Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

CIA walisema aliehusika na kifo cha Kombe ni PK na walitoa repoti yao.
There is also reason to believe that a number of people with knowledge of Kagame's plot against the presidential aircraft have been assassinated. These possibly include Tanzania's former intelligence chief, Major General Imran Kombe, shot dead by policemen in northeastern Tanzania after he was mistaken for a notorious car thief. His wife maintains he was assassinated.

Kombe had knowledge of not only the planned assassination of the Rwandan and Burundian presidents but a plot against Kenya's President Moi and Zaire's President Mobutu, as well. There is a belief that Roman Catholic Archbishop of Bukavu, Emmanuel Kataliko, was assassinated last October in Rome by members of a Rwandan hit team acting on orders from Kagame. Other Tutsi and Hutu leaders who oppose Kagame's regime continue to flee Rwanda to the U.S. and France in fear of their lives.

Rwanda's figurehead Hutu President Pasteur Bizimungu was forced to resign last year under pressure from the only power in Rwanda, his then-Vice President, Paul Kagame. Deus Kagiraneza, a former intelligence officer in Kagame's Military Intelligence Directorate (DMI), interim Prefect of the Ruhengeri province, and member of the Parliament, is now in exile in Belgium. He charges that Kagame's top government and military are responsible for torturing and executing their political opponents. Kagiraneza maintains that the RPF has pursued such policies since the time of the 1990 invasion of Rwanda from Uganda
Blood Money Out Of Africa
Ulianza vizuri ila umeharib ulivobadili gia na kuingiza hyo lugha yako
 
Horace Kolimba anajua kila kitu maana alikuwa ndio mkuu wa msafara mchana ule Mmasai anapata ajali pale Dumila.

Bahati mbaya Kolimba amekufa na siri yake moyoni pale Kizota.

Pia Kolimba na Malecela baadae 1990s walichukiwa sana na Mwalimu Nyerere mpaka aliwaandikia Kitabu cha 'kuwachamba' kwa kuwataja Majina kabisa!
 
Jamani tuweni serious hivi Rais wa nchi nyingine apangwe kumalizwa kwenye nchi ya kigeni tena Kwa chakula cha sumu then chakula kibadilishwe ale mtu mwingine, hakukuwa na mpango huo na wala isingewezekana kwasababu ya mgogoro mkubwa wa Kidiplomasia ambao ungeweza kusababisha hata vita kati ya nchi mbili punguzeni propaganda
Mkuu, kama umesoma comment yangu ya awali...nilisema kuwa intelligencia yetu haiko vizuri. kuna watu walitumika nje ya mfumo wetu kuandaa hilo tukio ingawa wengine ni sehemu ya usalama wetu. kumbuka, Mgogoro wa DRC unashirikisha players wengi Duniani ikiwemo CIA na wengineo. kama Museveni angekufa, ingelaumiwa Tanzania na Dunia ingetulaani sana.

Ila kwa upande wa pili, Wenye mpango huo wangefurahi kwa mission yao kufanikiwa.
 
Huu uzi naona watu wanafunguka kwa mafumbo tu yaan utafikir tunasoma ufunuo
mkuu, hiyo avator yako ndo inafanye niweze ku-smile! He was the man...
428004.jpg
 
Hao jamaa basi wabongo mnasahau ila kamwe historia haitupi kila kitu bali inatunza.
Mkapa alipotaka kuuza NBC Mwl alipinga akatafuta na washauri wa kiuchumi wakamuambia hasara za kuuza hiyo benki basi Nyerere akamuita Nkapa kwake Msasani ila kwa kua Nkapa alishajua dhumuni la wito huo basi akanywa whiski za kutosha alipofika msasani kwa mwl ilikua ni aibu Nyerere alikasirika akarudi chumbani.

Nyerere akamuambia Pengo uchafu wa Ben ikabidi Pengo amfuate Mkapa na kumueleza lkn wapi mtu wa ntwara alikuwa keshalewa madaraka akumsikia Nyerere ikabidi aende ikulu kimyakimya na kumuambia Nkapa kuwa Ben umenidhalilisha sana malizia kiporo chako upumzike umuachie mtu mwingine . Kilichofuata ndo hayo tukaambiwa leukemia Mara Komba na nyimbo zake
Dah[emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Pohamba umepatwa na nini au umempokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi katika maisha yako [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Just a joke bro, don't take it seriuosly

Unaweza ukanicheka naishi na Mke Mtata ukadhan Sijui Kama Mtata Kumbe kila nikiwatazama wengine naona afadhali nibaki na huyu Huyu 'biti shomvi' wangu kwa kuwa wengine ni vimeo zaid!

Nadhan umenielewa Mkubwa Mwenzangu hahahah
 
Back
Top Bottom