Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma



Ngoja waje wajuzi wa hayo mambo but nahisi alikuja baada ya boyz2men kugombana ili asaidie upande wa chama
 
1. Oohh, unamaanisha alienda kuwaleta hao secret agents?
2. Wabongo hatujui kazi? Kazi zipi mkuu?
3. Bado siamini kwamba TZD haiwajui kabisaaa hawa secret agents
wapinimndikayaliendakuwlta haowetuunatakakultauchinganishi?
 
Mtoa mada kwanini Mwl wakati anaenda uingereza safari yake ya mwisho kwa ajili ya matibabu watu waliokuwa karibu wanasema wakati anapanda ndege alilia na kutoka machozi kusikitika nchi yake, je alikuwa anajua hawezi kurudi akiwa hai. ?
 
Mm nakumbuka ile ya kombe wakati huo nilikuwa mdogo sna nafkiri ilitokea moshi kma sikosei aliuliwa na POLISI wakidhani jambazi kumbe ni mkurugenzi wa usalama ili trend sna by that time nilikuwa namuuliza baba huyu kombe ni nani lkn alikuwa hanipi jibu..tunaomba mtukumbushe wahenga kwa sababu kuna mambo yanaweza kuwa yanatokea Leo hii tukareact vbya na sisi tukapotea wakati ni utamaduni wetu katika kustableliaze na kudefend uzalendo wetu
 
Mtoa mada kwanini Mwl wakati anaenda uingereza safari yake ya mwisho kwa ajili ya matibabu watu waliokuwa karibu wanasema wakati anapanda ndege alilia na kutoka machozi kusikitika nchi yake, je alikuwa anajua hawezi kurudi akiwa hai. ?
Kazi ilimalizwa Butiama kwenye birthdate yake nenda kaangalie au katafute amezaliwa lini , Na hiyo ndio ikawa his last birthday anniversary.

Kiakili alishakufa sometimes ata we mwenyewe unaweza kutabiri au kujua mwisho wako. Yeye he was forced to kick the bucket.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…