Msaada tutani
1. Imekuwaje hata kindovu anatamba katika enzi zote.?
2. Je ni kweli Joka la mdimu yupo silenced mazima baada ya ile move ya kuitisha press conference kufeli.
3. Laingwanani siku ya kutangazwa matokeo, kile kitendo cha kutaka kwenda tume akazuiliwa juu kwaju ni kweli alikuwa akimaanisha au alikuwa anacheza karata.
4. Uhalali wa kijana wa mwandiga kujiita mpinzani huku siku za karibuni viongozi wake waandamizi wakirudi chama dola kwa kasi. Na kuukwaa nyadhifa za juu ambazo zinatia shaka kudhani kama kweli walikuwa wapinzani.
5. Mzee wa karatu ni kweli kaasi chama dola.? Haiingii akilini kasave miaka 10 ya Mr clean then ghafla kahamia kwa hasimu wake huku upande wake wa Mr Clean ukiwa umeshika dola. Nini kimetokea hapo kati.?
6. Mkuu wa DSTV enzi za Mr clean, kuwa masterminder wa harakati za ulipo tupo, halafu baada ya matokeo juzi kati tumeona kachaguliwa katika bodi ya washauri wa JPM wakiongozwa na Mzee Kitine. Hii imekaaje.??
7. Baada ya matokeo nani alimuita mchungaji wa Nigeria.? Na kwa lengo gani.?
8. Je Ugonjwa wa Laingwanan ni kazi ya kitengo kumnyamazisha au ni magonjwa ya kimaumbile tuu..?