Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !
Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
inaniuma sana huyu mzee alinipa tuzo flani enzi nasomaAlikuwa kalazwa Memorial Hospital nini? Naona wanakwepa hizi habari kabisa.
inaniuma sana huyu mzee alinipa tuzo flani enzi nasoma
Karume alikufa siju ya Ijumaa Kuu-April, wakati dakari alikufa wakati wa sherehe za sababasa-July. Kuna tofauti ya karibu miezi mitatu katika mwaka mmoja.Mkuu ilikuwa tar 07/4/?? Hii tarehe huwa ina nini? Karume plus kanumba the same date but miaka tofauti
Hajasoma huko .Kasoma Mbeya shule inaitwa Irambo secondary schoolJoseph Kabila kasoma Forodhani Sekondari
HiHajasoma huko .Kasoma Mbeya shule inaitwa Irambo secondary school
kila mmoja anaogopa kujitoa mhangaHizi stori zinazokuja roborobo ni majanga tu si mlete uzi mzima!!
Ukisoma kuanzia mwanzo unaweza kupata connection nzuri ya hii storykila mmoja anaogopa kujitoa mhanga
Namba 7 ni namba ya ya kipeekeeMkuu ilikuwa tar 07/4/?? Hii tarehe huwa ina nini? Karume plus kanumba the same date but miaka tofauti
Elezea vizuri mkuu,waasi walikuwa wa nchi gani?Mimi niliwahi sikia kuwa, yeye dk na balabuu, walikuwa wanawauzia mafuta waasi.
Sasa zile tanki zilivyokuwa zinaenda! zikienda tanki (gari) tano, mbili zinakuwa zimebeba silaha!!
Walikuwa wanaingiza silaha kwenye tanki!! gari ikipita nyie mnajua imebeba mafuta, kumbe ndani kuna silaha!!
Mpango ulipobuma, ndio mzee akafa kwa huo ungonjwa uliosemwa!!
Congo DRCElezea vizuri mkuu,waasi walikuwa wa nchi gani?
Taarifa mbona nyepesi sana?View attachment 1699757
....mmmm, Mkuu twende pole pole na hizi ' Conspirators Ideas' zetu!Mkuu bado ujanishawishi inshu ya BABU SEYA naona Hamna mausiano na KIKWETE ila siasa tu imeingizwa .labda nikuhulize swali hivi inshu ya SEYA haina mahusiano na siasa za Kongo kwa kabila maana baada ya BABU SEYA kutoka jera baada ya week kama tatu nne hivi tukapata msiba huko Kongo wanajeshi wetu 12 wameuwawa na wengine kama 40 majeruwi uwoni kama kuna kitu nyuma ya panzia