Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Haaa,haaa we mkuu nimekuheshimu sana kumbe tunabonga na wenye nchi??? Nashukuru sana bhana nimeshaungwa,, ubarikiwe
Ulifanyaje mkuu? Mpk ukaungwa nna miezii sasa tangu niombe kuunganishwa huko
 
Kazi ilimalizwa Butiama kwenye birthdate yake nenda kaangalie au katafute amezaliwa lini , Na hiyo ndio ikawa his last birthday anniversary.

Kiakili alishakufa sometimes ata we mwenyewe unaweza kutabiri au kujua mwisho wako. Yeye he was forced to kick the bucket.
Hao walinzi wake hawakuonja huo mvinjo kabla ya mwl kuutia kinywani au nao walikuwa kwenye huo mchakato hivyo wakaamua kuuchuna?!
 
kweli kabisa, hilo nimejifunza siku nyingi, huu Uzi mwanzoni kuna codes kama2 ziliniacha ila kwa kuwa ni mfuatiliaji sana wa siasa za bongo, baadae tulienda sawa,BT kuna kitu nakifuatilia Vice chair wa Chama dola bara alirudi vipi kwenye system wakati baada 2 ya boyz2men kuingia mjengoni walimsepesha bush na kuanza kusimamia mashamba?? Arirudi rudi vipi??
Nadhani yeye pamoja na mmakonde wali-play part kubwa kumweka huyu Pogba.
 
Nje kidogo ya mada.

Hivi kwa nini hawa makamu wa rais toka zanzibar wanakuwaga maboya? Yaani hawana ile ladha ya uongozi. Kuanzia Abdul Wakili, marehemu Dr Omary Alli Juma, Dr Shein, Ghraibu Bilali mzèe wa mikasi na huyu mama samia Suluhu. Yaani sijui nieleze vp.

Uwezi kujua kama ni wapole, hotuba zao hazina ladha zimepoa yaani ccm wanatuletea watu wa ajabu kweli. Kama Bilali ndio alikuwa mzigo kabisa.

Kwenye topic ni kwamba target alikuwa Joseph kabila. Lakini kutokana na uboya wa Dr Omary alishindwa kungamua mwishowe akabadilishiwa sahani/glass na kunywa/kula sumu iliyotakiwa kumuua Kabila. Nashangaa system walishindwaje kumwepusha na huu mtego.
Bilal alikua yupo vizuri kwenye kukata utepe huku akitoa hotuba zake maridhawa
 
kweli kabisa, hilo nimejifunza siku nyingi, huu Uzi mwanzoni kuna codes kama2 ziliniacha ila kwa kuwa ni mfuatiliaji sana wa siasa za bongo, baadae tulienda sawa,BT kuna kitu nakifuatilia Vice chair wa Chama dola bara alirudi vipi kwenye system wakati baada 2 ya boyz2men kuingia mjengoni walimsepesha bush na kuanza kusimamia mashamba?? Arirudi rudi vipi??
Unakumbuka operation ya kujivuaa Gamba!!mzee alikuwa analima vitunguu ndo kumfuata aje aokoe jahazi
 
Mtoa mada kwanini Mwl wakati anaenda uingereza safari yake ya mwisho kwa ajili ya matibabu watu waliokuwa karibu wanasema wakati anapanda ndege alilia na kutoka machozi kusikitika nchi yake, je alikuwa anajua hawezi kurudi akiwa hai. ?
Kama umefuatilia kuanzia mwanzo mwa hii thread basi utagundua kwamba teache alipigwa 1997 akisheherekea bday yake, na aligundua siku hiyo hiyo kwamba amesha chezewa ( alikunywa...akaiangalia...akaiweka mezani) baada ya hapo hakuwa na ujanja tena, alimwita predaa, predaa kaja kalewa, kaenda kwa kadinali, kadinali hakwenda, kaenda kwa pre daa, predaa akamzingua, teacher akaliaaaaa na mara ya mwisho tukasikia Komba na nyimbo zake.

Yes in my opinion he knew the game kwa sababu yeye mwenyewe ndio aliwafundisha. ( Hii inaitwa unachonga kinyago ili kutisha watu, baadae kinyago kinakuwa shetani kamili kinakugeukia mwenyewe)

Ila DSTV..............
 
Tuambieni kuhusu Dully Sykes pia, naskia ni mtoto wa system sema tu yy kaamua kuwa mzee wa bomba, bombadia...enheeh!...bomba, bombadia...wacha!...bomba, bombadia...mama!
hahaha[emoji23][emoji28][emoji23] aisee
 
Kakobe yeye anaweza akatapika mpaka nyongo ila kamwe atakua anatwanga maji kwenye kinu . Hivi mnakumbuka ule waraka wa kakobe aliomuandikia Khalfani Kipindi kile akidai umetoka kwa Mungu ? Tatizo mnasahau labda changamoto za kimaisha !

Siku atakapotoa neno mwanakitengo a.k.a Dar archbishop hapo ndipo nitajua tunaelekea ukombozi kupitia pia viongozi wa dini Ila kwasasa there is nothing going on. Take it from me bila katiba mpya ccm itatawala milele
Halafu huyu Dar Archbishop,ni mtu wa kitengo kabisa.Maana anaonekana yupo kwenye system tangu na tangu
 
Back
Top Bottom