Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Mkuu malizia hao hapo mwishoni
 
Yule mmasai alizonguana nn na mzanaki?
Mchonga hakuhusika ila ataarifiwa baadae mchezo mzima ulichezwa na ex pm mmoja aliyehudumu mara mbili coz walikuwa na bifu nae.Kwenye ile kamata kamata ya wahujumu Mmasai alikuwa hajali huyu ni nani so alituma vijana wake wakampekue ingawa Mfaume aliwazuia. So group la wafaidika na ubadhirifu, uhujumu na uzembe liliungana.Mfunika kikombe ingawa hakuwa muhujumu naye alihusika tatizo kwake lilikuwa upm
 
Huyu X pm hata akiwa anahojiwa juu ya sakata la uhujumu bado huonekana hakumpenda mmasai sijui walikoseana nini..,
X from milima ya upare kama sio ugweno.

Sent from my TECNO WX4 using JamiiForums mobile app
 
Huyu X pm hata akiwa anahojiwa juu ya sakata la uhujumu bado huonekana hakumpenda mmasai sijui walikoseana nini..,
X from milima ya upare kama sio ugweno.

Sent from my TECNO WX4 using JamiiForums mobile app
Unajua Mchonga alikuwa anawakubali sana wote wawili sasa mmoja alikuwa anapiga kazi hadi anapitiliza Mchonga alifikiri Mmasai atamfunika. Sasa Mpare hapo anajawa na wivu kumbuka 1985 was loading.
 
Nadhani anazungumziwa baba yake hanspope Sr.
Nope, baba makofia aliuliwa siku nyingi na Idd Amin (1972).Ni yeye mwenyewe Zakaria na wenzake walitaka kumpindua JKN. Walihukumiwa kifungo cha maisha bt Mwinyi aliwasamehe 1995
 
1 km haiko sawa iv
 
Nmesoma thread yote, ila kuna kitu kipya nmekiona naomba mwenye uelewa anisaidie au atusaidie tusiojua.
Kwanini boss mkubwa wa miaka 10 aliepita Msanii Mwanauchumi msomi anaitwa KHALFAN?[/QUOTE Baba yake aliitwa Mrisho Halfan Kikwete
 
Unadhani kuua ndio kutatua tatizo?
 
Habari ndio hiyo na walikua wanatuma ujumbe kwa muhusika kwamba tumekuchoka ..unadhan kwann Pogba hawapendi wachaga??

Amezi distribute zile gari kwa kila KJ nchi nzima.. jiulize kuna vikosi vingapi!
Hapo kwa pogba na wachaga ungeenda deep kidogo mkuu
 
Ndio hapo wanapo sema ukijaribu bomoa muungano utakufa wewe
 
Anaitwa Imran Kombe, alipigwa Risasi 14 kifuani na Askari wa Jeshi la Polisi kwa Madai ya kufafanisha gari aliyokuwemo na iliyoibiwa!
Sina Immunity ya kutoshughulikiwa ndio sababu sitofunguka zaid Mkuu
Alipigwa risasi kule mkoa wa kaskazin

Nilikua primary na tukio halikua mbal na shule

Wale jamaa walifungwa akaanza kufa mmoja mmoja
Walikua 6
Sijui wameisha au lah



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…