Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Labda nikukumbushe kuna kipindi slim thugh alijitahidi akajenga tower as like aicc akajaribu kuteka watu wa adis waje wafanye mkutano hapo ila kwa kuwa kando kando yake yalishaonekana na by then kwenye kigoda alikuepo mtoto wa mjini basi wakampotezea vibaya mno bifu lingine.

Hivi unajua kuwa habariamana aliepelekwa wasiporudi watu ni ndugu yake na huyo salamia yule ambae nyampara wa road amempa zawadi ya kiti cha kwa wagogo .

Mwisho nikuhakikishie escadron de la mort ndio watakuja kumuondoa boss wao. Lets wait for the time to reveals

Hizi hekaya kila siku ndio mnazo humu kamwondoeni hata leo kwani ye fala akae kusubiri
 
Mkuu ebu fatilia hii makala ingawaje ni ya zamani lakini unaweza kupata picha ya kile kinachoendelea Congo na roles ya slim mpaka hapo Congo ilipofikia. Hii makala iliandikwa na [HASHTAG]#Washington[/HASHTAG] Post 1998.



RWANDA ADMITS ITS TROOPS AID CONGO REBELS










By Lynne Duke November 7, 1998

Rwanda's military leader, Vice President Paul Kagame, admitted publicly for the first time today that his troops are involved in the Congolese conflict launched three months ago by rebels trying to oust President Laurent Kabila.

After months of official denials, Kagame, who is also Rwanda's defense minister, acknowledged his country's role following an hour-long meeting here with South African President Nelson Mandela, two days after he had met with the U.S. assistant secretary of state for Africa, Susan E. Rice, in Kigali, the Rwandan capital.

Diplomats had described Rwanda's denials as a major obstacle to mediation efforts to end the widening war in Africa's third-largest nation, which has become a continental conflict. The war, which broke out Aug. 2, has drawn in Angola, Zimbabwe, Namibia, Chad and numerous regional militias on Kabila's side, with Rwanda and Uganda supporting the rebels.













































"Initially, our country hadn't, for good reasons, come out specifically to talk about the presence of our troops in Congo," Kagame said today, seated beside Mandela at a news conference. "We have informed the president that we are there specifically for our national security. That situation in Congo has always affected our security, and we are there specifically for that purpose."

Rwanda, Congo's neighbor to the east, has involved itself in two Congolese conflicts in the past two years, and in both cases it persisted for several months in denying it. Also in both cases, Rwanda's military moves were intended to combat Rwandan ethnic Hutu extremists, including perpetrators of the slaughter of 500,000 Rwandan Tutsis in 1994, who use Congo as a base for attacks against Rwanda. In the first war, launched in 1996 -- when Congo was called Zaire -- Rwanda led the forces that ousted dictator Mobutu Sese Seko and installed Kabila in power.

Since the outbreak of the latest Congo war, Rwanda again maintained a policy of denial, despite sightings of Rwandan troops inside Congo and confirmation by Congolese rebels that Rwandans were in the conflict. Uganda has admitted it has troops inside Congo, but Rwanda's denials scuppered several attempts at mediation.

"Many people felt that the fact that Rwanda did not admit that they were combatants created immense difficulties" for the peace process, Mandela said. "Now that Rwanda has made this acknowledgment, I think that we have reason to believe there is going to be progress."

The negotiating framework that

Asked how long Kabila can hold out, the official said, "As long as the Angolans and the Zimbabweans are willing to stand by him, I think indefinitely." CAPTION: Rwanda's Kagame was vague about when his troops entered Congo. ec
Pohamba Prof HNIC



Mambo ya congo unaanzia stor 1998 Congo ina matattizo toka miaka ya 1950 huko fuatilia stori za akina Moitse Tshobe,J.kasavubu,Patrice Lumumba,Vita ya Angola,Mobutu na Genocide ya 1994 ndio utapata majibu
 
Mkuu ebu fatilia hii makala ingawaje ni ya zamani lakini unaweza kupata picha ya kile kinachoendelea Congo na roles ya slim mpaka hapo Congo ilipofikia. Hii makala iliandikwa na [HASHTAG]#Washington[/HASHTAG] Post 1998.



RWANDA ADMITS ITS TROOPS AID CONGO REBELS










By Lynne Duke November 7, 1998

Rwanda's military leader, Vice President Paul Kagame, admitted publicly for the first time today that his troops are involved in the Congolese conflict launched three months ago by rebels trying to oust President Laurent Kabila.

After months of official denials, Kagame, who is also Rwanda's defense minister, acknowledged his country's role following an hour-long meeting here with South African President Nelson Mandela, two days after he had met with the U.S. assistant secretary of state for Africa, Susan E. Rice, in Kigali, the Rwandan capital.

Diplomats had described Rwanda's denials as a major obstacle to mediation efforts to end the widening war in Africa's third-largest nation, which has become a continental conflict. The war, which broke out Aug. 2, has drawn in Angola, Zimbabwe, Namibia, Chad and numerous regional militias on Kabila's side, with Rwanda and Uganda supporting the rebels.













































"Initially, our country hadn't, for good reasons, come out specifically to talk about the presence of our troops in Congo," Kagame said today, seated beside Mandela at a news conference. "We have informed the president that we are there specifically for our national security. That situation in Congo has always affected our security, and we are there specifically for that purpose."

Rwanda, Congo's neighbor to the east, has involved itself in two Congolese conflicts in the past two years, and in both cases it persisted for several months in denying it. Also in both cases, Rwanda's military moves were intended to combat Rwandan ethnic Hutu extremists, including perpetrators of the slaughter of 500,000 Rwandan Tutsis in 1994, who use Congo as a base for attacks against Rwanda. In the first war, launched in 1996 -- when Congo was called Zaire -- Rwanda led the forces that ousted dictator Mobutu Sese Seko and installed Kabila in power.

Since the outbreak of the latest Congo war, Rwanda again maintained a policy of denial, despite sightings of Rwandan troops inside Congo and confirmation by Congolese rebels that Rwandans were in the conflict. Uganda has admitted it has troops inside Congo, but Rwanda's denials scuppered several attempts at mediation.

"Many people felt that the fact that Rwanda did not admit that they were combatants created immense difficulties" for the peace process, Mandela said. "Now that Rwanda has made this acknowledgment, I think that we have reason to believe there is going to be progress."

The negotiating framework that Mandela and others are proposing includes a cease-fire, a troop standstill, a foreign troop withdrawal and more talks leading to Congolese elections. But Kabila's government said Kagame's statement was not enough for Congo to agree to a cease-fire, the Reuters news agency reported from Kinshasa, the Congolese capital.

"For us, saying that they are there makes no difference because we knew they were there. They must withdraw," said Kabila's chief political aide, Pierre-Victor Mpoyo.

Although thousands of mutinous troops from his own army appear to form the core of the rebel force, Kabila has called the conflict an invasion by Rwanda's ethnic Tutsi-dominated army and its close ally, Uganda. Some diplomats also have characterized the war as an invasion.

Rwanda maintained its silence on its involvement in an effort to avoid fueling "that confusion," Kagame said.

"The conflict was an internal conflict which has brought in external forces," he said.

After helping to install Kabila in power in May 1997, Rwanda allowed hundreds of its troops to remain in Congo to help organize and professionalize Kabila's new military. But Rwanda gradually fell out with Kabila over the issue of border security. As relations became strained, Kabila suddenly announced late in July -- despite prior agreement on a Rwandan withdrawal -- that he was kicking Rwandan troops out of the country. This, coupled with Rwanda's belief that Kabila was recruiting Hutu extremists for his army, led to a final breach.

Kagame was vague today about precisely when his troops moved into Congo. He denied that his army was inside Congolese territory on Aug. 2, but suggested that forces moved in soon after.

With its complex ethnic, economic and nationalistic dimensions, the Congo conflict has alarmed African and Western leaders because of its potential to broaden even further and become more intractable.

"If this conflict is not stopped, the danger of a massive African war is a reality," Aziz Pahad, South Africa's deputy foreign minister, said Thursday.

During her attempt at shuttle diplomacy in several of the combatant states this week, Rice met with Kabila and, in effect, told him, "He can be part of the solution, or he can continue to be part of the problem," a U.S. official said. "And if he continues to stand on his current ground, this place will continue to explode."

Asked how long Kabila can hold out, the official said, "As long as the Angolans and the Zimbabweans are willing to stand by him, I think indefinitely." CAPTION: Rwanda's Kagame was vague about when his troops entered Congo. ec
Pohamba Prof HNIC
Nimekupata barabara,hivi hakuna posibiliti slim thugga akawa anaopareti chini ya baraka za wala ubuyu wa pale langley VA?.
 
Anaitwa Imran Kombe, alipigwa Risasi 14 kifuani na Askari wa Jeshi la Polisi kwa Madai ya kufafanisha gari aliyokuwemo na iliyoibiwa!
Sina Immunity ya kutoshughulikiwa ndio sababu sitofunguka zaid Mkuu
Noted
 
2006 Jakaya alibadilisha kutoka kunyongwa mpaka kifungo cha Maisha
2012 wakaachiwa kwa Msamaha lakin yote hayo haya kuwa kwny front page za Magazeti kwa kuwa Mtawala wa wakati huo alikuwa anajua ingeamsha Mjadala wa Imran Kombe namna alivyotutoka
Ingekuwa Zama hizi sijui ingekuaje?
Hii naikumbuka sana na ilileta shida sehemu fulan fulan ila ilionekana sirikali ikiwasapoti wauaji zaidi wakati wa kesi n.k
 
Waafrika wengi wamezaliwa na kukua without proper feeding kwa sababu ya umasikini! That is why kila wakikusanyika lazima wale chakula na hii ni njaa kali! Museveni was the one targeted to be killed but walipobadilishana sahani za chakula watu wa protocol walizembea and that negligence saved M7 and the then Vice President the late Dr. Omari Ali Juma became a soft target and died at home! Funzo wacheni tabia ya ulafi ya kufakamia chakula kila ukikona. Kumtuhumu M7 it’s not only childish but stupid. Bana matumizi and stop uswahili wa kula from left and right!
Noted
 
Targeted na aliekuwemo Sabasaba na Hayati Dkt Omar alikuwa ni Joseph Laurent Kabila sio Yoweri Kaguta Museveni!

Kipindi hicho Joseph Kabila alikuwa anapambana na Waasi waliokuwa wanajiita Banyamulenge waliokuwa wamejificha Misitu ya Mashariki ya Congo na lengo Lao lilikuwa kuipindua Serikal

Kiongozi wa Waasi Hao alikuwa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dat Es salaam akiitwa Prof Wamba Dia Wamba!

Nimeshakutafunia, kazi yako ni kuunganisha dots tu
Safi
 
Inasemekana Imran Kombe alimalizwa kwa mkono wa serikali iliyokuwepo madarakani kwa sabab alikuwa anavujisha siri kwa mpinzani wa wakati ule Mrema. Kuna utata mkubwa wa mauaji yake unabainika kwa maswali yafuatayo:
1. Kama askari walidhani ni mhalifu kwann walimpiga risasi kifuani ilhali hakuwa na silaha na alijisalimisha kwa kunyoosha mikono
2. Walipohukumiwa kunyongwa rais mkapa akabadilisha ikawa kifungo cha maisha na mwaka 2011 wakapata msamaha wakaachiwa. Baada ya gazeti la mwananchi kuandika juu ya msamaha wa Rais kikwete, Rais alikanusha na kusema yeye wakati anaingia alikuta huo msamaha ukiwepo..

Inasemekana kulkuwa na mkono wa Kagame kwny haya mauaji
Mambo mazito kweli haya
 
Laurent Kabila aliendesha Mapambano ya kumtoa Mobutu akitokea Mikocheni

Rajab Hussein na Pierre Nkurunzinza walikuwa wakiendesha Mapambano ya kuwatoa kina Pierre Buyoya kutokea Buguruni kwa Mzee wa Kibwali Mzee Mnenge

Yoweri Kaguta Museven kaongoza Vurugu Uganda akiwa Dar
Edward Mondlane kaongoza Vurugu za Msumbiji akitokea Dar

Paul Kagame kaongoza Vurugu Rwanda akitokea Uganda

Hata Prof Wamba alikuwa akiongoza Vita akiwa Dar!
 
Inanikumbusha habari ya Ahmed chalabi leo nilikuwa nacheck documentary aljazeera,
alikuwa mpinzani wa saddamu huseini,
sasa kumbe pia ni jasusi wa iran,
wairan wamesuka ushahidi fake kuwa saddamu ana silaha za maangamizi,sijui kanunua uranium toka Niger na ana mobile labaratory za kutengeza chemical weapons,
kawafuata wamarekani na kuwaonyesha ushahidi,
mmarekani kaingia mkenge akamvamia saddamu na kumtoa madarakani na kumsimika Ahmed chalabi kuwa prime minister,
chalabi akafungulia wairan iraq ambao tena wakaanza kuwaua wamarekani remember moqtada al sadr,
marekani kuja kushituka tayari iraq imekuwa under iran influence mpaka kesho.

Wamerekani waliudhika sana walipogundua kumbe chalabi ni agent wa iran,yaani iran wamewatumia wamarekani kumtoa na hatimae kumuua saddamu ambae alikuwa adui yao mkubwa,
kikatumwa kikosi kazi cha marekani CIA kinaitwa SAD-special Activities Deparment kummaliza chalabi.
Basi siku moja chalabi yuko aljazeera anahojiwa jinsi ushahidi wa kumtoa saddamu ulivyokua fake,chalabi akaruka kimanga kuwa haiwezekani taifa kubwa super power kama marekani litegemee ushahidi wao akina chalabi kuanzisha vita wakati wao wana asset za kutosha kupata information zote na kuact accodingly.
Masaa kumi baada ya mahojiano hayo Ahmed chalab akapatikana kafa chumbani kwake,kumpima wanakuta ni heart attack.

Sasa sijui walimpaka vx bila yeye kujua ama walimpulizia hewa chumbani akiwa kalala,
hizi sumu za kafie mbele ni noma
Ujasusi wa kidola ni kitu kingine asee.
 
End of thinking capacity ikfika mwisho ndio haya watu wnaaanza kutafuta mchawi Kiukweli Weng wa waswahil hawakudhan kagame atawapiga gap kwa mda mfupi aliokaa madarakani kafanya mambo mengi makubwa halafu hana majungu kinawauma sana Kuona vile hawa Wabongo ndo mana kila kitu Kagame kagame na hana muda na waswahili zaidi zaidi Rais wao kwenda kule kutafuta skills za kuongoza Tz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Jestina Hikizimana naona umeanza kumtetea PK hahaha
 
Mechi zilikuwa ngumu sana ile timu kila wakibadilisha magoli watu wanaweka... Ikabidi wamrudishe kwa Muda Kama Paul Scholes pale man utd.... Akaonyesha cheecheeee... Akawachukua kwa mkopo Maradona mzee wa millets pale pale mzee aliyekuwa Mkufunzi wa siasa jeshini wakaaanza safari za kurudisha Chama chetu barabarani kwa ile shughuli ilibidi tu usajili uwe wa kudumu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ni codes tu, bichwa maji kaa kando
 
dsc04608.jpg



+


maxresdefault.jpg



+
FM_Javad_Zarif_joint_press_conference_with_UK_Secretary_of_State_for_Foreign_and_Commonwealth_Affairs_Philip_Hammond_in_Shahrbani_Palace_139406012242492865944804.jpg


+
Mideast-Iran-Nuclear-_Horo-e1376942952569-1024x640.jpg


+

67dkl8dq_400x400.jpeg


+
Jakaya_Kikwete-1024x651.jpg


+

Oman-Muscat-16-Sultans-Palace-2.JPG

+

lowassa.jpg


+
42ff0cc6f9c6e858e6b9cc71a245d177--cash-money-luxury-lifestyle.jpg


sijaelewa kitu hapo
 
Usilolijua ni kama usiku wa kiza. Nina undugu na binti wa kwanza aliyefichua unyama wa babu seya kwa mama yake baada ya kubanwa aseme kwa nini alichelewa kurudi shule. Kama ndugu tunasamehe kwa muda aliokaa jela hautoshi kulinganisha na madhala aliyosababisha. Ilikuwa hivi sitataja majina. Mtoto X(ndugu) alichelewa kurushibshule, mama mlezi alimbana amueleze kwanini kachelewa. Mtoto X alijibu alichelewa sababu walipitia kudai pesa kwa babu, mama mlezi alizidi dadisi pesa ya nini na kwa kazi gani? Mtoto X akajichangaya na asiweze jibu. Mama akahisi kuna kitu hapa, ilikumuonyesha upendo na kumtoa hofu akaamua kumkumbatia, akahisi harufu mbaya toka kwa binti, akahisi binti haogi vizuri, lakini alipokwenda deep akagundua mtoto kahalibiwa. Akatumia mbinu ya ziada ikiwa ni pamoja na kutumia ukali, binti akatoa siri. Mama mlezi aka panic akapiga simu kuomba ushauri kwa ndugu yetu mngine, being kwamba yeye ni mlezi na mtoto anatoka kwa upande mume ikaonekana kwa kiwango cha uharibifu ule, na yeye kuchelewa kugundua itaonekana hakuwa karibu na mtoto lakini ikashauliwa shauri lipelekwe Polisi Urafiki, Babu seya akakamatwa akawekwa ndani. Mpaka hapo mlalamikaji alikuwa huyo ndugu yangu na mtoto aliyepata madhala ni huyo mmoja.

BABU SEYA ALIKOROGA.

Kumbuka wakati huo bendi ya babu seya ilikuwa inapiga Polisi officers mess, Babu alikuwa karibu IGP hiyo habari zilimfikia mkuu huyo na kumuarisha Tiba kumtoa. Tiba akamtoa kwa dhamana, Babu asikae kimya, nyumba ya Babu na Mlalamikaji zilikuwa jirani, Babu alivyotoka polisi si akaanza tambo, ohoo sisi watu wakubwa wewe utafanya nini. Mlamikaji akaona amedhalilishwa, akaana mhoji mtoto wake kwa upole na huku akimuadi hata muampiga wala kumsemea kwa baba ambae wakati huovalikuwa safarini. Mtoto akafunguka kuwa hayuko peke yake, huwa wako wengi na hupitia shule na huwaombea ruksa kwa Mwalimu. Kati ya watoto wa jirani sana na Mlalamikaji ni muhaya kama ulifuatilia kesi kulikuwa na jina la Koku. Mlalamikaji akaenda kwa mama K akamuelezea mama K akawambishi kuwa K hawezi fanya hayo, na K pia akiulizwa alikataa kabisa, lakini Mama X alijua K anaogopa sababu ya kipigo kwani familia hiyo kwa kipondo sio mchezo. Mama X akamtaka mama K amuhakikishie K kuwa akikosema ukweli hatampiga, alipomuhakishia K nae akasema ukweli na zaidi ya alichosema X. Mama K alikuwa na pressure, kwa ilipanda ghafla akapoteza fahamu. Kumbuka Mama X baada ya yeye kumripoti babu Seya, kazidiwa kete sasa anataka support. Kile kitendo cha mama K kupoteza fahamu kikaleta tahaluki mtaani watu wakajaa kujua kullkoni? Ikabidi Mama X ajatibu kwa uwezo waka kuwajuza wananzengo ambao wengine ndio kwanza walijulishwa mabinti zao ni wahanga. Juhudi zilifanywa kumpepea Mama K lakini pia kupigia Baba K na wababa wengineb warudi home kukabiliana na mkasa. Wababa waliporudi na kusikia mkasa na jinsi mama X alivyojaribu kulipeleka hilo kwenye chombo husika na mtuhumiwa kuachiwa wazee wakapandwa na hasira.

TIBA ANAHUSISHWA NA KAMATA YA PILI YA BABU SEYA.

Baazi wa wababa walishaamua kuchukua sheria mkononi yaani kumuangamiza babu seya na familia yake. Baba K alikuja na wazo mbadala, kwa yeye alikuwa mtu wa Bukoba na wa karibu na mkuu wa polisi wa kanda, na pia huyu ni baba wa ubatizo wa mtoto K ambate pia ni muahanga, baba K alimpigia simu Tiba. Kwenye simu alimuambia tiba mkasa wote, na kwamba licha ya kwamba mlalamikaji alikuwa Mama X, babu Seya hakufanyia kitumbaya mtoto X pekeyake bali watoto wengi pamoja na mwanao wa ubatizo K, na sasa mazali wameshajua Baba seya ni rafiki wa IGP kama wazazi wameamua kuchukua sheria mkononi, yeye anajua kitachofuati ni yeye baba K na wenzake kusota jela hivyo ajiandae kusaidua familia akiwa kama ndugu. Tiba akaomba chonde chonde kisifanyike chochote mpaka atakapofika. Kweli muda Landrover Discovery likatinga Sinza nyumba wafanyakazi wa Kiwanda cha Sigara. Tiba akasikia yeye mwenyewe alisikia maelezo toka kwa mlalamikaji wa kwanza na aliwahoji watoto wahanga, akapiga radio call kwa mkuu wake, akimtaarifu kutii amri ya mtoa babu S kwa zamana, lakini pia maendelea ya sakata na yuko na wazazi ambao wameamua kutoa uhai wa Babu na watoto wake. Polisi mkuu akasikika akijitoa lawama kuwa kama hali niyo basi afanye awezavyo. Babu S alikamatwa tena, this time pamoja na watoto wake, sisi tulichukulia kuwa watoto wa babu wanawekwa ndani sababu ya usalama wao na hasa baada ya wananzengo kutishia maisha yao.

USHAHIDI ULIOMKANDAMIZA.

Mengine yote yakuwa maelezo na hali ya watoto waliohalibiwa lakini tisi ni siku mahakama ilivyohamia nyumbani kwa babu S. Watoto wahanga walionyesha mahakama mazingira yote ikiwa ni pamoja na mikeka na mafuta ya mgando aliyotumia. Yaani imagine mtoto mmoja anasema alikuwa anatufanyia kwenye mkeka alafu anaenda mahali ulipofichwa alafu anasema tena huu hapa, then mngine anasema alikuwa anatupakaga mafuta, mngine anachoma chumba anakuja na mafuta, watoto sio mmoja wanaitika si hayoo hapo.

Hitimisho:

Mimi ni mtu wa karibu na mhanga kama nilvyosema, nilikua na jua Babu S. anahatia lakini bado sikujua alifanya yale kwasababu gani, ni ugonjwa au ni nini? Na kwa nini afanye pamoja na watoto wake. Juzi niliposikia hukumu ya mbunge mmoja wa kongo ambaye amehukumiwa na mahaksma ya kimataifa kwa kufanya unyama wa aina hii akiwa ana wapiganaji wake kwa kufanya ushirikina nikapata jawabu kuwa huko kwa wenzetu kongo hili ni jambo la kawaida.

Mara ya mwisho nimemuona X sasa ni mdada mkubwa tuu. Amesoma anafanyakazi, lakini hayuko ok, inawezekana madhala mengine ameyapata kutokana na kushawa wa watu wa karibu, maana isiwe msiba, vikija vibibi vya kutoka mkoani vilikuwa vinakumbushia, hivi yule mtoti ni yupi? Walikuwa wanamshaa kana kwamba kajinyea.

Mwisho
Katika vitu huwa vinanichanganya ni hii issue ya BABU, wengine husema kasingiziwa wengine alifanya kweli.....
 
Back
Top Bottom