Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Nilikuwa na ndoto sana ya kuishi Botswana kulingana na niliokuwa nayasikia kuhusu hiyo nchi kabla sijaja huku.. Anyway mkuu tunashukuru JF tunabadilishana mawazo kama tupo kwenye DCM za GOMZ au bajaji za Mwenge.
sorry mkuu, nimechelewa kuona comment hii...maisha botswana ni mazuri but wako strict kidogo na migrants. Ila kwa mtazamo wangu, NAMIBIA is best. nimekaa hapa miaka mingi kidogo but sijawahi kusumbuliwa hata kidogo. hata neighbour wanafikiri mimi mwenzao. Nisingekuwa na Ndugu Bongo...sizani kama ningerudi.
 
Mwalimus personal bodyguard baada ya 1999( death) alipanda kuwa Capt. Akapewa special task force kupambana na wasomali waliovamia ngorongoro na kumuua ocd kongoa.
There after akaenda mafunzo. Kurudi el kawa pm. Akakabidhiwa.baada ya 2015 amestaafu.
Mwenziye Julie yupo kwa jpm
 
Unamzungumzia phantom alie kuwa shinyanga au meibalabu alie ..
 

Mkuu samahani kama utapata nafasi naomba utupe na hii,

Ninani aliye ratibu ujio wa yule mchungaji maarufu wa Nigeria mara baada ya uchaguzi mkuu?

Lengo la mkumleta lilikuwa nini? Na kwanini alikuja mara baada ya uchaguzi na siyo kabla ya uchaguzi? na je malengo ya ile dhifa yalifanikiwa?!

Asante mkuu
 
Vinalilia ooh dstv hafu na nyie mapimb wengne msfche sana hzo code kujitia majasus saana nyuz znasomwa na kupelelezwa .... Ooh trust me new I'd.s are many hafu kama unaongea we ongea no one can shut you up .... Just speak kosoa sema ropoka sio kuweka weka macode ...... @stranded vangum haya ..... Nmemalza
 
Baada ya boyz 2 men kuhitilafiana kufuatia Richmond scandal, 2008, chama kiliyumba na kuzalisha makundi kadhaa. Ndipo wazee wa chama wakamshauri mwenye kigoda amrejeshe mkulima ili aweke mambo sawa. Hata hivyo nguvu ya mkulima haikuwa kubwa kama enzi za "malofa" kwani makundi yalishafika mbali sana. Hata hivyo kwa kushirikiana na Kinana walirekebisha kiaina.
 
Nzi mpo kazini
Wewe Unajifanya hujui watu wasoojulikana
Mkuu mimi hao wasiojulikana na wasikia humu humu kama wengine lakini wengine inaonekana wanawajua mpaka kwa sura, kama vile wewe na dereva wa TL mnaweza kutuambia kwa uzuri kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…