katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,574
- 2,161
Kwanini hamchukulii hatua shetani ?
Shetani ana nguvu kumliko?
Anafurahishwa na matendo ya shetani?
Wana lengo moja?
Hana njia yoyote ya kumzuia mpaka binadamu tumsaidie?
Kama Gwajima, Mwamposa kweli wanatoa mapepo/mashetani ndani ya watu yeye anashindwa nini kumtoa duniani kabisa?
Mbona binadamu tukikosea anashusha magharika eg. Nuhu, Sodoma, Babeli
ameshindwa kumpelekea taflani shetani akaangamia? au hajui halipo?
Mwisho binadamu tuache kiherehere cha kumchukia shetani ilihali Mungu na uwezo wote anamungalia tu lao moja
Shetani ana nguvu kumliko?
Anafurahishwa na matendo ya shetani?
Wana lengo moja?
Hana njia yoyote ya kumzuia mpaka binadamu tumsaidie?
Kama Gwajima, Mwamposa kweli wanatoa mapepo/mashetani ndani ya watu yeye anashindwa nini kumtoa duniani kabisa?
Mbona binadamu tukikosea anashusha magharika eg. Nuhu, Sodoma, Babeli
ameshindwa kumpelekea taflani shetani akaangamia? au hajui halipo?
Mwisho binadamu tuache kiherehere cha kumchukia shetani ilihali Mungu na uwezo wote anamungalia tu lao moja