GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mtu mmoja Mkazi wa Mji wa Kasulu mkoani Kigoma, ambaye hakutambulika majina yake, amefariki wakati akijaribu kuiba nyaya za umeme aina ya kopa, kutoka kwenye transfoma ya eneo la mtaa wa Kiganamo mjini Kasulu.
Chanzo: itvtz
Nikienda kuaga Maiti za Wapuuzi kama huyu siishii tu Kuaga bali nitavizia Sionekani kisha Namzaba bonge la Kofi Olomide.
Chanzo: itvtz
Nikienda kuaga Maiti za Wapuuzi kama huyu siishii tu Kuaga bali nitavizia Sionekani kisha Namzaba bonge la Kofi Olomide.