Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Ulianza vizuri ila umeharib ulivobadili gia na kuingiza hyo lugha yako
 
Horace Kolimba anajua kila kitu maana alikuwa ndio mkuu wa msafara mchana ule Mmasai anapata ajali pale Dumila.

Bahati mbaya Kolimba amekufa na siri yake moyoni pale Kizota.

Pia Kolimba na Malecela baadae 1990s walichukiwa sana na Mwalimu Nyerere mpaka aliwaandikia Kitabu cha 'kuwachamba' kwa kuwataja Majina kabisa!
 
Mkuu, kama umesoma comment yangu ya awali...nilisema kuwa intelligencia yetu haiko vizuri. kuna watu walitumika nje ya mfumo wetu kuandaa hilo tukio ingawa wengine ni sehemu ya usalama wetu. kumbuka, Mgogoro wa DRC unashirikisha players wengi Duniani ikiwemo CIA na wengineo. kama Museveni angekufa, ingelaumiwa Tanzania na Dunia ingetulaani sana.

Ila kwa upande wa pili, Wenye mpango huo wangefurahi kwa mission yao kufanikiwa.
 
Dah[emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Pohamba umepatwa na nini au umempokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi katika maisha yako [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Just a joke bro, don't take it seriuosly

Unaweza ukanicheka naishi na Mke Mtata ukadhan Sijui Kama Mtata Kumbe kila nikiwatazama wengine naona afadhali nibaki na huyu Huyu 'biti shomvi' wangu kwa kuwa wengine ni vimeo zaid!

Nadhan umenielewa Mkubwa Mwenzangu hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…