Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Haaa,haaa we mkuu nimekuheshimu sana kumbe tunabonga na wenye nchi??? Nashukuru sana bhana nimeshaungwa,, ubarikiwe
Ulifanyaje mkuu? Mpk ukaungwa nna miezii sasa tangu niombe kuunganishwa huko
 
Hao walinzi wake hawakuonja huo mvinjo kabla ya mwl kuutia kinywani au nao walikuwa kwenye huo mchakato hivyo wakaamua kuuchuna?!
 
Nadhani yeye pamoja na mmakonde wali-play part kubwa kumweka huyu Pogba.
 
Bilal alikua yupo vizuri kwenye kukata utepe huku akitoa hotuba zake maridhawa
 
Unakumbuka operation ya kujivuaa Gamba!!mzee alikuwa analima vitunguu ndo kumfuata aje aokoe jahazi
 
Mtoa mada kwanini Mwl wakati anaenda uingereza safari yake ya mwisho kwa ajili ya matibabu watu waliokuwa karibu wanasema wakati anapanda ndege alilia na kutoka machozi kusikitika nchi yake, je alikuwa anajua hawezi kurudi akiwa hai. ?
Kama umefuatilia kuanzia mwanzo mwa hii thread basi utagundua kwamba teache alipigwa 1997 akisheherekea bday yake, na aligundua siku hiyo hiyo kwamba amesha chezewa ( alikunywa...akaiangalia...akaiweka mezani) baada ya hapo hakuwa na ujanja tena, alimwita predaa, predaa kaja kalewa, kaenda kwa kadinali, kadinali hakwenda, kaenda kwa pre daa, predaa akamzingua, teacher akaliaaaaa na mara ya mwisho tukasikia Komba na nyimbo zake.

Yes in my opinion he knew the game kwa sababu yeye mwenyewe ndio aliwafundisha. ( Hii inaitwa unachonga kinyago ili kutisha watu, baadae kinyago kinakuwa shetani kamili kinakugeukia mwenyewe)

Ila DSTV..............
 
Tuambieni kuhusu Dully Sykes pia, naskia ni mtoto wa system sema tu yy kaamua kuwa mzee wa bomba, bombadia...enheeh!...bomba, bombadia...wacha!...bomba, bombadia...mama!
hahaha[emoji23][emoji28][emoji23] aisee
 
Halafu huyu Dar Archbishop,ni mtu wa kitengo kabisa.Maana anaonekana yupo kwenye system tangu na tangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…