Alipigwa nyumbani kwake moshi mbele ya mkewe, na polisiMkuu..embu funguka..huyo mkuu wa usalama aliepigwa risasi..ilikuaje?
Ha ha haaa,umeenda mbali sana mkuu.Hahaaa, unanijaza kingi naona.
Mungu wenu muweza yote, mwenye upendo wote na ujuzi wote angekuwepo kifo kisingewezekana kuwepo.Ha ha haaa,umeenda mbali sana mkuu.
Ugomvi wetu upo kule mkuu,hapa tutaharibu uzi wa jamaa.
Ila sikuachi hivi hivi......kalale na hii ila tanua akili kidogo.
"Kama kweli haya yasemwayo humu ni "Hakika" basi ndiyo sababu Mungu muumbaji ameweka siku maalum ya "HUKUMU",kila mtu alipwe kwa alichokifanya duniani.....kule unasikia watu wanasema "fulani kafa bwana,kauawa na watu fulani", Hivi kwa akili ya kawaida ya kuvukia barabara tu, kwa thamani aliyonayo binadamu hili tukio la mtu kufa kwa kuuawa bila hatia hivi unadhani ndo "limekwisha",ndiyo basi?hakuna muendelezo wowote kwa tukio hili?hakuna aliyemuumba huyu?......toa hicho kibanzi kwanza mkuu then utaelewa.
Katika dunia ya ujasusi hakuna kitu hatari kama "royality"..... Kama walikuwa vile na wakaweza kufanya yale haishindikani kwa walivyo na walipofika ishu ni je... Kuna ulazima wa " KUACTIVATE TU THEIR CELLS ".... Wakitakata kinanuka... Maana ile dunia unajua kabisa nitendayo Kuna mwenzangu atendaye nitendavyo ama zaidi yangu... Hivi unafikiri mpaka mzee wa takwimu kutembea na kuongeza ulinzi vile mpaka mabakamabaka hajui hilo!!?? Anajua kabisa kamlango ka EXIT kapo jiraniSidhani kama hii kitu ipo viable kwa sasa. Kwa jinsi hali ya mambo ilivyo kwa sasa, hawezi thubutu kufanya hivyo. Kwa maana anajua fika consequences za kufanya hivyo.
Tupeni nondo sasa mkuu, kumbe mnajua halafu mnaokopa kusema wakati mengi humu yamesemwa bila uoga, sasa sijui mnaokopa nini mkuu?Kumbe unajua, Je uko sahihi? Jibu ni hapana.
Ukisema alijua mmasai angeapishwa wakati Tume imemtangaza Pogba unakuwa unakosea. Swali alikuja kufanya nini?
Mweka hazina wa kanisaDr. Omar ndiyo nani [emoji17]
He he.. Bwenga ni part and parcel ya Mukhabarat sio....,you kill it chief.Bwenga ni part and parcel ya Mukhabarat ndio maana kila kitu kinafungwa lakini hili dude liko live 24/7. Kwa lingo yetu yeye anakuwa agent provacateur for obvious reasons. Kitu kingine nataka nikuhakikishie, Mukhabarat hawana tatizo na hili dude, as a matter of fact wana bots zao just incase likienda chini kwa sababu this is part of their play na pia ni nzuri kwa open intelligence. Jiulize iweke mitusi yoote hii mnayovurumisha humu 24 hili dude halijafungwa?
Suala lingine, kutokana na unyeti wa kazi zenyewe wao kushughulika na hili dude is beneath them kwa sababu kinachotishia usalama wa nchi humu. Hata C wote walipokuwa wanapigwa presha kuhusu hili dude wao walisema they have a bigger fish to fry.
HIvuo endeleeni kukamua tuu
Nani akamatwe ? Asee ni vema ungepita kiaina. Tukiwa tunaelekea Stockholm via Amsterdam na KLM jamaa moja kutoka MOFA akanambia inabidi tusitishe rout turudi kijijini mapema mambo yamebadilika na kuna pipa imeshabukiwa tutaipanda Frankfurt siku km kukamatwa ndo tungekamatwa siyo hapa . Just get your life unalala na kupumua kwa sababu tunaandika hayo maneno hapa. Nchi ina mengi mkuu jaribu kutulia ujifunze mengi.Wewe unatakiwa ukamatwe
Majibu yapo humu bt to cut story short Slim thugh vs Desire = m7 ambae alikua upande wa Desire so applying Elcadron de la mort of slim thugh wakata wampeleke wasiko rudi m7 kabla ya suti za jirani na mto ngono kustuka na hatimae dokta kuondoka . Bt ilipangwa lazima aondoke kwa kila njia.Kwann m7 alitakiwa kufa?
Bila hivo mkuu mambo mengine yanakuwa tofauti na uenda yakawa historia siyo kwa nchi bali kwa familia yako kwamba kabla ya mtu alikuepo mtu na baada ya mtu atakuepo mtu . Naamini uminielewaUzi unatembea kwa code mwanzo mwisho,inabidi uwe na ubongo wenye uwezo wa Ku encrypt CODE
Vijana wa Mark Zuk wanakera kweli wanajifanya wanajua sana kumbe hamna kitu msomi mzuri na ambae amebobea kwenye fani ni lazima asikilize zaidi na si muongeaji so am still maintain my status quo.ungemwambia aende GOOGLE
nishachoka na hii generationa ya INSTAGRAM
Ukiwa mtulivu utagain mengi sanaHizi nondo humu mmh
Sasa hapa ni kuwa uamini au unataka nini ? Jitahidini kuwa flexible mtajifunza mengi na uenda mkajifunza mengi sana huyo jamaa wa nguvu nyingi kuliko akili suala lake lilivotengenezwa within a time when Mugwahi survived attempt of assassination alipotoka hapo Njiapanda uliambiwa ? Nchi inaendelea ni mwendo make a story to erase development story.Mmh! Realy?
Nakusoma kwa makini Mkuu, keep going..Sasa hapa ni kuwa uamini au unataka nini ? Jitahidini kuwa flexible mtajifunza mengi na uenda mkajifunza mengi sana huyo jamaa wa nguvu nyingi kuliko akili suala lake lilivotengenezwa within a time when Mugwahi survived attempt of assassination alipotoka hapo Njiapanda uliambiwa ? Nchi inaendelea ni mwendo make a story to erase development story.
Usitusubirishe sana mkuuMkuu hizi nyuzi zipo nyingi ila zikifunguliwa zinaondeshwa km flying UFO nitakuja na nyingine ni kwanini vijana waende anjuanian ilikuwa ni ridhaa ya nani na faida ni ipi ? Maana envoy wao inasemekana alileta mzigo mkubwa lkn ndo hivo clan de staff akayapiga mwishowe akapewa na zawadi ya kuwa envoy huko opium war.
Chato boy kazi anayo kwa kweliMkwere bado anamshep boy wa chato so game bado mbichi
Mdini hahahaha boys2 men wahuni sana dahIla mzee wa OAU hana hamu na boyz2men. Baada ya ile 2005 alipoteza apetite kabisa na siasa za Bongo.
Maana walimchafua akachafuka haswa.
We jamaa uko vyema sana aiseeKatika dunia ya ujasusi hakuna kitu hatari kama "royality"..... Kama walikuwa vile na wakaweza kufanya yale haishindikani kwa walivyo na walipofika ishu ni je... Kuna ulazima wa " KUACTIVATE TU THEIR CELLS ".... Wakitakata kinanuka... Maana ile dunia unajua kabisa nitendayo Kuna mwenzangu atendaye nitendavyo ama zaidi yangu... Hivi unafikiri mpaka mzee wa takwimu kutembea na kuongeza ulinzi vile mpaka mabakamabaka hajui hilo!!?? Anajua kabisa kamlango ka EXIT kapo jirani