Chausikumchana
Member
- Jul 20, 2018
- 11
- 3
Jamani huu utaratibu wa benki kukopesha watumishi kupitia simu (mobile) haukiuki utaratibu uliowekwa na serikali wa 1/3 ya mshahara wa mtumishi ,utaratibu wa ukomo wa kukopa unafuatwa ?kama kuna MTU anafanya kazi benki au yeyeto mwenye uzoefu na hili jambo anisaidie . maana sasa HV MTU yuko nyumbani anakopa toka benki, Hanna kupitisha fomu iangaliwe na mwajili wake kama hajavuka ukomo wa kukopa