Tetesi: Utata mkubwa ripoti ya CAG , kuna uhariri umefanyika

Bila Shaka wewe utakuwa sukuma gang ▄︻̷̿┻̿═━一bisha
 
Kama ni wewe ungekosoa kipindi meko akiwa hai? hulka za meko tunazijua
Si ndio tunakubaliana kwamba hi ya Kichere ni edited; mwamba angeamka, Kichere asingesema chochote kuhusu Clouds, Wasafi na wala ATCL; nina mashaka hata ya wizara ya Utalii huenda tusingeyasikia
 
Heli kwa na mwizi mzalendo kuliko mwizi na tapeli kama mbowe na lisu wanaoenda kuzitumbua ulaya na dubai wakiacha watozwa kodi wanahangaika hapa tz
 
Magu hasafishiki hata kwa vip
 
CAG Kichere aliteuliwa na kuaminiwa na Magu kuliko Pf.Assad sasa wewe unauchungu naye kuliko marehemu
 
ATCL kujua kama imepata faida au hasara CAG alitakiwa achukue hiyo bilioni 60 loss ya kwenye vitabu atoe pesa ambayo ATCL ilitoa gawio yaani dividend kwa serikali halafu atoe Kodi zote ambazo ATCL imelipa kwa seikali kuanzia VAT za tiketi za ndege ambazo kila abiria hulipa na kodi zingine zote ATCL imelipa nk
Hiyo hasaracya bilioni 60 CAG alikose A compute upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…