Tetesi: Utata mkubwa ripoti ya CAG , kuna uhariri umefanyika

Tetesi: Utata mkubwa ripoti ya CAG , kuna uhariri umefanyika

Tunaendelea na mjadala mzito juu ya yale yaliyotajwa na CAG ni sahihi ,ndivo yalivo au ni mwendelezo wa juhudi za kufa na kupona kupoteza Legacy ya Jpm.

Nikiendelea kufanya utafiti wangu binafsi ,jana nilikitana na taarifa ya CLOUDS media wakitolea ufafanuzi tuhuma za kwamba walilipwa kiasi cha shiling 629.7m bila wao kutoa Risiti.

Katika mjadala huo Clouds walidai kwamba waliposikia taarifa hiyo ikabidi wafuatilie kwenye makabrasha yao wakagundua kwamba risiti walizitoa TRA (AUTOMATIC EFD) na Wizara.

#Hapa ndipo mjadala unaanza ;
1. Kama risiti zimetolewa TRA na Wizarani huko na Clouds wanaujasiri wakusema hilo ,basi kuna uwalakini katika auditing ya kichere kwamba huenda amelishwa matango pori kwa makudi, kwa madhaifu ya watenda kazi au kupangwa.

2. Kama wizarani au TRA hawakumpa kichere risti hizo basi hapo napo kuna shida , kwani hawakumpa? Kuna nia gani nyuma ya pazia? Kwasababu clouds wao wanadai walitoa.Huenda ndio maana hata Kigwangalla anachekelea kwasabab anajua mchezo unaoendelea.

3.Hili suala la risiti imefanyika mwak 2018, Kichere alipaswa kulisema kwenye ripoti ya mwaka jana na si mwaka huu.

Hapa napo kuna tafakuri kubwa , .Report ya Kichere ni ya matumizi ya serikali 2019/2020, suala la risti ni la 2018 ambalo likitakiwa kutajwa 2018/2019 ,ndio maana nina wasiwasi kwamba huenda report hii imeeditiwa na kupachikwa vitu ambavo watu fulani walikusudia kuvionyesha kwa jamii ili watimize yao.

4. Report ya CAG ukiangalia kwa jicho la mbali utagundua imejikita kwenye mambo fulani ambayo mengine ni ya kwelini.

NA ILI UONGO USIJULIKANE KUWA NI UONGO LAZIMA UCHANGANYWE NA UKWELI.

Yaani unaambiwa juu ya stendi ya mbezi ITASABABISHA FOLENI , TENA KWA MIUNDO MBINU ILE ,YA NYEGEZI AMBAYO IPO KATIKATI YA MJI HATUJAAMBIWA KAMA ITASABABISHA FOLENI, DODOMA HATUJAAMBIWA ITASABABISHA FOLENI KISA INAITWA STEND YA MAGUFULI na ndo bora na kubwa kuriko zote, jitihada za kufuta Legacy ya jpm.
Unaambiwa juu ya SGR, yaani unatajiwa SGR imesababisha hasara zaidi ya 3b hatuambiwi imeingiza faida kiasi gani , mashaka matupu, nilitegemea atuambie na upande wa pili imeingizia faida kiasi gani.

Kwahiyo utagundua wazi kuwa hii report kama imepikwa ili kuweza kuharibu taswira ya jpm

5.Kuna taarifa ya siri kwamba report hii tayari ilikuwa imeshaandaliwa na CAG lakini kuanzia trh 18.3.2021 ,ilianza kufanyiwa editing ,kwa maelekezo/maagizo kutoka juu.
Ingawa taarifa hizi si rasimi lakini ninaweza kuziamini.

-Cag alianza kwa kutoa taarifa nusu ,akagusia suala la ndege watu wakaibuka na kulaumu ,ndege imekula hasara ya 60b ,wakajitokeza watetezi na kusema hio mbona hasara ndogo, ikawa imeisha.
Kama iliandaliwa tangu mwaka jana ,kwanini alitoa taarifa nusu? Au tuseme editing ilikuwa haijakamilika?
-Kama watu wanasema haya yanatokea kwasababu jpm hakutaka kukosolewa ,tujiuliza hii report imeandaliwa lini ? Wakati au baada ya kifo cha jpm? Kama ni kabla ya jpm ,basi tukubali kuna editing ya taarifa kwa maana jpm asingeikubali(kutokana na hoja zenu kuwa hakutaka kukosolewa).
Kama ilieditiwa kwa maagizo ya nani ? Kwamakusudi gani?

KAMA HATUKUSIKIA HIZO HASARA ZA NDEGE MWAKA JANA , LEO HII TENA MUDA MFUPI KWAMBA ZIMESABABISHA HASARA ,KUNA MASHAKA MAKUBWA.
Nataka kusema kwamba Huenda kichere na timu yake kwa maagizo toka juu alichambua MIRADI ILIYOKUWA INAMPAISHA JPM Na kuweka figisu ilimradi kuonyesha haifai , alikulupuka au alipiga hela kutimiza matakwa ya hao walioko juu.
#Kama ni maagizo ya kikwete ,basi ili kutimiza lengo lake kuanzisha mfumo wake wa ponda mali kifo kinakuja.
#Kama ni Samia ni kutaka kufuta kivuli cha jpm kwenye uongozi wake , yaani yeye si kama jpm ,yeye ni bora zaidi.

MWISHO
JPM aliwahi kusema "ukiona adui yako anakushangilia sana rudi nyuma ujiulize umekosea wapi"

NAONA GIZA NENE MBELE YA URAIS WA SSH, NAONA NCHI INARUDI KWENYE KIKWETISM .NAONA MIKATABA MIPYA YA MADINI ,MIKATABA MIPYA BOMBA LA KUTOKA TANGA HADI HOIMA.

LAKINI YOTE KATI YOTE NASEMA KWAMBA " WANANCHI WENGI HASA WANACCM WANAIMANI KUBWA NA JPM NA WAKO TYR KUSIMAMA NAYE MPKA MWISHO".
UPEPO HUU UTAPITA , REPORT ZITASOMWA ZITATAJWA HASARA ZA MABILIONI WATU WATASHANGILIA ,MWISHO WATU WATASAHAU LAKINI MIRADI ALIYOIANZISHA JPM ITADUMU VIZAZI HADI VIZAZI.

Asilimia kubwa ya wanaccm hivi sasa hawana imani tena na SSH ,WENGI WAKO KIMYA ILA WANAJUA WATAFANYA NINI .
Yaani asilolijua SSH na wenzake watu wengi wanamkubali JPM kuriko hata ccm, wapinzani wengi kama kafulila wanamkubali JPM kuriko ccm.Wengi wanaomshangilia ni wa upinzani ambao nao wanamtumia tu.

ASANTE JOHN
Pumbaaaaaf......sana jinga mkubwa usiye na akili!!!
Wewe ndo kina Magufuli mapenzi niue!! Ati CAG ame-edit report??? Yaani Unataka kutushawishi kuwa Mhe. Rais Madame Sameer Suluhu Hassan amepokea report ya CAG iliyo chakachuliwa kweri? Wewe unatakiwa ukamatwe na upelekwe Lupango haraka!!! Usitake kumpotosha Rais SSH kwa mapenzi yako ya kijinga kwa hayati Jiwe.....nonsense!
Kubwa jinga sana.
 
"Wenye akili" akina nani mataga? Na mimi nikikwambia "wenye akili" wanafahamu hakuna anayepambana na Hayati bali uhuru wa kutoa maoni ambao umepelekea hata report ya CAG kusoma na kuchambuliwa hadharani ndio yameleta haya utanibishia? Ni kipimo kipi kinaonesha ni wapi wenye akili kati ya ninaowazungumzia mimi na unaowazungumzia wewe.

FYI, Hayati hakuwa anatekeleza ilani ya chama, alikuwa na ilani yake kichwani.

Mwambie huyu Taga kubwa jinga!!!
Hayati Jiwe alikuwa kila hotuba zake akisema anatekeleza....ILANI YA CCM YA MAGUFULI (SIYO YA Watz)....SERIKALI YA MAGUFULI( NOT OF ALL TANZANIANS).
Hivo marehemu hakuwa akitekeleza ILANI YA CCM baali ya kwake kichwani na mfukoni....!!!
 
Mleta uzi anasema tayari SGR imeanza kuingiza faida aisee. Elimu. Elimu. Elimu
 
Mleta uzi anasema tayari SGR imeanza kuingiza faida aisee. Elimu. Elimu. Elimu
Kuna mataga ni very hopeless..!!
Yaani mradi bado unajengwa haujakamilika halafu anatokeza Taga mmoja chizi anataka kuona FAIDA....!!! What a nonsense question??
Kweli CCM kuna vihiyo wa kufa mtu!!
 
Yaani asilolijua SSH na wenzake watu wengi wanamkubali JPM kuriko hata ccm
Mimi ni mmoja wao. Nilimkubali zaidi JPM kuliko ccm, na mpaka sasa nina mashaka makubwa sana kama ccm haitaturudisha kwenye zama zile za wizi wa kina kikwete. Kadri ninavyoona msoga gang inazidi kupaza sauti, naona watamwelemea mama na kuirudisha ccm kule kule ili watimize ndoto zao na kulinda maslahi yao.
 
Tunaendelea na mjadala mzito juu ya yale yaliyotajwa na CAG ni sahihi ,ndivo yalivo au ni mwendelezo wa juhudi za kufa na kupona kupoteza Legacy ya Jpm.

Nikiendelea kufanya utafiti wangu binafsi ,jana nilikitana na taarifa ya CLOUDS media wakitolea ufafanuzi tuhuma za kwamba walilipwa kiasi cha shiling 629.7m bila wao kutoa Risiti.

Katika mjadala huo Clouds walidai kwamba waliposikia taarifa hiyo ikabidi wafuatilie kwenye makabrasha yao wakagundua kwamba risiti walizitoa TRA (AUTOMATIC EFD) na Wizara.

#Hapa ndipo mjadala unaanza ;
1. Kama risiti zimetolewa TRA na Wizarani huko na Clouds wanaujasiri wakusema hilo ,basi kuna uwalakini katika auditing ya kichere kwamba huenda amelishwa matango pori kwa makudi, kwa madhaifu ya watenda kazi au kupangwa.

2. Kama wizarani au TRA hawakumpa kichere risti hizo basi hapo napo kuna shida , kwani hawakumpa? Kuna nia gani nyuma ya pazia? Kwasababu clouds wao wanadai walitoa.Huenda ndio maana hata Kigwangalla anachekelea kwasabab anajua mchezo unaoendelea.

3.Hili suala la risiti imefanyika mwak 2018, Kichere alipaswa kulisema kwenye ripoti ya mwaka jana na si mwaka huu.

Hapa napo kuna tafakuri kubwa , .Report ya Kichere ni ya matumizi ya serikali 2019/2020, suala la risti ni la 2018 ambalo likitakiwa kutajwa 2018/2019 ,ndio maana nina wasiwasi kwamba huenda report hii imeeditiwa na kupachikwa vitu ambavo watu fulani walikusudia kuvionyesha kwa jamii ili watimize yao.

4. Report ya CAG ukiangalia kwa jicho la mbali utagundua imejikita kwenye mambo fulani ambayo mengine ni ya kwelini.

NA ILI UONGO USIJULIKANE KUWA NI UONGO LAZIMA UCHANGANYWE NA UKWELI.

Yaani unaambiwa juu ya stendi ya mbezi ITASABABISHA FOLENI , TENA KWA MIUNDO MBINU ILE ,YA NYEGEZI AMBAYO IPO KATIKATI YA MJI HATUJAAMBIWA KAMA ITASABABISHA FOLENI, DODOMA HATUJAAMBIWA ITASABABISHA FOLENI KISA INAITWA STEND YA MAGUFULI na ndo bora na kubwa kuriko zote, jitihada za kufuta Legacy ya jpm.
Unaambiwa juu ya SGR, yaani unatajiwa SGR imesababisha hasara zaidi ya 3b hatuambiwi imeingiza faida kiasi gani , mashaka matupu, nilitegemea atuambie na upande wa pili imeingizia faida kiasi gani.

Kwahiyo utagundua wazi kuwa hii report kama imepikwa ili kuweza kuharibu taswira ya jpm

5.Kuna taarifa ya siri kwamba report hii tayari ilikuwa imeshaandaliwa na CAG lakini kuanzia trh 18.3.2021 ,ilianza kufanyiwa editing ,kwa maelekezo/maagizo kutoka juu.
Ingawa taarifa hizi si rasimi lakini ninaweza kuziamini.

-Cag alianza kwa kutoa taarifa nusu ,akagusia suala la ndege watu wakaibuka na kulaumu ,ndege imekula hasara ya 60b ,wakajitokeza watetezi na kusema hio mbona hasara ndogo, ikawa imeisha.
Kama iliandaliwa tangu mwaka jana ,kwanini alitoa taarifa nusu? Au tuseme editing ilikuwa haijakamilika?
-Kama watu wanasema haya yanatokea kwasababu jpm hakutaka kukosolewa ,tujiuliza hii report imeandaliwa lini ? Wakati au baada ya kifo cha jpm? Kama ni kabla ya jpm ,basi tukubali kuna editing ya taarifa kwa maana jpm asingeikubali(kutokana na hoja zenu kuwa hakutaka kukosolewa).
Kama ilieditiwa kwa maagizo ya nani ? Kwamakusudi gani?

KAMA HATUKUSIKIA HIZO HASARA ZA NDEGE MWAKA JANA , LEO HII TENA MUDA MFUPI KWAMBA ZIMESABABISHA HASARA ,KUNA MASHAKA MAKUBWA.
Nataka kusema kwamba Huenda kichere na timu yake kwa maagizo toka juu alichambua MIRADI ILIYOKUWA INAMPAISHA JPM Na kuweka figisu ilimradi kuonyesha haifai , alikulupuka au alipiga hela kutimiza matakwa ya hao walioko juu.
#Kama ni maagizo ya kikwete ,basi ili kutimiza lengo lake kuanzisha mfumo wake wa ponda mali kifo kinakuja.
#Kama ni Samia ni kutaka kufuta kivuli cha jpm kwenye uongozi wake , yaani yeye si kama jpm ,yeye ni bora zaidi.

MWISHO
JPM aliwahi kusema "ukiona adui yako anakushangilia sana rudi nyuma ujiulize umekosea wapi"

NAONA GIZA NENE MBELE YA URAIS WA SSH, NAONA NCHI INARUDI KWENYE KIKWETISM .NAONA MIKATABA MIPYA YA MADINI ,MIKATABA MIPYA BOMBA LA KUTOKA TANGA HADI HOIMA.

LAKINI YOTE KATI YOTE NASEMA KWAMBA " WANANCHI WENGI HASA WANACCM WANAIMANI KUBWA NA JPM NA WAKO TYR KUSIMAMA NAYE MPKA MWISHO".
UPEPO HUU UTAPITA , REPORT ZITASOMWA ZITATAJWA HASARA ZA MABILIONI WATU WATASHANGILIA ,MWISHO WATU WATASAHAU LAKINI MIRADI ALIYOIANZISHA JPM ITADUMU VIZAZI HADI VIZAZI.

Asilimia kubwa ya wanaccm hivi sasa hawana imani tena na SSH ,WENGI WAKO KIMYA ILA WANAJUA WATAFANYA NINI .
Yaani asilolijua SSH na wenzake watu wengi wanamkubali JPM kuriko hata ccm, wapinzani wengi kama kafulila wanamkubali JPM kuriko ccm.Wengi wanaomshangilia ni wa upinzani ambao nao wanamtumia tu.

ASANTE JOHN
Kumbe hujaelewa tafuta wataalam wakueleweshe kuhusu ripoti ya CAG kwa ufupi sana kumbukumbu za risiti huwa hazipotei (traceability)

Ila katika yote naona hoja yako kuu ni kumtetea mwendazake sasa ungetafuta namna nyingine yenye ushahidi

Sent from my SM-N915F using JamiiForums mobile app
 
Query za CAG zinajibiwa kwa documents na mazungumzo na CAG na siyo kwenye vyombo vya habari.

Kila aliyeguswa na CAG akikimbilia kwenye media itakuwaje?

Hao Clouds wako tayari kumpa airtime yeyote aliyetajwa na CAG kujisafisha? Au kwa sababu tu wao wana media wanaamua kuachana na ethics za auditing wanakimbilia kutafuta huruma ya watu?
KWanza (kama ni kweli ) TRA si unapeleka risiti za kodi ama? Halafu CAG kasema Clouds walilipwa bila mkataba, so whether mmelipa na risiti mnazo but hiyo pesa mmepewa bila mkataba, ndio swali la CAG. Wajina sana hawa watu.
Ingawa pia hata mimi siamini kama ile report ya CAG ni original, nina hakika MWamba angekua hai, Kichere asingeisoma vile, lasima alikua na report nyingine. We all knows kwanini Assad aliondolewa nafasi hiyo na akapewa Kichere, Kichere kwa muda wote aliokaa ofisini hajawahi kukosoa, mfano ni wa hiyo hasara ya ATC pamoja na hizo hizo pesa za Clouds, kwanini haku report mwaka jana mwamba akiwa HAI!?
 
Tunaendelea na mjadala mzito juu ya yale yaliyotajwa na CAG ni sahihi ,ndivo yalivo au ni mwendelezo wa juhudi za kufa na kupona kupoteza Legacy ya Jpm.

Nikiendelea kufanya utafiti wangu binafsi ,jana nilikitana na taarifa ya CLOUDS media wakitolea ufafanuzi tuhuma za kwamba walilipwa kiasi cha shiling 629.7m bila wao kutoa Risiti.

Katika mjadala huo Clouds walidai kwamba waliposikia taarifa hiyo ikabidi wafuatilie kwenye makabrasha yao wakagundua kwamba risiti walizitoa TRA (AUTOMATIC EFD) na Wizara.

#Hapa ndipo mjadala unaanza ;
1. Kama risiti zimetolewa TRA na Wizarani huko na Clouds wanaujasiri wakusema hilo ,basi kuna uwalakini katika auditing ya kichere kwamba huenda amelishwa matango pori kwa makudi, kwa madhaifu ya watenda kazi au kupangwa.

2. Kama wizarani au TRA hawakumpa kichere risti hizo basi hapo napo kuna shida , kwani hawakumpa? Kuna nia gani nyuma ya pazia? Kwasababu clouds wao wanadai walitoa.Huenda ndio maana hata Kigwangalla anachekelea kwasabab anajua mchezo unaoendelea.

3.Hili suala la risiti imefanyika mwak 2018, Kichere alipaswa kulisema kwenye ripoti ya mwaka jana na si mwaka huu.

Hapa napo kuna tafakuri kubwa , .Report ya Kichere ni ya matumizi ya serikali 2019/2020, suala la risti ni la 2018 ambalo likitakiwa kutajwa 2018/2019 ,ndio maana nina wasiwasi kwamba huenda report hii imeeditiwa na kupachikwa vitu ambavo watu fulani walikusudia kuvionyesha kwa jamii ili watimize yao.

4. Report ya CAG ukiangalia kwa jicho la mbali utagundua imejikita kwenye mambo fulani ambayo mengine ni ya kwelini.

NA ILI UONGO USIJULIKANE KUWA NI UONGO LAZIMA UCHANGANYWE NA UKWELI.

Yaani unaambiwa juu ya stendi ya mbezi ITASABABISHA FOLENI , TENA KWA MIUNDO MBINU ILE ,YA NYEGEZI AMBAYO IPO KATIKATI YA MJI HATUJAAMBIWA KAMA ITASABABISHA FOLENI, DODOMA HATUJAAMBIWA ITASABABISHA FOLENI KISA INAITWA STEND YA MAGUFULI na ndo bora na kubwa kuriko zote, jitihada za kufuta Legacy ya jpm.
Unaambiwa juu ya SGR, yaani unatajiwa SGR imesababisha hasara zaidi ya 3b hatuambiwi imeingiza faida kiasi gani , mashaka matupu, nilitegemea atuambie na upande wa pili imeingizia faida kiasi gani.

Kwahiyo utagundua wazi kuwa hii report kama imepikwa ili kuweza kuharibu taswira ya jpm

5.Kuna taarifa ya siri kwamba report hii tayari ilikuwa imeshaandaliwa na CAG lakini kuanzia trh 18.3.2021 ,ilianza kufanyiwa editing ,kwa maelekezo/maagizo kutoka juu.
Ingawa taarifa hizi si rasimi lakini ninaweza kuziamini.

-Cag alianza kwa kutoa taarifa nusu ,akagusia suala la ndege watu wakaibuka na kulaumu ,ndege imekula hasara ya 60b ,wakajitokeza watetezi na kusema hio mbona hasara ndogo, ikawa imeisha.
Kama iliandaliwa tangu mwaka jana ,kwanini alitoa taarifa nusu? Au tuseme editing ilikuwa haijakamilika?
-Kama watu wanasema haya yanatokea kwasababu jpm hakutaka kukosolewa ,tujiuliza hii report imeandaliwa lini ? Wakati au baada ya kifo cha jpm? Kama ni kabla ya jpm ,basi tukubali kuna editing ya taarifa kwa maana jpm asingeikubali(kutokana na hoja zenu kuwa hakutaka kukosolewa).
Kama ilieditiwa kwa maagizo ya nani ? Kwamakusudi gani?

KAMA HATUKUSIKIA HIZO HASARA ZA NDEGE MWAKA JANA , LEO HII TENA MUDA MFUPI KWAMBA ZIMESABABISHA HASARA ,KUNA MASHAKA MAKUBWA.
Nataka kusema kwamba Huenda kichere na timu yake kwa maagizo toka juu alichambua MIRADI ILIYOKUWA INAMPAISHA JPM Na kuweka figisu ilimradi kuonyesha haifai , alikulupuka au alipiga hela kutimiza matakwa ya hao walioko juu.
#Kama ni maagizo ya kikwete ,basi ili kutimiza lengo lake kuanzisha mfumo wake wa ponda mali kifo kinakuja.
#Kama ni Samia ni kutaka kufuta kivuli cha jpm kwenye uongozi wake , yaani yeye si kama jpm ,yeye ni bora zaidi.

MWISHO
JPM aliwahi kusema "ukiona adui yako anakushangilia sana rudi nyuma ujiulize umekosea wapi"

NAONA GIZA NENE MBELE YA URAIS WA SSH, NAONA NCHI INARUDI KWENYE KIKWETISM .NAONA MIKATABA MIPYA YA MADINI ,MIKATABA MIPYA BOMBA LA KUTOKA TANGA HADI HOIMA.

LAKINI YOTE KATI YOTE NASEMA KWAMBA " WANANCHI WENGI HASA WANACCM WANAIMANI KUBWA NA JPM NA WAKO TYR KUSIMAMA NAYE MPKA MWISHO".
UPEPO HUU UTAPITA , REPORT ZITASOMWA ZITATAJWA HASARA ZA MABILIONI WATU WATASHANGILIA ,MWISHO WATU WATASAHAU LAKINI MIRADI ALIYOIANZISHA JPM ITADUMU VIZAZI HADI VIZAZI.

Asilimia kubwa ya wanaccm hivi sasa hawana imani tena na SSH ,WENGI WAKO KIMYA ILA WANAJUA WATAFANYA NINI .
Yaani asilolijua SSH na wenzake watu wengi wanamkubali JPM kuriko hata ccm, wapinzani wengi kama kafulila wanamkubali JPM kuriko ccm.Wengi wanaomshangilia ni wa upinzani ambao nao wanamtumia tu.

ASANTE JOHN
La kuvunda halina ubani. Sukuma Gang subirini report ifanyiwe kazi,hii kupulizia perfume kwenye uharo haijawahi kusaidia hata siku moja. Mbona mnahangaika kama kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachwa?
 
Magufuli alikuwa ni mwizi wa rasilimali za uma.
Kalitamke Hilo pale kariakoo au kwenye vituo vya daladala...usijifiche humu...tamka hadharani maneno hayo...usichojua watu in millions bado JPM yupo moyoni....Hawa elites akina Ndugai na wenzake they don't know what is coming for them...wait and watch..
 
Kutokana na kinachoendelea kuna makundi 3 - anti JPM, pro JPM na wale sitting on the fence. Sometimes the truth is said in silence. Kinachosikitisha vita ya maneno miongoni sisi kwa sisi na personal attacks badala ya issues, huku high power wako busy forming allegiances ni hatari. Tukishaamka tutakuwa tumeliwa vibaya - na lazima kuna watu wananufaika na hali hii inayoendelea 'divide et impera'.

Tuombe Katiba mpya….
 
T

3.Hili suala la risiti imefanyika mwak 2018, Kichere alipaswa kulisema kwenye ripoti ya mwaka jana na si mwaka huu.



ASANTE JOHN
FICHENI UJINGA WENU WAKUTOJUA NINI MAANA YA AUDIT REPORT:
1. Nauwakika mwaka jana haikuwepo kwasababu walikuwa wansubiri wizara ilete risiti.
2. mwaka huu imetokea kama audit query mana ni kiporo na wameshindwa kuwasilisha,
3. Pia kumbuka itaendela kutoke ahata miaka 100, mpaka hapo watakapoweza kujibu hiyo issue, audit huw ahaifutiki mpkaa ujibu hata kama ni ya mwaka 1960.
 
Mimi ni mmoja wao. Nilimkubali zaidi JPM kuliko ccm, na mpaka sasa nina mashaka makubwa sana kama ccm haitaturudisha kwenye zama zile za wizi wa kina kikwete. Kadri ninavyoona msoga gang inazidi kupaza sauti, naona watamwelemea mama na kuirudisha ccm kule kule ili watimize ndoto zao na kulinda maslahi yao.
Inamaana wizi wa meko na ukatili wake wewe hujauona? Pumbavuu
 
Back
Top Bottom