Uongooo tuuu yani Cancer ya damu na jino kut9a damu wapi na wapiii uongoooo... Cancer ya damu sio kitoto hivyooo yani mwenye cancer ya damu maumivu yake hamuwezi kulalaa..!! Madaktari wametumika.kuficha ukweliMi sijaelewa. Huo ugonjwa husabisha damu itoke yenyewe tu bila sababu?!
Walimu wote wazingatie hili wataishi vemaLicha ya kuwa Kuna baadhi ya walimu wanakosea, watu wengi Wana chuki binafsi na walimu
Kuna matukio mengi makubwa yanaendelea kwa madaktari, wanasiasa, mapolisi nk ila kesi ikiwa kwa walimu ndio huwa inakuwa multiplied mara 100
Kuna watu humu kuwalea watoto wao tu wanashindwa, then assume unakuwa na watoto 200 walioshindikana kwa wazazi wao
Wakati huo huo mkumbuke, Kuna mikakati ya kiwilaya na kimkoa inataka shule zifanye vizuri, zisipofanya vizuri huwa walimu au shule inawajibishwa
Yaani hapo ukiwa serious utakutana na matukio kama haya, ukiwa free utakuja kusemwa na wazazi, walimu na wanafunzi hawana Nidhamu, wanafelisha, yaani hakuna la afadhali
Kuna mwalimu alikuwa na slogan yake " BORA SHULE IFELI KULIKO MAMBO YANGU YAFELI"
Ni muda Sasa wa walimu kubadilika, hakuna haja ya kujichosha, fundisha kibosi, mwanafunzi asipoelewa achana naye ataelewa kwenye chumba Cha mtihani, fika shuleni mawazo yako yawe kwenye miradi yako
Wanafunzi wakifeli, hasara sio yako, wakifaulu faida ni yake na wazazi wake, hamna haja ya kujitesa na kuingia kwenye risk
Nenda ukafanye uchunguzi wewe, pengine una utaalamu zaidi ya [emoji61][emoji3603]na daktari kwanini upingane na ripoti?Riport ya [emoji61] hipo kisiasa Wala haina mantiki mkuu .
Naomba huyo Mwalimu Apewe kesi yake akapambane huko Mahakamani , kila siku tunawafundisha kuwa wasiwapige wanafunzi , lakini wanajitoa ufahamu na kuendeleza Viboko na kuua wanafunzi .
Mtu hujui History health background yake , lakini una-mu-Attack Hadi unamtoa uhai!! unanswered cries
Yapi hayo?wewe ndio hufahamu au kwa makusudi unapindisha ukweli ila walimu wanakera sana,mambo yanayoendelea mashuleni ni ya kutisha.
Kama Walimu ni vichaa, na wewe umefundishwa na hao vichaa hadi ukaweza kuandika hapa jf, basi amini na wewe ni kichaaHapa ndo unapoona ukichaa wa waalimu. Ripoti ya daktar iliyotoa taarifa ya sababu ya kifo cha marehemu. Inasema marehemu alifariki kwasababu ya kupoteza damu nyingi ambayo pia inatokana na ugonjwa wa saratani ya damu.
Sasa unajiuliza sababu ya marehemu kutokwa na damu ilikuwa ni nini? Au marehemu alikuwa na tatzo la kutokwa na damu pasipo kuwa na jeraha? Na kama kuvuja kwa damu kulisababishwa na uwepo wa jeraha je jeraha lilisababishwa na Nani?
Acheni ufala waalimu.
Walimu wangejiweka kando enzi unasoma, ungefika hapo ulipo?, think twicelyWalimu wajiweke kando na Hawa watoto...kwa sababu hata mtoto akifeli yeye hawajabiki
waalimu ndio walezi wa watoto wetu,tukisimamia nafasi zetu kama wazazi kisawasawa tunapunguza mikwaruzano isiyo ya lazima kati ya waalimu na watoto wetu.Sijui waalimu wa Tz wanatumia Nini hawana tofauti na Vichaa , Mtu hujalala nae ,sio mwano , sio ndugu yako ...lakini unaamua kumpa mijeredi mikali Hadi anapoteza Fahamu kifo ulemavu * nk*
Polis wapi sajhihi tuache kuwa na mtazamo hasi dhidi ya waalimu.Polisi huenda wamenyofoa karatasi za ripoti kamili ya daktari.
Nilishapigwa kibao na mwalimu nikaamkia ward namba 6 hospitali Mt. Meru Arusha.Polis wapi sajhihi tuache kuwa na mtazamo hasi dhidi ya waalimu.
Mwisho WA Siku waalimu watawasusia watoto wenu.
Hakuna mwalimu anayeweza kumpiga mtoto et Kwa mangumi na mateke.