Utata kuhusu mirathi ya watoto wa familia iliyoishi bila ya kuoana

Utata kuhusu mirathi ya watoto wa familia iliyoishi bila ya kuoana

raisi2020

Member
Joined
Mar 4, 2016
Posts
82
Reaction score
83
Kuna sinto fahamu,kuna msiba ulitokea somewhere,MTU aliyekufa ni mwanaume,hakuwa ameoa,ila Mara ya mwisho ameishi na mwanamama mmoja takribani ten years bila ndoa mpaka mauti ilipomfika,ila huyu baba ana watoto wengi nje na wakubwa na family zao,sasa baada ya msiba kuna mchezo unafanywa wa kutaka kualalisha ndoa kwa kuandia cheti/hati ya kimila kwamba marehemu alimuoa yule mwanamke,he hili ni sahihi kwanza?pili lina athari gani kwa mirathi ya watoto endapo huyu mama kama atapata hicho cheti?na je? Kama hatapata hicho cheti hathari IPO wapi,ilihari watoto ni wakubwa na wanaweza kufuatili wenyewe
 
Kwa mjibu wa sheria za ndoa za mwaka 1971 ukiishi , ukipikiwa na kufuliwa huyo ni mkeo ila kwa mjibu wa mashauri mengi ya mirathi na talaka inabidi uithibitishie mahakama uhalali wa ndoa yake kwa cheti cha ndoa au hati ya kimila vinginevyo ataonekana ni mzazi mwenzie na marehemu na wanufaika watakuwa watoto vinginevyo yule atakaeteuliwa na kikao cha ukoo awe na busara na hekima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mjibu wa sheria za ndoa za mwaka 1971 ukiishi , ukipikiwa na kufuliwa huyo ni mkeo ila kwa mjibu wa mashauri mengi ya mirathi na talaka inabidi uithibitishie mahakama uhalali wa ndoa yake kwa cheti cha ndoa au hati ya kimila vinginevyo ataonekana ni mzazi mwenzie na marehemu na wanufaika watakuwa watoto vinginevyo yule atakaeteuliwa na kikao cha ukoo awe na busara na hekima

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kamanda
 
Kwa mjibu wa sheria za ndoa za mwaka 1971 ukiishi , ukipikiwa na kufuliwa huyo ni mkeo ila kwa mjibu wa mashauri mengi ya mirathi na talaka inabidi uithibitishie mahakama uhalali wa ndoa yake kwa cheti cha ndoa au hati ya kimila vinginevyo ataonekana ni mzazi mwenzie na marehemu na wanufaika watakuwa watoto vinginevyo yule atakaeteuliwa na kikao cha ukoo awe na busara na hekima

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeeleza vizuri sana mkuu,lkn kwa ndoa ya kimila haihitaji ulazima wa hati ya ndoa! Hata ushahidi wa wazazi wa pande zote au wapambe wao wakati wa ndoa wanatosha kuithibitishia mahakama uhalali wa ndoa hiyo. Jambo muhimu wakati wa uteuzi wa msimamizi wa mirathi ni vizuri zaidi kuteua wawili,ateuliwa mtu mwenye busara asaidiane na mjane.

Kesi za mirathi za siku hizi,zinakuwa rahisi sana km mmoja wa wasimamizi wa mirathi atakuwa mjane mwenyewe. Na km mtamuacha,hakimu lazima atawauliza km mjane ana matatizo na km hana kwa nn hajateuliwa!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata km hajafoji cheti ,kikao cha usimamizi wa Marathi kikithibitisha kutambua kuwa ndie mwanamke aliekuwa anaishi na baba yao.kuna fungu anapewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom