Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Na BWM ameondoka Muda ule ule wa 6 Usiku .. jijini Dar es salaam.

2020
 
Mkuu ilikuwa tar 07/4/?? Hii tarehe huwa ina nini? Karume plus kanumba the same date but miaka tofauti
Karume alikufa siju ya Ijumaa Kuu-April, wakati dakari alikufa wakati wa sherehe za sababasa-July. Kuna tofauti ya karibu miezi mitatu katika mwaka mmoja.
 
Mimi niliwahi sikia kuwa, yeye dk na balabuu, walikuwa wanawauzia mafuta waasi.

Sasa zile tanki zilivyokuwa zinaenda! zikienda tanki (gari) tano, mbili zinakuwa zimebeba silaha!!

Walikuwa wanaingiza silaha kwenye tanki!! gari ikipita nyie mnajua imebeba mafuta, kumbe ndani kuna silaha!!

Mpango ulipobuma, ndio mzee akafa kwa huo ungonjwa uliosemwa!!
 
Elezea vizuri mkuu,waasi walikuwa wa nchi gani?
 
....mmmm, Mkuu twende pole pole na hizi ' Conspirators Ideas' zetu!
Kuachiwa huru kwa Babu Sega na wanawe kunahusika vipi na kuuawa wa Makamanda wetu 40 huko DRC????[emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…