Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Mambo yaliyo tokea kwa Marehemu hakika ni vigumu sana kuja kufutika kwa haraka katika fikra na kumbukumbu za former sponsor's personal doctor ilikua siku mbaya saana hali ilipoanza kubadilika najua hawezi kusema chochote Ila ipo siku atawasimulia wajukuu zake safari za kutoka Ferry mpka kwa Emilio ilionekana kama ni safari ya kwenda Dar to Mwanza tena kupitia Sekenke ya enzi hizo kwanza mabishano na vikao vya hapa na pale juu ya nini kifanyike ilikua siku mbaya sana kwa mtaalamu huyu najua mpaka sasa ingawaje yupo leave but hayupo vizuri vijana wa St Peters ni wabishi sana Ila walijitoa maisha yao kumuokoa Sponsor .

Pole sana Mama Janeth na familia kwa ujumla .
[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Haaaaaah. Eti maiti zina sonyana tuu huko kwa soil. Kumbe kigogo 2014 yupo pia JF.
Asante ¤
 
Anhaa kwa hiyo tuseme Mr clean aliamua kulipa kisas kwa kutokubal boys2men waongoze tena maana ambaye angefuata hapo ni lowassa na inaonkna Mr clean alikua na hasira na mkwere so itakua walivurugana kwenye kamat sasa mkuu hebu tufikirie jee boys2men hawana mpango wa kusimamisha mgombea mwingne 2025 au ndo sizonje kapewa kazi ya kulitokomeza hili kundi?
"Jee boys2 boys2men hawana mpango wa kusimamisha mgombea mwingne 2025 au ndo sizonje kapewa kazi ya kulitokomeza hili kundi?" RESPECT BABA SWALEHE, swali lako ni fikirishi ususani nyakati hizi
 
EMBU MFOLLOW VERONICA FRANCE KWA FB



ANA DATA ZOTE HADI ZA 200 BC
Huyu dada anapiga nyundo za kichwa hatari. Niliweka Uzi humu kuuliza yeye ni nani Mods wakapita nao dakika sifuli.

Haya Mambo haya unaweza ukadhani ikulu nzima imetegeshwa vifaa vya kuvujisha taarifa ndo maana mzee JIWE akawa anajenga nyingine.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Huyu dada anapiga nyundo za kichwa hatari. Niliweka Uzi humu kuuliza yeye ni nani Mods wakapita nao dakika sifuli.

Haya Mambo haya unaweza ukadhani ikulu nzima imetegeshwa vifaa vya kuvujisha taarifa ndo maana mzee JIWE akawa anajenga nyingine.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Kabisa
 
Huyu dada anapiga nyundo za kichwa hatari. Niliweka Uzi humu kuuliza yeye ni nani Mods wakapita nao dakika sifuli.

Haya Mambo haya unaweza ukadhani ikulu nzima imetegeshwa vifaa vya kuvujisha taarifa ndo maana mzee JIWE akawa anajenga nyingine.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Balaaaaaaaaa
 
2021 Naona Kampeni za 2025 zishaanza ukiwa na bahati mbaya kama ni matope lazima yakurukie tu (iwe kweli au sio kweli)..., Anyway that's Politics
 
Huyu dada anapiga nyundo za kichwa hatari. Niliweka Uzi humu kuuliza yeye ni nani Mods wakapita nao dakika sifuli.

Haya Mambo haya unaweza ukadhani ikulu nzima imetegeshwa vifaa vya kuvujisha taarifa ndo maana mzee JIWE akawa anajenga nyingine.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
poor Jiwe!!!!
 
Back
Top Bottom