Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Mie nakumbuka kuna uvumi ulikuja faster baada ya kifo chake hata kbala hajazikwa kuwa mzee alikuwa na malori yake yalipata ajari so baada ya taarifa pressure ikampanda akapoteza uhai
Malori yana bima kubwa sahau hyo
 
Hao walinzi wake hawakuonja huo mvinjo kabla ya mwl kuutia kinywani au nao walikuwa kwenye huo mchakato hivyo wakaamua kuuchuna?!
Umewahi kuhudhuria sherehe zozote mkuu ? Watu wanakula pamoja ila sahani au vikombe ndio utofautiana Ili kutambua ya muhusika basi nayeye baba tanganyika wine yako ilitoka Dar is slum ikiwa hot contaminated basi ndio hivo jamaa walimuagiwa hapo Chang'ombe road na kuzikwa mwintongo. Maisha yanaendelea
 
Duuuh naombea wakutane huko kwa Mungu halafu malaika wavujishe siri hii
 
Yule mmasai alizonguana nn na mzanaki?
 
Hv ni Nani alimpeleka jkt wakati alikuwa akijulikana ?
 
Kuna mwalimu wangu mmoja wa sociology alinifubdisha kuwa moja ya sifa kubwa ya jamii masikini ni kutokukubali kuwa kuna natural death kwa binadamu. Kila kifo kina mtu nyuma yake.
Ni kweli kaka yangu john, kuna natural death...je vip kuhusu karume kule zanzibar nae n natural death????ukinijibu hili basi turud kwenye mada yetu...
Pia hongera sana kwa kushika nafasi ya pili kweny kinyanga'nyiro cha ubunge pale songea..nataman dk ndumbaro akimaliza uongozi akukabidhi kijiti....
N.B truth is an espionage in the empire of lies.
 
So Bily we conclude kua Dr.Mifugo alikua innocent. Alipigwa pasipo kua na hatia yake bali matendo mema yake ambayo maybe yangempa uongozi wake.Kwa nchi yake?
 
Yule mmasai alizonguana nn na mzanaki?
Mkuu majibu yote yapo humu ukiona code za boyz 2 men + persian + ba kinje hiyo ilikuwa timu ya kusaka kiti kpindi hicho wazee wa kitengo walimpitishia teacher jina la Mr Clean akaambiwa huyo ni msafi kweli. Kwahio tatizo ilikuwa Urais ila kwa ushauri rudia kusoma kusoma episodes zote
 
So Bily we conclude kua Dr.Mifugo alikua innocent. Alipigwa pasipo kua na hatia yake bali matendo mema yake ambayo maybe yangempa uongozi wake.Kwa nchi yake?
Swadakta kabisa Mkuu pamoja na kuwa aliwahishwa through poison ila ilikuwa lazima aondoke kwa njia yoyote ile .

Dr alikuwa kiongozi mzuri ila akudumu nyota iliozimwa mapema mno.
 
aise hapa ndio napoona utofauti was jf na fb,IG vitu kama hivi kizazi cha .com tunasoma kama tunasoma story za nchi za wenzetu uko vitu tungeweza kuvipata kwa wazee wetu tatizo kukaa nao kupiga stori tunaona tunapoteza mda

hii nchi inawezekana inawenyewe ukijidai kuweka kauzibe kunapotea ni sekunde tu ndio maana kuna watu wanapata flasilesheni haiwezekani watu watengeneze njia wamemwaga mpaka damu kukifata kiti alafu wewe ambae hukushughuriki na chochote unakuja unasukumiziwa kirahisi rahisi tu dodo kwenye mnazi hii kitu noma lazima uombe uombewe
 
Mnatuchanganya mara [emoji441] mara chakula cha sumu
 
Hii pia uenda ni karma ilikua inafanya kazi yake maana katika espionage ukishatekeleza lengo basi utambue wewe ndie unaondolewa kupoteza ushahidi.
Hv Kolimba nae alikuwa shushushu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…