mama mtu karibia mkojo umtoke kwa uchungu!!!! tehe tehe teheIla mchomwaji sasa hana ata chembe ya hofu
Pole sana....ungekojoa tuu vibaya kuubana mkojomama mtu karibia mkojo umtoke kwa uchungu!!!! tehe tehe tehe
kila mahali, naona kama pumzi kama inakuwa nzito kuvuta...sio kwa pozi hilo...kila nikizidi kukukodolea mijicho yangu naona kama unanitazama then unageuka kwa aibu...Mimi ni tabibu...haya eleza unasumbuliwa wapi?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ww huumwi ww...kila mahali, naona kama pumzi kama inakuwa nzito kuvuta...sio kwa pozi hilo...kila nikizidi kukukodolea mijicho yangu naona kama unanitazama then unageuka kwa aibu...
Ndio mkuu, wote walikua members wa humu..[emoji29] [emoji29]Tulikuwa nao hapa JF?ππππ
hawajafariki bali wame deadHawajafa bali wamefariki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tulikuwa nao hapa JF?ππππ
ndo nishaumwa tayari ....naomba location yako nije nitibiwe....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ww huumwi ww...
ππππππππππNdio mkuu, wote walikua members wa humu..[emoji29] [emoji29]
Tehe tehe tehe, JF marahaaa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu DA VINCI tunaomba utujuze sources zakooo NA Siye tujue mengiiiAcha kutumia Wikipedia kama source ya information..
Napenda kuamgalia Ducumentary Channel kama vile. Da vinci learning(hii ndo natumia sana),Discover channel, Deep web, You Tube, Google...Mkuu DA VINCI tunaomba utujuze sources zakooo NA Siye tujue mengiii