Nyaluhusa87
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 1,303
- 262
Mwongo
Muhongo a.k.a Mzee wa dataMwongo kiaje?
alikuwa nani na kwann mwanae dully sio mwanasiasa...alifanikisha nn ccm nk?Abdulwahid sykes (1924-1968)
alikuwa nani na kwann mwanae dully sio mwanasiasa...alifanikisha nn ccm nk?
unamaswalimenginamajibuyapohumuhumuanziapageyakwanzaDuuh hatari
1. Una maana sultan hayupo upande wetu?
2. Au wana nguvu kuliko sultan?
3. Au sultan hana taarifa?
Ngachoka mimi
Maongezi ya watu wazima hayakuhusuDr. Omar ndiyo nani [emoji17]
Mapinduziiiiiii daimaaaaLaurent Kabila aliendesha Mapambano ya kumtoa Mobutu akitokea Mikocheni
Rajab Hussein na Pierre Nkurunzinza walikuwa wakiendesha Mapambano ya kuwatoa kina Pierre Buyoya kutokea Buguruni kwa Mzee wa Kibwali Mzee Mnenge
Yoweri Kaguta Museven kaongoza Vurugu Uganda akiwa Dar
Edward Mondlane kaongoza Vurugu za Msumbiji akitokea Dar
Paul Kagame kaongoza Vurugu Rwanda akitokea Uganda
Hata Prof Wamba alikuwa akiongoza Vita akiwa Dar!
Kuuliza siyo uzembe mkuu. Hizi nondo nzito sana. Nipe majibu mkuuunamaswalimenginamajibuyapohumuhumuanziapageyakwanza
achauzembekabisa
tumia crane kubebeaKuuliza siyo uzembe mkuu. Hizi nondo nzito sana. Nipe majibu mkuu
Kwahiyo Fiss is equal to fisiem? I think they're supposed to be neutralMrema kuwa upinzani kipindi kile japo hadi sasa ni TLP zile ni mbinu tu undercover was ccm coz by professional huyu ni mtu wa TISS the first appointment ya kazi yke ya ushushushu ilikuwa kahama shinynga
Silaha za kina nani?Hii ishu ya Dr Ally Juma tetesi ni kwamba huyu mzee aliruhusu kupta silaha haramu wakat huo Ben akiwa nje ya nchi vijana wa ikulu wakamtobozea mzee akiwa nje na kumwamuru akute barua ya kujiuzuru nfs yke ya VP ndopo akapta depression na kurudisha kadi kwa Mungu
Hzo silaha alizoruhusu zipite zilikuwa zina athari gani kwa nchi maana naimani zilisindikizwa hadi zinakokwendaDkt Omar kafariki Mkapa akiwa hapa Nchini na ndie aliutangazia Umma kupitia Radio Tanzania Alfajir ya Siku hiyo hiyo!
Kumbuka kuagiza gari tu mpaka kulitoa Bandarini ni Mchakato wa zaid ya Mwezi Mmoja Sasa huo Mchakato wa Kupitisha Silaha ulikuwa na haraka kiasi gani kiasi cha mambo yote kufanyika Amiri Jeshi akiwa nje ya Nchi na bila ya kufahamishwa?
Mwisho kwa kukusaidia Rais akiwa hayupo Nchini huwa kisheria anakaimisha Madaraka yake yote kwa Makamu wa Rais lakin Yale majukumu yake yake yenye nature ya Uamiri Jeshi huwa hayakaimishwi Mf. Kutangaza Vita, kutangaza hali ya hatare na mfano wa hayo!
DSTV ni kule wanakotoka wale Jamaa wenye Nissan Patrol ya Black iliyokuwa Inampigia honi amateur aliyemtolea bastola NapePia kama hujui siasa Uzi huu utatoka patupu,Humu kumejaa nahau sijapata kuiona.Kiukweli mpk Sasa sijaelewa maana ya neno "DSTV"...
... umetutoka , bila kusema, haya kwa herini watanzania....!Omariii alii jumaaa(RIP) umemwacha mkapa na naniii Jana tulikuwa nawe baba!!!
Mashairi ya marehemu Captain John Komba
Yule makamu nilikuwa nampenda sana
Kwanza alikuwa anawananga wanaimani wenzake wapeleke watoto shule wapate ilimu dunia waache kulialia. Enzi zile ngangari na ngunguli heheheheh.
Daaah R.I.P baba
Denjaman Mkaahapapamoja na ujuaji wangu wote hadi Uzi unafika hapa sijamjua Mmakua ni nani ambaye boys2men walimtoa kwa kO
Antidoteduh nimechek hiyo clip, inakuaje sasa aliye shuka hiyo sumu asidhurike ndani ya muda mfupi kama aliyepakwa?