Abery
Member
- Oct 18, 2016
- 25
- 59
Utoto tuu, ukikua utaachaHahaha,nawasikitikia sana!sometimes unasoma tu na kupita kimyakimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto tuu, ukikua utaachaHahaha,nawasikitikia sana!sometimes unasoma tu na kupita kimyakimya
Jenga hoja,mipasho peleka fbUtoto tuu, ukikua utaacha
Am 42yrs ,, am still young ashikamoo mzee!
Ungalikuwa unafahamu yanayoendelea behind the scene katika siasa za afrika mashariki,ndio ungeweza kuelewa uhusikaji wa Slim bandit kwenye matukio yanayoendelea.Hum wengi nimewatoa povu na wanaishia kutoa matusi mara anaiba kongo hua nasema hata majeshi ya Tz yapo kule lakin why hawarud na hayo madin inamaaana majesh ya tz n mafala kiasi hicho kama madin congo yapo yapo tu Yan uswahili ni kazi sana.
Ungalikuwa unafahamu yanayoendelea behind the scene katika siasa za afrika mashariki,ndio ungeweza kuelewa uhusikaji wa Slim bandit kwenye matukio yanayoendelea.
Siasa zetu bado mbichiAfanye asifanye Life goes on shida mnaongea sasa kama wewe unakuja unasema Ungejua behind the scene ukiulizwa yaelezee unabakia unatoa macho Ataendelea kuwanyoosha hana muda yule.
Siasa zetu bado mbichi
Mkuu unamaanisha EL anaweza kukubali atumike ili aukose URAISI? Kweli?Unauuliza jibu?
Kwenye Gomz bila shaka weka Gongo la Mboto na kwenye MB 3 Colours bila shaka weka Mbagala Rangi Tatu...!!! Coded language ya Uzi huu ndiyo fahari ya Uzi,Uziii mwanzoni ulikuwa mtamu and so interesting ila Sasa code zimezidii ladha inapungua!
Nimeng'amua codes zote kasoro hii DSTVEbwana eeeeeh unajua kama jamaa aliyekufukuzwa DSTV aka Mr Mwongo atapiga mzigo hapo Luanda na madam bilionaire lakini kulala halali kwa sababu anaogopa Boys 2 men hivyo hulala kwa akina Dali Mpofu?
MemmorialNimeng'amua codes zote kasoro hii DSTV
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] yaani ukiuliza code unajibiwa kwa code ndo maana vijana wanaukimbia huu Uzi, bado sijakusoma mkuu, pia mr Clean namhisi tu ila sina uhakika naeMemmorial
Tafsiri shekhe, usiwe jiwe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] yaani ukiuliza code unajibiwa kwa code ndo maana vijana wanaukimbia huu Uzi, bado sijakusoma mkuu, pia mr Clean namhisi tu ila sina uhakika nae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watu kama nyinyi mnapaswa kuchemsha maharagwe
Labda nikukumbushe kuna kipindi slim thugh alijitahidi akajenga tower as like aicc akajaribu kuteka watu wa adis waje wafanye mkutano hapo ila kwa kuwa kando kando yake yalishaonekana na by then kwenye kigoda alikuepo mtoto wa mjini basi wakampotezea vibaya mno bifu lingine.Halafu hua wanamsemaaaa yeye anazidi kufanya makubwa yale mambo ya usiempenda kaja ndio anayo Mr Slim.hawa waswahili hakuna hata 1 aliewaiweka concrete evidence juu ya tuhuma za mr slim
Usilolijua ni kama usiku wa gizaEnd of thinking capacity ikfika mwisho ndio haya watu wnaaanza kutafuta mchawi Kiukweli Weng wa waswahil hawakudhan kagame atawapiga gap kwa mda mfupi aliokaa madarakani kafanya mambo mengi makubwa halafu hana majungu kinawauma sana Kuona vile hawa Wabongo ndo mana kila kitu Kagame kagame na hana muda na waswahili zaidi zaidi Rais wao kwenda kule kutafuta skills za kuongoza Tz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa we inakuuma nn watu kuongea?si uende hata jukwaa la chit chat au celebrity huko jamaniAfanye asifanye Life goes on shida mnaongea sasa kama wewe unakuja unasema Ungejua behind the scene ukiulizwa yaelezee unabakia unatoa macho Ataendelea kuwanyoosha hana muda yule.
Yashaelezewa mengi humu yamhusuyo.kila mtu ana utashi wak. una uhuru wa kuamini unachotaka kuamini,ila tu yakupaswa kufahamu kuwa absence of evidence is not evidence of absence.Afanye asifanye Life goes on shida mnaongea sasa kama wewe unakuja unasema Ungejua behind the scene ukiulizwa yaelezee unabakia unatoa macho Ataendelea kuwanyoosha hana muda yule.
Mkuu ebu fatilia hii makala ingawaje ni ya zamani lakini unaweza kupata picha ya kile kinachoendelea Congo na roles ya slim mpaka hapo Congo ilipofikia. Hii makala iliandikwa na [HASHTAG]#Washington[/HASHTAG] Post 1998.Yashaelezewa mengi humu yamhusuyo.kila mtu ana utashi wak. una uhuru wa kuamini unachotaka kuamini,ila tu yakupaswa kufahamu kuwa absence of evidence is not evidence of absence.