaliita bunge tukufu. mtukufu ni mungu tuu na sii mwingine au kitu kingine.
 
Mafunzo ni mazuri maana watajifunza kutumia silaha ambazo polisi wa nchi hii wanazitumia kwa maagizo ya Ccm ya Pinda kuua raia wema hivyo hawa ni walinzi halali wa Demokrasia ianyoporwa ila naomba hii serikali au wakuu wa Jeshi wawaonee huruma hawa maana wanabakwa sana na wale makamanda wanaowafundisha na hakuna pakusemea wanaambukizwa magonjwa ya ajabu hawana la kufanya.Sasa hayo mafunzo yafanyike yakiambatana na adhabu na sheria kali kuhusu haki za wanawake na binadamu kwa ujumla maana hii haikubaliki hata kidogo.
 
Pinda Sura Mbaya sidhani kama anaelewa jinsi wanavyobakwa na kulawitiwa wale watoto wakike kule na sijui kama ataelewa jambo hilo zaidi kukunja zaidi makunyanzi yake ya usoni kweli hii nchi ni laana kabisa
 
Kuanzia mwaka huu vyuo havita ruhusiwa kudahiri wanafunzi ambao hawajapitia jeshi (fresh fom the school) kama bunge lilivyo pitisha.

Ila utaratibu huu umelalamikiwa na wengi sana, Kwanza baadhi ya watu walioenda jeshini kimafunzo wamekufa bila sababu za msingi hii ni kutokana na kuzidiwa na mazoezi kupata vipigo na afya duni. Ubakwaji kwa dada zeu umekithiri huko kambini, hii ni kweli na naongea kwa uchungu mkubwa. Wenyewe wanasema eti mtu akifa mafunzoni unawaongezea thympahy hao makamanda na wanaweza wakapandishwa cheo.

Swali ni kuwa je nchi hii itaingia vitani hivi karibuni hadi ilazimu watu wasomi kulazimishwa jeshi au ndio kufundishana uzalendo? na uzalendo gani wa kuuwana na ku lazimisha ngono kwa dada zetu?

My take bunge liangalie upya utaratibu huu na ikiwezekana swala hili lisijirudie tena mwakani... nawasilisha

Weka ushahidi wa ubwakwaji
 
Muende huko mkajifunze...akibakwa mtu sheria zipo wazi na mtu habakwi hadharani so watajua huko jinsi ya kuweka mbali na wabakaji

Mtapimwa afya kabla ya circumcision so suala la kufa ghafla kwa mazoezi ni aghalabu na ukipewa uhuru wa kupima mwenyewe never you forge! !!!
 
Ukweli ni kuwa vijana wengi walio ingia depo kwa lazima ya serikali mwaka huu wamekutana na hiyo adha kama huamini fanya uchunguzi halafu ndo uongee Mudawote
 
Last edited by a moderator:
Hao viongozi waliofundishwa na nyerere,wakaenda jeshin,ndo wanaotusumbua kwa ufisadi na kutokuwa na uzalendo.
 
utoto bwana kazi kweli kweli .
hadhi ya JF kwishney
 
Kama una mtoto wa kike ,kwenda jeshini ni janga tu.
Niliyoyaona wakati niko jeshini yanakera sana.Iweje msichana wa Form 6 analazimishwa kulala na afande wa darasa la 7?
Wangapi waliambukizwa na VVU?
 
Weka ushahidi wa ubwakwaji

Nimepata Mafunzo ya kijeshi na uzalishaji mali ktk kikosi cha Tanga (kabuku),Suala kufa ni la kawsida sana kwa wakufunzi,mgonjwa haaminiki Jeshini ati! unaumwa unatakiwa kuandikisha kama wewe ni mgonjwa saa 11:30 alfajiri nje ya hapo wewe hutibiwi, na hata ukifanikiwa bado tiba utakayopewa heri ungelala tu.
Kubakwa; nini maana ya kubakwa?
tangu tukiwa Wazalendo mpaka kuruti akina dada wengi walikuwa wakisurutishwa kufanya ngono na maafande wakufunzi.
Mbinu;
kikosi kina mashamba ya kutosha so ili wakupate kirahisi au kwa nguvu,mkitoka kwenye mkesha mnaenda store kuchukua zana za kilimo then saa kumi na mbili juu ya alama uwepo shamba (mkesha mmetoboa tangu saa mbili kamili mpaka saa tisa,mchakamchaka mpaka saa kumi na nusu ) binti na uchovu wa kukosa usingizi anapewa eneo la kutosha ili alime,afande akijua hatoweza anampanga na kijana wa kiume.......then ataanzisha simulizi za ajabu zenye vitisho ndani yake.
Hapo anamkomalia yule wa kiume aongeze kasi ya kulima huku akimwambia binti kama kachoka aseme apumzke (eneo kubwa ni pori)
NB:Naweza simulia mikasa mingi ya kuogofya tuliyokutana nayo JKT na kujaza server za Jf ila yatosha kusema MWANANGU WA KIKE KAMWE HATOLIJUA JESHI,NAAHIDI NA NINA KULA MBELE YA MUNGU,kama wasemavyo ktk nyimbo zao Mwanangu wa kike hatojiunga na Jeshi
 
Hao viongozi waliofundishwa na nyerere,wakaenda jeshin,ndo wanaotusumbua kwa ufisadi na kutokuwa na uzalendo.

Inawezekana yakawa ya kitoto Mkuu ila JKT tema mate kuepuka Nuksi,Umewahi shuhudia mtu akikata roho ? Wakati huo huo unauwezo wa kuokoa jahazi,nenda fanya tafiti then njoo na ukubwa wako.
Mabinti wamengiliwa kwa lazima mpaka wengine kupata ujauzito !
Nenda Mgambo Jkt na uliza juu ya hawa mabinti waliondolewa ka sababu gani ( SALMA D-COY,RUTI D-COY kasoma Iringa girls )kwa uchache tu lakini pia wapo walio ambukizwa magonjwa ya ngonompaka Jkt makao makuu walikuja kutoa Elimu rika,wewe unahabarishwa unasema utoto? Mkuu wengine hatujui zungumza tunawahi jaa Hasira.

MAPYA NI HAYA:
Baada ya vijana wa Jeshi la kujenga Taifa kundi maalumu la mujibu wa sheria kumaliza mafunzo,walikabidhiwa simu zao na vifaa vyote ambavyo hakuruhusiwa kuwa navyo wakati wote wa mafunzo,hii ilipelekea na wale wakujitolea kupewa vifaa vyao pia, lakini kasi ya Mahusiano yanayopingwa JKT kushika kasi na kupelekea vijana Zaidi ya watatu G-coy ,D-coy kukutwa na Ujauzito simu zimechukuliwa na ha ulinzi pia umeongezeka hasa hiki kipindi cha kuvuna ufuta na Mahindi katika mashamba ya Jeshi maana huko ndo uchafu ulipokuwa ukifanyika.
Tafakari kwa Binti yako chukua hatua..........


# ni mimi AKS.........
 
Hili la jkt kukuza uzalendo is the most stupid statement i ve ever heard in life. Utter nonsense.
 
Nadhani walipungukiwa na muda wa kufikiria hili jambo. Swala la uzalendo sio la kulazimishia watu kwa mafunzo ya kijeshi. Hao wanaopata hayo mafunzo kwa njia moja pia inawafanya wao wenyewe kuwa na silaha na endapo wakiamua kuyatumia vibaya mafunzo yao, nchi itakuwa pabaya zaidi. Mfano mzuri kwa ndugu zetu wa Sauzi, wakati wa mapambano ya ubaguzi wa rangi, wengi sana walipata kumiliki silaha na kuzitumia kwa mazuri na mabaya, hivi sasa hata baada ya kujitawala zile silaha wanazo na wanazitumia kufanya unyanganyi na usalama haupo kabisa. Uzalendo pia usilazimishiwe tu kwa wale madogo ambao ndio kwanza wanaanza kutafuta maisha, nilitegemea viongozi wawe mfano mwema kwetu na sio kupitisha sheria kwa manufaa ya vyama au wao wenyewe.

Uzalendo huanza kujengwa utotoni.
Viongozi wa leo walikuwa na uzalendo flani lakini kutokana na mwingiliano wa kimawasiliano, uzalendo huo ulitoweka na sasa ndio vinara wa maovu mengi.
Wamegundua walipojikwaa na sasa wanarekebisha ndio maana wameamua kurudi na JKT kama sehemu ya kuanzia huku wenyewe na kwa msaada wa vyombo vya Habari, NGOs nk wakijirekebisha.
Tuunge mkono jitihada hizi katika kulikomboa Taifa.
Kule JKT sio kwamba wanaenda kufundishwa uzaelendo tu bali uvumulivu na ustahimilivu pamoja na kuwaondoa woga ambao mara nyingi ndio kikwazo cha MAENDELEO.
Uzalendo haufundishwi Jeshini au Darasani kama Vile Kuhesabu na Kuandika, bali kwa vitendo na kujifunza kwa waliotangulia.
 
Inawezekana yakawa ya kitoto Mkuu ila JKT tema mate kuepuka Nuksi,Umewahi shuhudia mtu akikata roho ? Wakati huo huo unauwezo wa kuokoa jahazi,nenda fanya tafiti then njoo na ukubwa wako.
Mabinti wamengiliwa kwa lazima mpaka wengine kupata ujauzito !
Nenda Mgambo Jkt na uliza juu ya hawa mabinti waliondolewa ka sababu gani ( SALMA D-COY,RUTI D-COY kasoma Iringa girls )kwa uchache tu lakini pia wapo walio ambukizwa magonjwa ya ngonompaka Jkt makao makuu walikuja kutoa Elimu rika,wewe unahabarishwa unasema utoto? Mkuu wengine hatujui zungumza tunawahi jaa Hasira.

MAPYA NI HAYA:
Baada ya vijana wa Jeshi la kujenga Taifa kundi maalumu la mujibu wa sheria kumaliza mafunzo,walikabidhiwa simu zao na vifaa vyote ambavyo hakuruhusiwa kuwa navyo wakati wote wa mafunzo,hii ilipelekea na wale wakujitolea kupewa vifaa vyao pia, lakini kasi ya Mahusiano yanayopingwa JKT kushika kasi na kupelekea vijana Zaidi ya watatu G-coy ,D-coy kukutwa na Ujauzito simu zimechukuliwa na ha ulinzi pia umeongezeka hasa hiki kipindi cha kuvuna ufuta na Mahindi katika mashamba ya Jeshi maana huko ndo uchafu ulipokuwa ukifanyika.
Tafakari kwa Binti yako chukua hatua..........


# ni mimi AKS.........

Je unataka kusema kuwa ushenzi huo unafanywa na wakufunzi au watu gani.
Kumbuka kama ni mafunzo ambayo wamechanganyika jinsi mbili, mahusiano ni kawaida miongoni mwao ingawa ni kwa kiwango kidogo sana.
Tatizo la mimba linaweza kuonekana kubwa kwa sababu tu hawana uhuru wa kutoka nje ya kambi na kufanya illegal abortion kama ambavyo wanafunzi wengi hufanya wakiwa mashuleni.
 
Back
Top Bottom