Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Waafrika wengi wamezaliwa na kukua without proper feeding kwa sababu ya umasikini! That is why kila wakikusanyika lazima wale chakula na hii ni njaa kali! Museveni was the one targeted to be killed but walipobadilishana sahani za chakula watu wa protocol walizembea and that negligence saved M7 and the then Vice President the late Dr. Omari Ali Juma became a soft target and died at home! Funzo wacheni tabia ya ulafi ya kufakamia chakula kila ukikona. Kumtuhumu M7 it’s not only childish but stupid. Bana matumizi and stop uswahili wa kula from left and right!
Sababu ya m7 kuwa targeted ni nini?
 
Mkuu hizi nyuzi zipo nyingi ila zikifunguliwa zinaondeshwa km flying UFO nitakuja na nyingine ni kwanini vijana waende anjuanian ilikuwa ni ridhaa ya nani na faida ni ipi ? Maana envoy wao inasemekana alileta mzigo mkubwa lkn ndo hivo clan de staff akayapiga mwishowe akapewa na zawadi ya kuwa envoy huko opium war.

Inamaana unataka kusema ile mission haikuwa kwenda kumtoa Col Beka bali ilikuwa na agenda nyuma ya pazia ya kwenda kuteka opium iliyokuwa inaingia kwa col Beka.?

Kama ni hivyo sitoshangaa kama opium ile yote iliingia bongo. By the way Naona de staff sasa hivi katolewa kule kwa wenye macho madogo.
 
Mkuu Jiko la wana Usalama limo humu JF kuliko mtandao wowote humu kumejaa kila aina ya watu kuanzia verified user kama Viongozi pamoja na Makapuni kwa hawa wanaomwaga Nondo Wanalijua hilo na nadhani pia Wanajikinga nalo, Mtu anakuja na kutangaza kazi kisha anakomba CV za watu tena kwa Pm tu then huyo analala nazo mbele
hiyo ishanitokea over 15 times...ila walitoka bila bila!
 
Mseveni alipaswa kumalizwa akiwa Dar tarh 04/07/2001 Aliwekewa sumu kwenye kipaza sauti kabla ajaitumia ndipo secret agents wa Uganda walipochezwa machale na kubadilisha hiyo mic haraka.

Baada ya hotuba ya M7 aliefatia alikuwa vice wetu by then Dr Omary deceased akarudishiwa mic ya awali ndio hivo akala sumu ya slim thug .

Though ilitokea hivo bt ilikua lazima jamaa aondoke kwa njia yeyote kupisha mission ya boys2 men

Kama ujaelewa basi endelea kunywa mbege unibakizie huku hamna mbege pombe siyo pombe alcohol ni above 80% sisi tunaita spirit maalum kupambana Na winter.
Kwann m7 alitakiwa kufa?
 
Yaaah na haijui project vanguard leave him na maigizo yake ya bandarin if he wants to clean totally this country he must start everything afresh capturing everyone aah I don't know why he fears !!!!
What he exactly fears are the roots that have been planted, created, distributed & so far well maintained by the Boyz II men et al.

Ndio maana anaishia kufanya maigizo bandarini tena maigizo yenyewe yale ya akina Tom & Jerry. Ulishawahi kuskia wapi kwa mfano mtu eti umeokota kitu alafu ghafla wataka kinunua mwenyewe?

Yaani uokote vichwa vya treni havina mwenyewe alafu eti anavinunua. Swali linakuja anavinunua kwa nani? Si vimeokotwa?

So mwisho wa siku wazee wa slow jams system yao bado inamtesa sana Pogba ndio maana ikabidi tu aseme anapata frustrations.
 
Msaada tutani

1. Imekuwaje hata kindovu anatamba katika enzi zote.?

2. Je ni kweli Joka la mdimu yupo silenced mazima baada ya ile move ya kuitisha press conference kufeli.

3. Laingwanani siku ya kutangazwa matokeo, kile kitendo cha kutaka kwenda tume akazuiliwa juu kwaju ni kweli alikuwa akimaanisha au alikuwa anacheza karata.

4. Uhalali wa kijana wa mwandiga kujiita mpinzani huku siku za karibuni viongozi wake waandamizi wakirudi chama dola kwa kasi. Na kuukwaa nyadhifa za juu ambazo zinatia shaka kudhani kama kweli walikuwa wapinzani.

5. Mzee wa karatu ni kweli kaasi chama dola.? Haiingii akilini kasave miaka 10 ya Mr clean then ghafla kahamia kwa hasimu wake huku upande wake wa Mr Clean ukiwa umeshika dola. Nini kimetokea hapo kati.?

6. Mkuu wa DSTV enzi za Mr clean, kuwa masterminder wa harakati za ulipo tupo, halafu baada ya matokeo juzi kati tumeona kachaguliwa katika bodi ya washauri wa JPM wakiongozwa na Mzee Kitine. Hii imekaaje.??

7. Baada ya matokeo nani alimuita mchungaji wa Nigeria.? Na kwa lengo gani.?

8. Je Ugonjwa wa Laingwanan ni kazi ya kitengo kumnyamazisha au ni magonjwa ya kimaumbile tuu..?
Mhhh!
 
Baada ya boyz 2 men kuhitilafiana kufuatia Richmond scandal, 2008, chama kiliyumba na kuzalisha makundi kadhaa. Ndipo wazee wa chama wakamshauri mwenye kigoda amrejeshe mkulima ili aweke mambo sawa. Hata hivyo nguvu ya mkulima haikuwa kubwa kama enzi za "malofa" kwani makundi yalishafika mbali sana. Hata hivyo kwa kushirikiana na Kinana walirekebisha kiaina.
Na kama unakumbuka vizuri mkuu swala zima la Chama kuyumba lilianza pale kinana wa Chama kwa wakati huo (mzee masilingi akiwa na kijana wa goli la maradona) walipokuja na agenda ya kujivua gamba.

Hii issue ilita mzozo sana na kuna habari kuwa ndani ya mkutano flani wa chama pale chimwaga wakati mkutano unaendelea Morani kwa ujasiri wa kimotoni alisimama na kutoa japo kidogo tu ya moyoni pale alipomuuliza mkwere kwamba inakuaje anakubali vijana wadogo (vijana toka mtam, akina December etc) wamchafue kwamba yeye ni fisadi tena fisadi mkubwa kwenye skandali ya richimondi wakati hakuna chochote alichokifanya asichokijua mkwere kwenye ile issue.

Matokeo yake mkwere aliwapiga biti madogo ambao ndio walikuwa vinara wa kuvua watu na magamba pamoja na mzee masilingi kwamba hataki kuskia tena issue ya magamba

From there ndio maana hata akina joka la makengeza wakaanza kujitapa hadharani kwamba magamba yamevuliwa yakaishia kiunoni.

Baada ya kuona mambo si mambo mkwere ikabidi amtafute mkulima kutoka Iringa arudi kusaidia kuokoa jahazi la chama na pia akapanga kikosi upya kinana akaletwa kuchukua nafasi ya masilingi alafu masilingi kutulizwa akatupwa zake kwa Trump kama balozi wetu huko.

Akina December wakatolewa kwenye kazi za chama wakapewa shavu serikalini yaani hii movie acha kwanza niweke pause.
 
Dr. kifo chake kinatoka na kuusika kwake na baadhi ya wafanya biashara wa mafuta. Mmoja wapo akiwa mfanya baashara maarufu wa morogoro wa kipindi hicho alikuwa ni mmiliki wa tim ya mpira moro united. mafuta yao walikuwa wanawauzia waasi wakongo kinyume cha sheria, dr alikuwa anatoa vibali ambavyo vinaonyesha serikali ya tanzania imekubali kufanya biashara na waasi hao wa kongo.

baada ya kabila kuyakamata magari ya mafuta ya tanzania na kukuta vibali vina sign ya dr. aliamua kuja mwenye tanzania na kumuonyesha mzee benja vibali vyote, kwamba inakuwaje waasi wanamsumbua kumbe yeye benja anawa suppot kwa kuwauzia mafuta?, Mzee ilimuuma sana hii kitu maana niaibu kubwa na ina hatarisha diplomasia. Mzee benja akaitisha kiako ambacho dr alikuwepo na kuelezwa ubaya wake na achague mwenye kifo chake ili kulinda aibu yake na ya tanzania. hii inatokana na viapo ambavyo viongozi wanaapishwa watailinda nchi kwa garama zozote bila kuitia kwenye mzozo wowote.
So ni kweli dr alipigwa sumu kwenye msosi intentionally?
 
The past 1 yr or so walio take charge pale Qasr Al Alam ni jamaa wa skinny

Mothertongue hawajui

basically, slim thug has us by the ball...

I blame it on Sayyid Ali bin Hamud Al-Busaid, na journo hilo aliliona zamaaani, mwishowe akaweka his Manchurian Candidate and the rest is history
Heheheheh hi code si ya nchi hii hahahah asante sana hapo nimekupata
 
Na kama unakumbuka vizuri mkuu swala zima la Chama kuyumba lilianza pale kinana wa Chama kwa wakati huo (mzee masilingi akiwa na kijana wa goli la maradona) walipokuja na agenda ya kujivua gamba.

Hii issue ilita mzozo sana na kuna habari kuwa ndani ya mkutano flani wa chama pale chimwaga wakati mkutano unaendelea Morani kwa ujasiri wa kimotoni alisimama na kutoa japo kidogo tu ya moyoni pale alipomuuliza mkwere kwamba inakuaje anakubali vijana wadogo (vijana toka mtam, akina December etc) wamchafue kwamba yeye ni fisadi tena fisadi mkubwa kwenye skandali ya richimondi wakati hakuna chochote alichokifanya asichokijua mkwere kwenye ile issue.

Matokeo yake mkwere aliwapiga biti madogo ambao ndio walikuwa vinara wa kuvua watu na magamba pamoja na mzee masilingi kwamba hataki kuskia tena issue ya magamba

From there ndio maana hata akina joka la makengeza wakaanza kujitapa hadharani kwamba magamba yamevuliwa yakaishia kiunoni.

Baada ya kuona mambo si mambo mkwere ikabidi amtafute mkulima kutoka Iringa arudi kusaidia kuokoa jahazi la chama na pia akapanga kikosi upya kinana akaletwa kuchukua nafasi ya masilingi alafu masilingi kutulizwa akatupwa zake kwa Trump kama balozi wetu huko.

Akina December wakatolewa kwenye kazi za chama wakapewa shavu serikalini yaani hii movie acha kwanza niweke pause.
Sio masilingi ni mzee mkama
Na mkama hakuwahi kuwa balozi wa kwa trump
 
Sio masilingi ni mzee mkama
Na mkama hakuwahi kuwa balozi wa kwa trump
SahihiKabisa
Masilingi hajawahi kuwa 'Kinana' wa CCM
Kinana alirithi Mikoba ya Wilson Mukama alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya before
Nae Mukama alirithi kwa Mzee Makamba na Mzee Makamba alirithi kwa Mzee Mangula na Mzee Mangula alirithi kwa Hayati Lawrence Gama na Hayati Gama alirithi kwa Hayati Horace Kolimba!
 
Mukhabarat have bigger fish to fry. Hawana muda wa ku deal na wachangiaji au mada za humu. Afterall hili dude ni la kwao, ndio maana halihitaji matangazo kujiendeza

Siku wakihitaji watu waingie kazini kufanya info warfare dhidi ya external enemies then utashangaa watu watakavyoingia kuchangia habari zote mpapa DNA ya slim thug

like I said, everything has a purpose
WAPO VIZURI.... JE HAITATOKEA WAO KUONA HABARI YA KUSHTUA KUTOKA KWA WACHANGIAJI (WATOAJI TAARIFA) NA KUWALAZIMU KUMTAFUTA HUYO MCHANGIAJI AWAPE YA NDANI ZAIDI... maana wengine humu ni wenyewe kwa wenyewe ila HAWAJUANI
 
Back
Top Bottom