Utasa wazidi kuwa tishio chukua hatua hizi

Utasa wazidi kuwa tishio chukua hatua hizi

Doctor MD

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2020
Posts
209
Reaction score
249
Utasa ni hali ya wenza wawili wanapokutana kimwili kwa zaidi ya mwaka mmoja bila kushika ujauzito kwa mwanamke
Leo ningependa niongelee utasa kwa mwanamke
Mwanamke katika jamii nyingi ndio huonekana tatizo endapo mimba isipotungwa, kiutafiti aslimia kubwa zaidi utasa katika wenza hutokana na mwanamke
Zifuatazo ni sababu zinazoweza pelekea mwanamke akawa tasa
1. UMRI
Moja ya sababu kubwa mno inayopelekea mwanamke kutopata ujauzito, mana umri unapozidi kusogea ndipo uwezo wake wa kuzalisha mayai kila mwezi hupungua kwa kila mwanamke, muhimu zaidi naongelea umri kuanzia miaka 35 na kuendelea kwa mwanamke.
2. UZITO USIO SAWIA
Mara zote mwanamke anapaswa awe na uzito sawia yani BMI 20-25 ili kuweza kuwa na afya Bora ya uzazi
Lakini msawazo hafifu yani uzito mdogo au uzito uliopitiliza kulingana na BMI hapo juu huweza kupelekea utasa kwa mana uzito huathiri mno utendaji wa homoni na uchakataji mbalimbali
3. Changamoto ya mfumo mzima wa kinga(immunological disorder)
Hizi huathiri mno utendaji wa selj za mwili mana Kuna wakati seli za mwili huua seli zingine na kuleta changamoto zaidi ya kukosa mtoto
4. Mfumo mzima wa mazingira
Matumizi ya vyakula mbalimbali kutoka shamba vilivyotiwa dawa huathiri mno utendaji wa Bora wa mfumo wa endocrine ili kutengeneza homoni hivyo kuleta shida ya utasa
5. Life style
Matumizi ya pombe, sigara, madawa ya kulevya na vinywaji vyenye caffeine(energy drink) huongeza disturbance ya homoni na kupelekea utasa

Hayo ni baadhi tu ya mambo yanayoweza kupelekea utasa masomo mengine nitakuja eleza sababu zinazopelekea mimba kuharibika
Endelea kufuatana nami kwa uelewa zaidi kuhusiana na afya kwa ujumla

Na kama una changamoto ya afya ya uzazi,utasa n.k
Basi usisite kunitafta kupitia
Wasap/normal call
0757160773
By Dr. Msokwa MD
 
Utasa ni hali ya wenza wawili wanapokutana kimwili kwa zaidi ya mwaka mmoja bila kushika ujauzito kwa mwanamke
Leo ningependa niongelee utasa kwa mwanamke
Mwanamke katika jamii nyingi ndio huonekana tatizo endapo mimba isipotungwa, kiutafiti aslimia kubwa zaidi utasa katika wenza hutokana na mwanamke
Zifuatazo ni sababu zinazoweza pelekea mwanamke akawa tasa
1. UMRI
Moja ya sababu kubwa mno inayopelekea mwanamke kutopata ujauzito, mana umri unapozidi kusogea ndipo uwezo wake wa kuzalisha mayai kila mwezi hupungua kwa kila mwanamke, muhimu zaidi naongelea umri kuanzia miaka 35 na kuendelea kwa mwanamke.
2. UZITO USIO SAWIA
Mara zote mwanamke anapaswa awe na uzito sawia yani BMI 20-25 ili kuweza kuwa na afya Bora ya uzazi
Lakini msawazo hafifu yani uzito mdogo au uzito uliopitiliza kulingana na BMI hapo juu huweza kupelekea utasa kwa mana uzito huathiri mno utendaji wa homoni na uchakataji mbalimbali
3. Changamoto ya mfumo mzima wa kinga(immunological disorder)
Hizi huathiri mno utendaji wa selj za mwili mana Kuna wakati seli za mwili huua seli zingine na kuleta changamoto zaidi ya kukosa mtoto
4. Mfumo mzima wa mazingira
Matumizi ya vyakula mbalimbali kutoka shamba vilivyotiwa dawa huathiri mno utendaji wa Bora wa mfumo wa endocrine ili kutengeneza homoni hivyo kuleta shida ya utasa
5. Life style
Matumizi ya pombe, sigara, madawa ya kulevya na vinywaji vyenye caffeine(energy drink) huongeza disturbance ya homoni na kupelekea utasa

Hayo ni baadhi tu ya mambo yanayoweza kupelekea utasa masomo mengine nitakuja eleza sababu zinazopelekea mimba kuharibika
Endelea kufuatana nami kwa uelewa zaidi kuhusiana na afya kwa ujumla

Na kama una changamoto ya afya ya uzazi,utasa n.k
Basi usisite kunitafta kupitia
Wasap/normal call
0757160773
By Dr. Msokwa MD
Unaelewa tofauti ya 'UTASA' na 'UGUMBA'?!
Wewe kama Mganga (MD) unaweza kutibu lipi kati ya hayo mawili?
 
Utapeli ni vile uwazavyo na wala siwezi ingilia mawazo yako am medical personnel nipo kuelimisha jamii only that
Cha kuongeza mm nmeajiriwa na nafanya kazi hospital na nakuwa payed vizuri kabsa so ukiongelea utapeli sjui ni ujinga gani huo anyway stay safe
Tapeli mwingine huyu
Kila siku mimba zinaingia huku mtaani
huko Leba ni viliokila siku..
 
Unaelewa tofauti ya 'UTASA' na 'UGUMBA'?!
Wewe kama Mganga (MD) unaweza kutibu lipi kati ya hayo mawili?
Anyway kama ntakuwa nmechanganya basi ni makosa ila namansha infertility
 
Na wale wenye uhitaji wa ushauri watanitafta na nadhani sijawahi omba pesa ya mtu mana Sina shida na Hela ya mtu ni kuelimisha jamii
 
Utapeli ni vile uwazavyo na wala siwezi ingilia mawazo yako am medical personnel nipo kuelimisha jamii only that
Cha kuongeza mm nmeajiriwa na nafanya kazi hospital na nakuwa payed vizuri kabsa so ukiongelea utapeli sjui ni ujinga gani huo anyway stay safe
Kama ulitaka kuelimisha kwanini hiyo Elimu usiitoe hapa jikwaani..
Tofauti na hivyo ungekaa hukohuko wakufate.

Umeamua kubainisha tatizo basi toa na suluhisho..
Na kama Taifa linamadaktari aina yako basi Taifa linamzigo wa watu wajinga sana
 
Kama ulitaka kuelimisha kwanini hiyo Elimu usiitoe hapa jikwaani..
Tofauti na hivyo ungekaa hukohuko wakufate.

Umeamua kubainisha tatizo basi toa na suluhisho..
Na kama Taifa linamadaktari aina yako basi Taifa linamzigo wa watu wajinga sana
Nafikiri Kuna mengi huelewi ndugu Kuna
Mambo kama vipimo unapaswa ujue mtu vipimo aina gani kwa ajili ya mgonjwa kulingana na history yake na kila mtu ana history tofauti tofaut
 
Duuuuuh ila nyie watu wa jamiiforum n bas tu ngoja mm nitulie ila nitazidi kuelemisha bila kukoma
 
Utasa ni hali ya wenza wawili wanapokutana kimwili kwa zaidi ya mwaka mmoja bila kushika ujauzito kwa mwanamke
Leo ningependa niongelee utasa kwa mwanamke
Mwanamke katika jamii nyingi ndio huonekana tatizo endapo mimba isipotungwa, kiutafiti aslimia kubwa zaidi utasa katika wenza hutokana na mwanamke
Zifuatazo ni sababu zinazoweza pelekea mwanamke akawa tasa
1. UMRI
Moja ya sababu kubwa mno inayopelekea mwanamke kutopata ujauzito, mana umri unapozidi kusogea ndipo uwezo wake wa kuzalisha mayai kila mwezi hupungua kwa kila mwanamke, muhimu zaidi naongelea umri kuanzia miaka 35 na kuendelea kwa mwanamke.
2. UZITO USIO SAWIA
Mara zote mwanamke anapaswa awe na uzito sawia yani BMI 20-25 ili kuweza kuwa na afya Bora ya uzazi
Lakini msawazo hafifu yani uzito mdogo au uzito uliopitiliza kulingana na BMI hapo juu huweza kupelekea utasa kwa mana uzito huathiri mno utendaji wa homoni na uchakataji mbalimbali
3. Changamoto ya mfumo mzima wa kinga(immunological disorder)
Hizi huathiri mno utendaji wa selj za mwili mana Kuna wakati seli za mwili huua seli zingine na kuleta changamoto zaidi ya kukosa mtoto
4. Mfumo mzima wa mazingira
Matumizi ya vyakula mbalimbali kutoka shamba vilivyotiwa dawa huathiri mno utendaji wa Bora wa mfumo wa endocrine ili kutengeneza homoni hivyo kuleta shida ya utasa
5. Life style
Matumizi ya pombe, sigara, madawa ya kulevya na vinywaji vyenye caffeine(energy drink) huongeza disturbance ya homoni na kupelekea utasa

Hayo ni baadhi tu ya mambo yanayoweza kupelekea utasa masomo mengine nitakuja eleza sababu zinazopelekea mimba kuharibika
Endelea kufuatana nami kwa uelewa zaidi kuhusiana na afya kwa ujumla

Na kama una changamoto ya afya ya uzazi,utasa n.k
Basi usisite kunitafta kupitia
Wasap/normal call
0757160773
By Dr. Msokwa MD
Sijaona matumizi ya vizuia mimba kwenye list ,Sijaona utoaji wa mimba ovyo ovyo ,unanipa mashaka kuhusu udaktari wako.

Hivyo vinachangia sana kwa asilimia kubwa sana UTASA(Kutoshika Mimba) kwa mwanamke.
 
Sijaona matumizi ya vizuia mimba kwenye list ,Sijaona utoaji wa mimba ovyo ovyo ,unanipa mashaka kuhusu udaktari wako.

Hivyo vinachangia sana kwa asilimia kubwa sana UTASA(Kutoshika Mimba) kwa mwanamke.
Kutoshika mimba ni tofauti kabisa na mtu anayeshika mimba halafu akaharibu na pia ni tofauti kabsa na mtu anayezuia mimba
Hapo nmezungumzia mtu asiye na uwezo wa kushika mimba
 
Humu wajuaji wengi sanaaa yaani mtu mmoja ni fundi, malaya, mwajiriwa,mwanafunzi,fundi gereji, daktari, mfanya biashara nk

Yaani hapo ni mtu mmoja huyo
 
Back
Top Bottom