Mkuu hiyo yakupasuka na hiyo ya Ilunga vimeniacha dilema mkuuSi hivyo tuu
Jamaa alianza kumuua mwlm toka anaanza kuumwa kule butiama, medical records unajua fika DSTV walizifanya nini. Infact alimmaliza Mwalimu kwa style ya JK na watu wake walivyommaliza Sheikh Ilunga na safari ya India.
Teacher alipofika London alikuwa brain dead. Hapo usiniulize kuhusu maiti kupasuka Taifa siku ile
Unaweza muita mfursi ama m-persianNi Mtanzania mwenye asili ya Iran
Thanks bossHe was himself Imran Kombe who ordered PM bodyguard to heard to Dar instead of accompany the Premier towards Monduli sasa umeshapata jibu kuwa DG alikuwa nani .
Nimekupata mkuu.vipi kuhusu iyo karma?Huyu ni yule mbunge wa jimbo lililoko Tabora aliyejiuzuru wakati wa mkwere akisema hataki siasa uchwara.
Thanks boss
Asante mkuu kwa kunipa mwanga,japo umeniacha hewani hapo kwenye mtanzania mwenye asili ya India.
Nimekupata mkuu[emoji23] [emoji23]Roma + Stamina =
RostaminaaaaaaaRoma + Stamina =
hiyo namba 3 hapo juu,imenikumbusha tukio hilo ETI MKUU WA TISS anapigwa risasi kwa kutuhumiwa ni jambazi?Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !
Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
Naomba niseme ahsante sana mkuu...maandiko yako yamejitosheleza vya kutosha, kwa uelewa wangu mdogo nimeelewa picha Zima.Mara baada ya muungano was Tanganyika na Zanzibar na kuzaa Tanzania...mchonga aliweka watu huko Zanzibar was kuhakikisha Zanzibar inakuwa sikivu kwa Tanzania ..kwa maana ya viongoz was Zanzibar wafate kile walichokubaliana....karume baadabya kusaini na kuukubali muungano alibain kuwa amesain kitu kilichomtolea meno yote..hana maamumz kwa mambo mengi..akachukia akaanza vijimaneno maneno vyabkutaka kuuvunja muungano..
Vijana was mwl wakawa wanareport kila kitu hapo magogoni na wengi waliokwenda huko walijihusisha na uvuaji was samak Bahrain lakn kumbe wako kazin...
Siku moja mwl akaamuru vikos toka Zanzibar viende Mozambique kwenda kusaidia kupigana vitavya kudai Uhuru was nchi hiyo..kumbuka tz ilikuwa mstari was mbele katika kuosaidia Mozambique..
Karume aliposikia kuwa mwl ametoa order ya wanajeshi toka Zanzibar wamepanda boti kuelekea DSM kisha waende Mozambique ..akampigia sim mwl na kumwambia kwa mini unachujua wanajeshi wangu kwenda vitan bila ridhaa yangu?..Luna majibizano yalitokea na ndipo karume akaamuru not hiyo irud Zanzibar Mara moja..mwl alichukia sana..ikizingatiwa kuwa karume alishaanza vijimaneno meno vyabkuuvunja muungano...ndipo wale vijana walioko Zanzibar wakapewa ujumbe uliohifadhiwa ndani ya yai kisha yai likawwkwa ndan box na juu box likafunikwa na gift paper na kwenda zenji kama zawad...maandaliz yakaanza na hatimae karume akarejeshwa kule ambako huwa hawarud....
...........
Wakat akisherehekea miaka 75 ya kuzaliwa kwake..alimiminiwa wine aipendayo ndani ya glass na kugonga cheers na wageni waalikwa.baada ya cheers ile mwl akanywa wine ile funds tatu na ile Mara ya tatuwakat anatoa glass kinywan aliinua glass kwa juu akawa anaangali wine iliyobaki ndan ya glass kisha akaiweka mezan..
Tayar huko nyuma miezi minne iliyopita mwaka huo 1996 kuelekea 1997alikuwa amepiga kelele sana juu ya nia ya serikali ya kuiuza bank ya NBC....
Mwl akamwita mkapa msasan...mkapa akaenda akiwa amelewa chakali..akamkuta mwl akiwa amepumzika...mwl akapelelekewa taarifabkuwa mh yuko hapa..mwl akashuka akitokea chumban..kabla hajashuka ngaz zote alitupa jicho kwa mkapa na akamuona mkapa akiwa amelewa chakari..mwl hakuongea akarud chumban nakusema hawez kuongea na mlevi..mkapa akaondoka...
Kesho take kama kawaida mwl akaenda miss ya asubuhi hapo st peter..na Mara baada ya miss akaenda kwa kadinali pengo..ndan ya of is akaionga pengo,mwl,msaidiz was mwl na msaidiz was pengo...mwl akiwa na huzun nyingi akamwangalia msaidiz was pengo huku mwl akilia machozi na akimwambia pengo nimekuja ili uende ukamwambie kwa mini amekja kwangu akiwa amelewa namna ile nimemkosea mini?.pengo alijibu kwa kingereza akasema ..mwl I will work on it..kisha akasema kwa kiswahili nitakwenda Leo join na nitafikisha ujumbe..mwl akaaga akaondoka..
Kesho yake na hats kabla hajapewa mrejesho na pengo mwl akaenda ikulu bila taarifa..akapokelewa na wasaidz was rais..ratiba ya rais wakat huo alikuwa na ugen toka umoja was mataifa..msaidiz mmoja akaenda akamwambia mkapa..mwl amekuja yuko hapo koridon amesimama anahita kukuona..mkapa akaomba udhuru kwa wagen akaenda kumuona mwl..na ndipo mwl akamwambia ..Ben kwa nn ulikuja kwangu ukiwa umelewa..kwa nn unataka kuiuza NBC...nilikuamini sana ila umeniangusha mno malizia miaka iliyobaki ukapumzike nchi ataishika mwingine...mkapa hakujibu neno mwl akaondoka..
Kilichofuata mwl aligundulika na leukemia...akalazwa st Thomas tena general Hosp...halio yake ikazolota na mkapa akitokea uswis akapita London kumjulia halo mwl na tens hakuingia chumban alikolazwa mwl Bali alimwangalia militia kwenye kiooo na kuondoka..alipofika DSM akautangazia umma kwa kusema ..mwl is recovering very slowly..hatimae nae akarejeshwa Kule kule wasikorud October 14..lait kama angejua ile wine asingeinywa siku ile ya birthday yake.
..............
Dr omali Ali juma in kama mmoja alivosema hapo juu juu ya kubadilishwa mic na sio chakula lakini inteligensia ya Tanzania nayo ilikuwa inajua fika kuwa siku hiyo ni siku ya mwisho kwa Dr juma...kulikuwa na mambo mengi yanaendelea chini kwa chini yaliyokuwa yakiratibiwa na dr ali bili ridhaa na baraka za wakubwa....
.....
Wako wengi wameondolewa kama vile
Komba
Kolimba
Mgina(wazir wa fedha)
Jb belmonte
Amina chifupa
Balali
Sokoine..na wengine wengi tu..
Nimekupata mkuu.vipi kuhusu iyo karma?
Kwaiyo kumbe before NBC case Nyerere alikua na afya njema tu yani alikua sio mgonjwa mgonjwa?Hao jamaa basi wabongo mnasahau ila kamwe historia haitupi kila kitu bali inatunza.
Mkapa alipotaka kuuza NBC Mwl alipinga akatafuta na washauri wa kiuchumi wakamuambia hasara za kuuza hiyo benki basi Nyerere akamuita Nkapa kwake Msasani ila kwa kua Nkapa alishajua dhumuni la wito huo basi akanywa whiski za kutosha alipofika msasani kwa mwl ilikua ni aibu Nyerere alikasirika akarudi chumbani.
Nyerere akamuambia Pengo uchafu wa Ben ikabidi Pengo amfuate Mkapa na kumueleza lkn wapi mtu wa ntwara alikuwa keshalewa madaraka akumsikia Nyerere ikabidi aende ikulu kimyakimya na kumuambia Nkapa kuwa Ben umenidhalilisha sana malizia kiporo chako upumzike umuachie mtu mwingine . Kilichofuata ndo hayo tukaambiwa leukemia Mara Komba na nyimbo zake
Kama sikosei anaitwa imran kombe alipigwa chuma pale mailisita moshi kwa kudhaniwa kuwa ni jambaz walio fanikisha hilo walifungwa jela ila now wapo mtaani wawili nimesha onana nao katika shughuli za ujenzi wa taifaMkuu..embu funguka..huyo mkuu wa usalama aliepigwa risasi..ilikuaje?
Katika huu Uzi nilikua nasubiri neno toka kwako,ahsante mkuuMara baada ya muungano was Tanganyika na Zanzibar na kuzaa Tanzania...mchonga aliweka watu huko Zanzibar was kuhakikisha Zanzibar inakuwa sikivu kwa Tanzania ..kwa maana ya viongoz was Zanzibar wafate kile walichokubaliana....karume baadabya kusaini na kuukubali muungano alibain kuwa amesain kitu kilichomtolea meno yote..hana maamumz kwa mambo mengi..akachukia akaanza vijimaneno maneno vyabkutaka kuuvunja muungano..
Vijana was mwl wakawa wanareport kila kitu hapo magogoni na wengi waliokwenda huko walijihusisha na uvuaji was samak Bahrain lakn kumbe wako kazin...
Siku moja mwl akaamuru vikos toka Zanzibar viende Mozambique kwenda kusaidia kupigana vitavya kudai Uhuru was nchi hiyo..kumbuka tz ilikuwa mstari was mbele katika kuosaidia Mozambique..
Karume aliposikia kuwa mwl ametoa order ya wanajeshi toka Zanzibar wamepanda boti kuelekea DSM kisha waende Mozambique ..akampigia sim mwl na kumwambia kwa mini unachujua wanajeshi wangu kwenda vitan bila ridhaa yangu?..Luna majibizano yalitokea na ndipo karume akaamuru not hiyo irud Zanzibar Mara moja..mwl alichukia sana..ikizingatiwa kuwa karume alishaanza vijimaneno meno vyabkuuvunja muungano...ndipo wale vijana walioko Zanzibar wakapewa ujumbe uliohifadhiwa ndani ya yai kisha yai likawwkwa ndan box na juu box likafunikwa na gift paper na kwenda zenji kama zawad...maandaliz yakaanza na hatimae karume akarejeshwa kule ambako huwa hawarud....
...........
Wakat akisherehekea miaka 75 ya kuzaliwa kwake..alimiminiwa wine aipendayo ndani ya glass na kugonga cheers na wageni waalikwa.baada ya cheers ile mwl akanywa wine ile funds tatu na ile Mara ya tatuwakat anatoa glass kinywan aliinua glass kwa juu akawa anaangali wine iliyobaki ndan ya glass kisha akaiweka mezan..
Tayar huko nyuma miezi minne iliyopita mwaka huo 1996 kuelekea 1997alikuwa amepiga kelele sana juu ya nia ya serikali ya kuiuza bank ya NBC....
Mwl akamwita mkapa msasan...mkapa akaenda akiwa amelewa chakali..akamkuta mwl akiwa amepumzika...mwl akapelelekewa taarifabkuwa mh yuko hapa..mwl akashuka akitokea chumban..kabla hajashuka ngaz zote alitupa jicho kwa mkapa na akamuona mkapa akiwa amelewa chakari..mwl hakuongea akarud chumban nakusema hawez kuongea na mlevi..mkapa akaondoka...
Kesho take kama kawaida mwl akaenda miss ya asubuhi hapo st peter..na Mara baada ya miss akaenda kwa kadinali pengo..ndan ya of is akaionga pengo,mwl,msaidiz was mwl na msaidiz was pengo...mwl akiwa na huzun nyingi akamwangalia msaidiz was pengo huku mwl akilia machozi na akimwambia pengo nimekuja ili uende ukamwambie kwa mini amekja kwangu akiwa amelewa namna ile nimemkosea mini?.pengo alijibu kwa kingereza akasema ..mwl I will work on it..kisha akasema kwa kiswahili nitakwenda Leo join na nitafikisha ujumbe..mwl akaaga akaondoka..
Kesho yake na hats kabla hajapewa mrejesho na pengo mwl akaenda ikulu bila taarifa..akapokelewa na wasaidz was rais..ratiba ya rais wakat huo alikuwa na ugen toka umoja was mataifa..msaidiz mmoja akaenda akamwambia mkapa..mwl amekuja yuko hapo koridon amesimama anahita kukuona..mkapa akaomba udhuru kwa wagen akaenda kumuona mwl..na ndipo mwl akamwambia ..Ben kwa nn ulikuja kwangu ukiwa umelewa..kwa nn unataka kuiuza NBC...nilikuamini sana ila umeniangusha mno malizia miaka iliyobaki ukapumzike nchi ataishika mwingine...mkapa hakujibu neno mwl akaondoka..
Kilichofuata mwl aligundulika na leukemia...akalazwa st Thomas tena general Hosp...halio yake ikazolota na mkapa akitokea uswis akapita London kumjulia halo mwl na tens hakuingia chumban alikolazwa mwl Bali alimwangalia militia kwenye kiooo na kuondoka..alipofika DSM akautangazia umma kwa kusema ..mwl is recovering very slowly..hatimae nae akarejeshwa Kule kule wasikorud October 14..lait kama angejua ile wine asingeinywa siku ile ya birthday yake.
..............
Dr omali Ali juma in kama mmoja alivosema hapo juu juu ya kubadilishwa mic na sio chakula lakini inteligensia ya Tanzania nayo ilikuwa inajua fika kuwa siku hiyo ni siku ya mwisho kwa Dr juma...kulikuwa na mambo mengi yanaendelea chini kwa chini yaliyokuwa yakiratibiwa na dr ali bili ridhaa na baraka za wakubwa....
.....
Wako wengi wameondolewa kama vile
Komba
Kolimba
Mgina(wazir wa fedha)
Jb belmonte
Amina chifupa
Balali
Sokoine..na wengine wengi tu..
Hivi jamani Rostam nchi hii ndo kaizira kabisa? Ila ushindi wa boys2men ndo ulikua ushindi wa Tanzania zidi ya mfumo Kristo!! Ila ndo vile tena!!Kwa ufupi
Boys2men ni genge la Kisiasa lililoundwa 1995 likikusanya Watu Wenye kila tabia mbaya Nchini kwa malengo ya kushika Dola na kweli wakamzidi Maarifa mpaka Amiri Jeshi wa wakati huo!
Baada ya kushika Dola Kama kawaida ya Wahuni wakaanza kuzungukana na kuzidiana ujanja Matokeo yake wakapigana Mitama na kuvuruga 'draft '.
Hiyo karma mwengine atakuja kukusaidia
Mkwere, Mmasai na Mtanzania Mwenye asili ya India ndio walikuwa Viongozi wa genge hilo
Sometimes ni karma.... Karume alikufa style aliyokua akimaliza wenzie.... Na Nyerere vivyo hivyoHii pia uenda ni karma ilikua inafanya kazi yake maana katika espionage ukishatekeleza lengo basi utambue wewe ndie unaondolewa kupoteza ushahidi.
...Rost tamu LaazizAsante mkuu kwa kunipa mwanga,japo umeniacha hewani hapo kwenye mtanzania mwenye asili ya India.
Yote yanaweza kua majibu mkuu. nilichogundua kua nisinanijuacho kabisa. Niujinga kushabikia mambo nisio yajua(siasa)
We kujifanya daktari wakati hata posmoterm jamaa awataki na mara nyingi ukishapelekwa Lugalo basi ujue hamna cha postmotam wala nini . Kinachofuata ni kuzikwa .Watu mnaweza kutunga nimekuvulia kofia;unataja hadi watu waliokufa kwa ngoma na chain inajulikana unawapa dhambi watu ya kuwaua
Wewe unaamini Amina,Komba au Del Monte wameuawa?wakati Chain ya Amina tumeshazika karibia 4We kujifanya daktari wakati hata posmoterm jamaa awataki na mara nyingi ukishapelekwa Lugalo basi ujue hamna cha postmotam wala nini . Kinachofuata ni kuzikwa .
Uenda ujui yanayoendelea ndio maana unapinga ukweli. Pole mkuu ubongo bikra