Kuna mkongwe ameniambia kuwa kipindi kile cha vuguvugu la G55 na Tanganyika,mzee ruksa alituma kikosi kazi kwenda kumuona Mwalimu Nyerere ili atoe ufafanuzi juu ya misingi ya katiba/serikali mbili.
Mwalimu alitoa suluhisho na hatimaye vuguvugu hilo likapoa!
Nikiangalia mwenendo wa majadiliano yanayoendelea kuhusu katiba/serikali mbili au tatu naona hakuna kimbilio la msulihishi zaidi ya hayati baba wa Taifa.