Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
ntarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilaini tenaJesuits huwa hawashindwi kitu hata kiwe kigumu kiasi gani, sasa wewe Jesuit Master tena halafu unashindwa kweli tena kilaini kabisa!
Code si zamchezohata wewe JESUIT MASTER umeshindwa ku-crack codes na kumjua huyo mwana-dada?
Ila yeye ni JESUIT MASTER hivyo codes kwake ni uwanja wa nyumbaniCode si zamchezo
Ukishakuwa JESUIT codes ni kitu kidogo sana kwakoKilaini tena
Hizi code nyoko aiseMambo yaliyo tokea kwa Marehemu hakika ni vigumu sana kuja kufutika kwa haraka katika fikra na kumbukumbu za former sponsor's personal doctor ilikua siku mbaya saana hali ilipoanza kubadilika najua hawezi kusema chochote Ila ipo siku atawasimulia wajukuu zake safari za kutoka Ferry mpka kwa Emilio ilionekana kama ni safari ya kwenda Dar to Mwanza tena kupitia Sekenke ya enzi hizo kwanza mabishano na vikao vya hapa na pale juu ya nini kifanyike ilikua siku mbaya sana kwa mtaalamu huyu najua mpaka sasa ingawaje yupo leave but hayupo vizuri vijana wa St Peters ni wabishi sana Ila walijitoa maisha yao kumuokoa Sponsor .
Pole sana Mama Janeth na familia kwa ujumla .
Hizo code kweli sio mchezoUkishakuwa JESUIT codes ni kitu kidogo sana kwako
rais gani alitiwa risasi? hapo namba 1?Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !
Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
2021 - Tukapoteza rais kwa covid 😱Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !
Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
Bado mkuuHii imesha eleweka vizur kama hua unapita mataa ya St peters kuelekea town bas utakua umesha elewa nn kinacho zungumziwa hapa
Una kichwa kizito, au ile mitaa huifahamu mkuu?Bado mkuu
Ndio si wengine ni wa mikoanUna kichwa kizito, au ile mitaa huifahamu mkuu?
Nani mshindi wa hiyo mechi? Jogoo la shamba au jogoo la mjini?Sio kwamba alimunderestimate, wanajisahau wakizani zile power walizokuwa nazo bado zipo, hili kosa pia mkwere alilifanya kwa sizonje ila alipobipiwa faster akarudi kwenye mstali, sasa imebaki anatoa mipasho tu.
Kijiwe NongwaKijiwe majungu hiki...