MkuuYes you have got a point.. Alipomuambia mkwere kuwa I will wait you at the right point alafu amfute kwenye uso wa dunia alikuwa anamaanisha via kundi lake la Escadron de la mort " kagame ni hatari
Walingozi ni yule mfipa?Kisha walingozi
Asante sana mkuu. mimi makazi yangu ni Namibia. wife na watoto wako huku, though kibarua ni Angola. pamoja sana mkuuCurrently nipo Russia kwa issues flani though I am dwelling in Solles Sweden. Karibu Sana
Kwa tafsiri isiyo rasmi neno karma lina maana hizi: "MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI", "UKITENDA UBAYA UTALIPWA UBAYA" na mengine yanayoshabihiana na hayo.Wakuu vipi kuhusu karma?hiki ni kitu gani?
Rostam na KingungeAsante mkuu kwa kunipa mwanga,japo umeniacha hewani hapo kwenye mtanzania mwenye asili ya India.
Wee jamaa wewe memory yako mbovuMkuu bado ujanishawishi inshu ya BABU SEYA naona Hamna mausiano na KIKWETE ila siasa tu imeingizwa .labda nikuhulize swali hivi inshu ya SEYA haina mahusiano na siasa za Kongo kwa kabila maana baada ya BABU SEYA kutoka jera baada ya week kama tatu nne hivi tukapata msiba huko Kongo wanajeshi wetu 12 wameuwawa na wengine kama 40 majeruwi uwoni kama kuna kitu nyuma ya panzia
Mtikila alikuwa analalamika jinsi Tutsi empire ilivopenetrate ila ndo hivyo aliondoka ajali tena walimuuawa akiwa amechoka na safari wakasema eti ajali ya gari oh my Lord wakati waliokuwa nae walikuwa wazima wa afya.Mkuu
Ina maana hili kundi lime penetrate hadi bongo na kufanya litakavyo? Je vyombo vyetu vinalijua kiasi gani?
kwa maelezo yao, hakika nasimama katika nilicho kiandikaunauhakika hao uliowataja hawapo hapa?
We jamaa hauna Marinda Nini.???mweshimiwa amekufa tarehe saba mwezi wa nne, swali; maonyesho ya sabasaba yanahusikaje hapa? mbona mnapotezea swali la msingi?
kupitia maelezo yao ningeweza juaUnajuaje uliowataja hawamo humu?
hizi ishu nafuatilia tangu miaka ya 80,Mkuu unapoangalia documentary au unaposoma kitabu usichukulie km Ni msaafu
Documentary za kisiasa huwa znalenga kitu fulan jawafikia watu fulan
Hivi unajua kuwa all Jazeera ilianzishwa kwa msaada wa USA ili kupunguza chuki dhidi ya nchi za Maghreb?
Nchi za kiarabu ilifikia wakat hawaamin media za magharibi, USA ikakaa na mshirika wake wakaja na aljazeera lengo kubwa Ni kuwapa nafas waarabu waseme kupunguza sumu
Na we baada ya kuangalia documentary ukaamin kabisa Iran anaweza kumchonganisha USA apigane na Iraq?
Bro kuwa mdadis don't be spoon feed
Nilikuwa na ndoto sana ya kuishi Botswana kulingana na niliokuwa nayasikia kuhusu hiyo nchi kabla sijaja huku.Asante sana mkuu. mimi makazi yangu ni Namibia. wife na watoto wako huku, though kibarua ni Angola. pamoja sana mkuu
hata ukichuchumaa bt wacha kugeneralize.kwa maelezo yao, hakika nasimama katika nilicho kiandika
Nilikuwa na ndoto sana ya kuishi Botswana kulingana na niliokuwa nayasikia kuhusu hiyo nchi kabla sijaja huku.. Anyway mkuu tunashukuru JF tunabadilishana mawazo kama tupo kwenye DCM za GOMZ au bajaji za Mwenge.
Hii sasa inaleta mwanga Zaidi kuhusu kifo cha Dr. Omar Ally Jumakwa kumbukumbu zangu,yalikuwa ni maonesho ya saba saba mnamo mwaka 2001 ambapo Rais Kabila alialikwa na museveni PLUS viongozi wengine. kama unakumbuka, mwaka huo ndo kipindi majeshi ya Uganda na Rwanda walikuwa vitani nchini DRC. Kuna issues nyingi za kidiplomasia zilikuwa haziendi vizuri ingawa zilikuwa hazitangazwi na Raia wa kawaida walikuwa hawawezi kujua. ili Congo iweze kuwa na Amani, Museveni hakutakiwa kuwepo kwani ndo alikuwa threat. hata hivyo, mwaka 2000 majeshi ya uganda na rwanda walishazipiga wakiwa kwenye ardhi ya DRC...na PK alinukuliwa akisema..."kwamba M7 anamdharau, then atamuonyesha kuwa siyo tena bwana mdogo". ndo mpango ulipofanyika wa kumuua M7...na wakatega sumu kwenye Mic! simkumbuki mzungumzaji aliyetangulia...but ilikuwa ni zamu ya Museveni. wakati M7 anajiandaa kutoa speech, bodyguard wake aliitoa ile mic kwa speed ya RADI na kuchomeka mic nyingine aliyokuwa nayo mfukoni. after speech, akarudishia ile ya awali. aliyefuata kutoa speech akawa DR. Omary ALLI JUMA...picha likaishia hivyo. Ila intelligencia ya tz ni ya kiboya haswa.
sijaona la maana ktk maelezo ya kifo cha huyo jamaa, zaidi ya bla blaa. Maelezo yao yana walakinihata ukichuchumaa bt wacha kugeneralize.
Una uhakika gani kama hawa wanaoandika hapa sio hao uliowataja?Wote humu mnahadithia hadithi za vijiweni.
Taarifa nyeti hata afisa wa TISS huwa hawazijui 50%.
Hapa mpk upate ubuyu toka kwa wahusika, El, JK, mkapa, kingunge, Othman,