Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

e31364b389832c356e3cdb5d119ed86a.jpg
upembuz yakinifu
 
Watakuja wataelezea vizuri leo tupo na daktari wa mifugo kutoka huko Pemba ! Ila kwa kugusia kidogo inaonekana wazanaki ni wachawi sana hii atakuja azungumzie pasco maana mi si mwenyeji sana mi natoka huko Old M tusikopendwa tunaonekana wezi.

Sawa mkuu nimekupata

Hakuna mtu ambaye siyo mwizi hivyo watanzania hasa kizazi hiki tunakosa elimu ya uraia ya kuogopa mali ya umma na kutokuendekeza anasa,

Tuendelee na mtaalamu wa mifugo.
 
Mkuu inaonekana wewe unajua kitu hebu tupe data
Sasa hapa mkuu mada inamuhusu daktari nikieleza hayo unaotaka mada itamuhusu mwl aliondolewa na watu aliowaamini kuna moja alihapa atomuita baba wa taifa na kweli kila akizima mwenge 14/october utasikia akisema mzee nyerere dah ngoja tummalizie huyo daktari kwanza sawa 3 Angels message
 
CIA walisema aliehusika na kifo cha Kombe ni PK na walitoa repoti yao.
There is also reason to believe that a number of people with knowledge of Kagame's plot against the presidential aircraft have been assassinated. These possibly include Tanzania's former intelligence chief, Major General Imran Kombe, shot dead by policemen in northeastern Tanzania after he was mistaken for a notorious car thief. His wife maintains he was assassinated.

Kombe had knowledge of not only the planned assassination of the Rwandan and Burundian presidents but a plot against Kenya's President Moi and Zaire's President Mobutu, as well. There is a belief that Roman Catholic Archbishop of Bukavu, Emmanuel Kataliko, was assassinated last October in Rome by members of a Rwandan hit team acting on orders from Kagame. Other Tutsi and Hutu leaders who oppose Kagame's regime continue to flee Rwanda to the U.S. and France in fear of their lives.

Rwanda's figurehead Hutu President Pasteur Bizimungu was forced to resign last year under pressure from the only power in Rwanda, his then-Vice President, Paul Kagame. Deus Kagiraneza, a former intelligence officer in Kagame's Military Intelligence Directorate (DMI), interim Prefect of the Ruhengeri province, and member of the Parliament, is now in exile in Belgium. He charges that Kagame's top government and military are responsible for torturing and executing their political opponents. Kagiraneza maintains that the RPF has pursued such policies since the time of the 1990 invasion of Rwanda from Uganda
Blood Money Out Of Africa
PK ni threat sana, nahisi ni hatari zaidi wakati huu kuliko hapo nyuma.
 
Sasa hapa mkuu mada inamuhusu daktari nikieleza hayo unaotaka mada itamuhusu mwl aliondolewa na watu aliowaamini kuna moja alihapa atomuita baba wa taifa na kweli kila akizima mwenge 14/october utasikia akisema mzee nyerere dah ngoja tummalizie huyo daktari kwanza sawa 3 Angels message

Ninani huyo alihapa?! tupe jina lake japo kwa code
 
Sio tu jasusi bali ni jasusi ambaye inasemekana alikuwa trained na idara yetu wenyewe.
Muambie pia atambue kuwa Kagame ana kikosi chake kilichosambaa maziwa makuu mpaka South Afrika inajulikana kama " ESCADRON DE LA MORT" hicho kikosi kimeondoka Na wengi lakini la kukumbukwa na wengi ni Mtikila na Mwakyusa Juan Profesa R.I.P.
 
PK ni threat sana, nahisi ni hatari zaidi wakati huu kuliko hapo nyuma.
Yes you have got a point.. Alipomuambia mkwere kuwa I will wait you at the right point alafu amfute kwenye uso wa dunia alikuwa anamaanisha via kundi lake la Escadron de la mort " kagame ni hatari
 
Sasa hapa mkuu mada inamuhusu daktari nikieleza hayo unaotaka mada itamuhusu mwl aliondolewa na watu aliowaamini kuna moja alihapa atomuita baba wa taifa na kweli kila akizima mwenge 14/october utasikia akisema mzee nyerere dah ngoja tummalizie huyo daktari kwanza sawa 3 Angels message
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli tumalize hili la Dr kwanza
 
I really miss the place . One day I will be back if God wishes.
mkuu, upo nchi gani? nimetoka Angola juzi. nimeweka kambi hapa Grootfontein kwa ajili ya holidays. bless up
 
Vasco da Gama Ni mtoto wa mjini anajua sana kucheza karata zake , Aziza huko alipo anaendelea na kazi zake kumbuka undercover agent of CIA usiulize maswali Mengi elewa hivo hivo , Olegwain huko Kinondoni mission yake Kama vile haipo kumbe yupo ila he is killing opposition parties via cdm slowly.
I have been thinking the same thing about Mmasai hapo CDM, is he for real au ana mission anandelea nayo? Mda utasema.
 
Bila kusahau walivyomtenda Salim Ahmed Salim kule Tehran, Iran

Muulizeni emissary wame ndugu Ahmed Rajab aliposhuka Tehran?
Funguka Mkuu, ninekuwa namsoma sana Ahmed Rajabu ni mwana historia mzuri sana.
 
Back
Top Bottom