Utaratibu wa wasomi kulazimishwa kwenda jeshini uangaliwe upya.

Utaratibu wa wasomi kulazimishwa kwenda jeshini uangaliwe upya.

Uzalendo haujengwi kwa kupitia mafunzo ya kijeshi, wapo wengi tu hapa ni wanajeshi hawana uzalendo hata kidogo, kukamatwa na bangi, pembe za ndovu, kupiga wazalendo, huu si uzalendo, labda tafsiri iwe imebadilika.
Huhitaji kufanya utafiti kujua kuwa mafunzo hayo hayana tija katika sala la uzalendo.Ni wavivu wa kufikiria ndio waidhani hivyo wakisahau kuwa wanaoongoza kwa tuhuma au hata kufahamika kwa UFISADI uliokubuhu walipitia mafunzo hayo.
Naona wanesema lengo ni kuongeza ukakamavu, manufaa mengine ni afya ya mtu, kama lakini yatakuwa yameboreshwa na hakuna mazingira ya kubaka au kulawiti, lazivyo yatakuwa ni mafunzo ambayo watajifunza mbinu za ubakaji, mbinu mpya za "kutia mimba' na zaidi ya yote itaongeza kama sio kukuza chuki kwa jeshi letu na wananchi. Pia watatusaidia kutujengea uwezo wa kukabiliana na vipigo vya polisi au watu wanapotaka kukung'oa meno.
 
Je unataka kusema kuwa ushenzi huo unafanywa na wakufunzi au watu gani.
Kumbuka kama ni mafunzo ambayo wamechanganyika jinsi mbili, mahusiano ni kawaida miongoni mwao ingawa ni kwa kiwango kidogo sana.
Tatizo la mimba linaweza kuonekana kubwa kwa sababu tu hawana uhuru wa kutoka nje ya kambi na kufanya illegal abortion kama ambavyo wanafunzi wengi hufanya wakiwa mashuleni.

HIVI UNAWAJUA WANAJESHI WEWE,HIVI UNAJUA HAKUNA KUULIZA KULE,Mkuu ni kuwa Wakufunzi walikuwa wanakula kuruti,kuruti kwa kuruti ni vigumu na kwa mazingira yale labda wamalize wiki sita ngumu maana hizi ndizo wakufunzi hupatia nafasi ya kufanya watakalo. Hivyo yatosha kukuambia kuwa mabinti wanalazimika kufanya ngono.
 
utoto bwana kazi kweli kweli .
hadhi ya JF kwishney
utoto upi unao uongelea wewe hapa tunacho ongelea ni juu ya serikali kuwalazimisha watu jkt kwa lazima, pamoja na changamoto zote zilizopo ilibidi mtu aende bila kushurutishwa.
 
Nimepitia mafunzo ya kijeshi yanayofanyika huko hasa kwa dada zetu ni uhaini mtu analazimishwa kulala na mkufunzi bila ridhaa yake ukikataa utajua kilichomtoa kanga manyoya shingoni, uzalendo wa mtu kwa nchi yake huletwa na utashi wa viongozi wake.
 
kuna uwezekano kwa masharo walihitimu cha sita 2013 wakarudi mash***ga... hii itazidisha uzalendo kinamna gani sijui
 
hiyo ni moja ya cheap labor na wastage of time coz coni umuhimu wake
 
Ukweli ni kuwa vijana wengi walio ingia depo kwa lazima ya serikali mwaka huu wamekutana na hiyo adha kama huamini fanya uchunguzi halafu ndo uongee Mudawote

Pole zao. Inawezekana kabisa, maana kama USA army wanahiyo kitu ubakaji, je kwetu huku. Ila mi nashauri dada zetu wagome na kukataa kubakwa, bora afukuzwe huko jeshini. Na haki za binaadamu inabidi kuingilia kati
 
Nawashangaa sana mnaokaa vijiwen na kutunga utumbo ubongon mwenu kisha mnaanz ku-present mawazo yenu fek kwa wasio na data eti jkt kuna adha za ubakaj na mauaji...labd nikuulize ww au dadako kuna ata m1 wenu aliyebakw...je nikuulize kama jkt wa2 wanakufa kutokan na mazoez bac inawezekanaje mm nilirud salam...jeshin kuna sheria na sheria hufuata mkondo wke pale inapokiukw...kuna mahakama na jela za kijeshi...so sidhan kama kuna uovu wowote uliokua unaendelea ktk kamb za mafunz ya jkt
 
Jkt ni kupotezeana muda tu.
Wasiokuwa na ajira ndio walitakiwa waende huko wakajifunze skills mbalimbali ili wakihitimu huko waje kujiajiri
 
Back
Top Bottom