Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Mie nakumbuka kuna uvumi ulikuja faster baada ya kifo chake hata kbala hajazikwa kuwa mzee alikuwa na malori yake yalipata ajari so baada ya taarifa pressure ikampanda akapoteza uhai
Malori yana bima kubwa sahau hyo
 
Hao walinzi wake hawakuonja huo mvinjo kabla ya mwl kuutia kinywani au nao walikuwa kwenye huo mchakato hivyo wakaamua kuuchuna?!
Umewahi kuhudhuria sherehe zozote mkuu ? Watu wanakula pamoja ila sahani au vikombe ndio utofautiana Ili kutambua ya muhusika basi nayeye baba tanganyika wine yako ilitoka Dar is slum ikiwa hot contaminated basi ndio hivo jamaa walimuagiwa hapo Chang'ombe road na kuzikwa mwintongo. Maisha yanaendelea
 
Unapoambiwa karma ufanya revenge kwa mda wake na kamwe aliepukiki unatakiwa ukubali . Ni huyo huyo General Imran Kombe Spy Chief by then ndie alieandaa mazingira kama si njia ya kumuondoa yule mmasai kipenzi cha watu.

Malipo yote ni hapa hapa duniani huko ahera ni mengine.
Duuuh naombea wakutane huko kwa Mungu halafu malaika wavujishe siri hii
 
Unapoambiwa karma ufanya revenge kwa mda wake na kamwe aliepukiki unatakiwa ukubali . Ni huyo huyo General Imran Kombe Spy Chief by then ndie alieandaa mazingira kama si njia ya kumuondoa yule mmasai kipenzi cha watu.

Malipo yote ni hapa hapa duniani huko ahera ni mengine.
Yule mmasai alizonguana nn na mzanaki?
 
Joseph kasoma Sekondari Tanzania na hata Mafunzo ya JKT kayapatia hapa hapa Tanzania akisomeka Kama kijana wa Kitanzania lakin Leo ndio Rais wa Congo, hata Nkurunzinza Mama yake Mzazi Makazi yake ya Kudumu yapo Kigoma!

Joseph mpaka anakuwa Rais wa Congo alikuwa anakijua vyema sana Kiswahili cha Dar Es salam lakin Lugha ya kwao (Kilingala) alikuwa hakijui kwa kuwa Maisha yake yote alikuwa huku Tanzania, Kama Leo Hii anaongea Lingala itakuwa kajifunza akiwa Rais
Hv ni Nani alimpeleka jkt wakati alikuwa akijulikana ?
 
Kuna mwalimu wangu mmoja wa sociology alinifubdisha kuwa moja ya sifa kubwa ya jamii masikini ni kutokukubali kuwa kuna natural death kwa binadamu. Kila kifo kina mtu nyuma yake.
Ni kweli kaka yangu john, kuna natural death...je vip kuhusu karume kule zanzibar nae n natural death????ukinijibu hili basi turud kwenye mada yetu...
Pia hongera sana kwa kushika nafasi ya pili kweny kinyanga'nyiro cha ubunge pale songea..nataman dk ndumbaro akimaliza uongozi akukabidhi kijiti....
N.B truth is an espionage in the empire of lies.
 
So Bily we conclude kua Dr.Mifugo alikua innocent. Alipigwa pasipo kua na hatia yake bali matendo mema yake ambayo maybe yangempa uongozi wake.Kwa nchi yake?
 
Yule mmasai alizonguana nn na mzanaki?
Mkuu majibu yote yapo humu ukiona code za boyz 2 men + persian + ba kinje hiyo ilikuwa timu ya kusaka kiti kpindi hicho wazee wa kitengo walimpitishia teacher jina la Mr Clean akaambiwa huyo ni msafi kweli. Kwahio tatizo ilikuwa Urais ila kwa ushauri rudia kusoma kusoma episodes zote
 
So Bily we conclude kua Dr.Mifugo alikua innocent. Alipigwa pasipo kua na hatia yake bali matendo mema yake ambayo maybe yangempa uongozi wake.Kwa nchi yake?
Swadakta kabisa Mkuu pamoja na kuwa aliwahishwa through poison ila ilikuwa lazima aondoke kwa njia yoyote ile .

Dr alikuwa kiongozi mzuri ila akudumu nyota iliozimwa mapema mno.
 
aise hapa ndio napoona utofauti was jf na fb,IG vitu kama hivi kizazi cha .com tunasoma kama tunasoma story za nchi za wenzetu uko vitu tungeweza kuvipata kwa wazee wetu tatizo kukaa nao kupiga stori tunaona tunapoteza mda

hii nchi inawezekana inawenyewe ukijidai kuweka kauzibe kunapotea ni sekunde tu ndio maana kuna watu wanapata flasilesheni haiwezekani watu watengeneze njia wamemwaga mpaka damu kukifata kiti alafu wewe ambae hukushughuriki na chochote unakuja unasukumiziwa kirahisi rahisi tu dodo kwenye mnazi hii kitu noma lazima uombe uombewe
 
kwa kumbukumbu zangu,yalikuwa ni maonesho ya saba saba mnamo mwaka 2001 ambapo Rais Kabila alialikwa na museveni PLUS viongozi wengine. kama unakumbuka, mwaka huo ndo kipindi majeshi ya Uganda na Rwanda walikuwa vitani nchini DRC. Kuna issues nyingi za kidiplomasia zilikuwa haziendi vizuri ingawa zilikuwa hazitangazwi na Raia wa kawaida walikuwa hawawezi kujua. ili Congo iweze kuwa na Amani, Museveni hakutakiwa kuwepo kwani ndo alikuwa threat. hata hivyo, mwaka 2000 majeshi ya uganda na rwanda walishazipiga wakiwa kwenye ardhi ya DRC...na PK alinukuliwa akisema..."kwamba M7 anamdharau, then atamuonyesha kuwa siyo tena bwana mdogo". ndo mpango ulipofanyika wa kumuua M7...na wakatega sumu kwenye Mic! simkumbuki mzungumzaji aliyetangulia...but ilikuwa ni zamu ya Museveni. wakati M7 anajiandaa kutoa speech, bodyguard wake aliitoa ile mic kwa speed ya RADI na kuchomeka mic nyingine aliyokuwa nayo mfukoni. after speech, akarudishia ile ya awali. aliyefuata kutoa speech akawa DR. Omary ALLI JUMA...picha likaishia hivyo. Ila intelligencia ya tz ni ya kiboya haswa.
Mnatuchanganya mara [emoji441] mara chakula cha sumu
 
Hii pia uenda ni karma ilikua inafanya kazi yake maana katika espionage ukishatekeleza lengo basi utambue wewe ndie unaondolewa kupoteza ushahidi.
Hv Kolimba nae alikuwa shushushu?
 
Back
Top Bottom