miminawewe20017
Member
- Dec 12, 2017
- 75
- 92
kweli kabisa, hilo nimejifunza siku nyingi, huu Uzi mwanzoni kuna codes kama2 ziliniacha ila kwa kuwa ni mfuatiliaji sana wa siasa za bongo, baadae tulienda sawa,BT kuna kitu nakifuatilia Vice chair wa Chama dola bara alirudi vipi kwenye system wakati baada 2 ya boyz2men kuingia mjengoni walimsepesha bush na kuanza kusimamia mashamba?? Arirudi rudi vipi??
Ashakwambia kuna tatizo la kiufundiandika vizuri basi
Kumbe ww ni wa ujiji?? Nimekujua!!!!Mkuu huyo Mzee mnenge si ni wakwetu kigoma?
Nimeshawapata,Hii nayo kama hujui ww nenda kule celebrate ukashinde huko. Huko utawakuta wanajadiliwa kina domo na kiba na kina wema
Babu Shikamoo...Vasco da Gama Ni mtoto wa mjini anajua sana kucheza karata zake , Aziza huko alipo anaendelea na kazi zake kumbuka undercover agent of CIA usiulize maswali Mengi elewa hivo hivo , Olegwain huko Kinondoni mission yake Kama vile haipo kumbe yupo ila he is killing opposition parties via cdm slowly.
1..uchaguzi wa ndani wa ccm kuelekea 2010 ,anzia hapoNgoja waje wajuzi wa hayo mambo but nahisi alikuja baada ya boyz2men kugombana ili asaidie upande wa chama
wapinimndikayaliendakuwlta haowetuunatakakultauchinganishi?1. Oohh, unamaanisha alienda kuwaleta hao secret agents?
2. Wabongo hatujui kazi? Kazi zipi mkuu?
3. Bado siamini kwamba TZD haiwajui kabisaaa hawa secret agents
Watu kama nyinyi mnapaswa kuchemsha maharagweDr. Omar ndiyo nani [emoji17]
waziri mkuu wa OmaniDr. Omar ndiyo nani [emoji17]
Haya majangili nadhani yanajulikana kabisa, sema kila kundi linawatumia kwa maslahi yao pale wanapohitaji. Huenda hata yule ndugu tuliyenaye hapa Nairobi alipigwa shaba na hawa hawa majangiliwapinimndikayaliendakuwlta haowetuunatakakultauchinganishi?
Alikuwa Jeshi la Uganda Kama Top officer kwenye MISio tu jasusi bali ni jasusi ambaye inasemekana alikuwa trained na idara yetu wenyewe.
Kazi ilimalizwa Butiama kwenye birthdate yake nenda kaangalie au katafute amezaliwa lini , Na hiyo ndio ikawa his last birthday anniversary.Mtoa mada kwanini Mwl wakati anaenda uingereza safari yake ya mwisho kwa ajili ya matibabu watu waliokuwa karibu wanasema wakati anapanda ndege alilia na kutoka machozi kusikitika nchi yake, je alikuwa anajua hawezi kurudi akiwa hai. ?